thesonofrighthand
Member
- Apr 24, 2013
- 7
- 4
Pascal Mayalla,
Kumtumikia Mungu ni zaidi ya kuwa rais. Hayo mengine tumwachie yeye
Kumtumikia Mungu ni zaidi ya kuwa rais. Hayo mengine tumwachie yeye
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mazuzu kuliko aliyefoji vyeti?mimi simshangai yeye tu nawashangaa mpaka hao waumini wake maana ni kama mazu,,,,,zu
Ndo ushangae zaidi kwa nn ccm wanakatalia madarakani pamoja na kushindwa kwa uwazi kabisa?Sasa mbona Lowassa na Maalim Seif wanaulilia sana urais? Kwa nini wasiwe wachungaji?
Aisee kumbe wengine mmesoma kw kukariri,kwani akiwa na result slip si ni cheti pia?
Nyinyi mnawajua watumishi wote wanaosali kwa gwajima je kama wamempelekea ushahidi huo wa kuprint hata kama ni document sio cheti?pascally wewe nina wasi wasi utakuwa ni mhanga kama daudi bashite.
Imeandikwa tafuteni kwanza ufalme wa mbinguni na mengine yote (ukiwepo urais) mtazidishiwa. Utumishi wa Mungu (sio mungu wa Dar Makonda) ni zaidi ya utumishi wowoteKumtumikia Mungu ni zaidi ya kuwa rais. Hayo mengine tumwachie yeye
Hata result slip ni cheti piaHajasema ana matokeo, amesema ana vyeti mezani kwake, hivi kweli kuna cheti cha divisheni 0 ya miaka hiyo?.
Paskali
Ule ubora wake umeanza kufifia sana.Mkuu paschal mayala mabandiko yako hivi sasa inaonesha wazi kuwa ubongo wako umehamia kwenye tumbo. Unafikiria tumbo lako litashabaje. Sikubezi ila nimeanza kuona kama umeishiwa point kichwani mwako. Hebu tuambie hapo zamani 90's mfumo wa utoaji wa matokeo ulikjwaje?
Gwajima akileta hivyo vyeti tukupuuze ay tukudharau?
Trust nini ww!..safi sana gwajima!..ww ndio mtumishi wa kweli.fichua maovu baba mtumishiNi rahisi sana muumini wa kawaida kuingia mbinguni kuliko mchungaji kuingia mbinguni. Trust me
Kumbe sio kiumbe?Haiwezekani amuite Mkuu wa Mkoa kiumbe...ni kosa kubwa sana
Bora umesema ukweli uchungaji na ushee lakin kucha wanautaka uraisi.Sasa mbona Lowassa na Maalim Seif wanaulilia sana urais? Kwa nini wasiwe wachungaji?