amoneyazan
JF-Expert Member
- Jan 10, 2013
- 698
- 469
Umenea vyema mkuu...Kwa uongozi wa nyakati hizi, Kama hiki kitu alichosema Gwajima ni uongo, tarajia kusikia kesi ya kumdhalilisha mkuu au kuwekwa ndani saa 48 usiposikia hivyo jua kua kilichosemwa ni legit.