Mchungaji Gwajima ni Mtumishi wa Mungu wa kweli au? Asema Uongo. Adai yeye ni zaidi ya Rais

Gwajima nimekupenda buree cku hizi hasa kwa kumtia adabu Bashite eee
 
Hivi kwa tuhuma alizo nazo Makonda, Ushahidi unapaswa kuweje kwa mfano???
Ni nini kinachoweza kusemwa kikubalike kuwa ushahidi wa kweli au wa uongo?
Ni nani anayeweza kusema ili ikubalike kuwa ni kweli?

Paschal, Huwezi kuwa na vipimo tofauti vya kupimia uadilifu au Kweli ............... Kama unaamini kwamba Gwajima anapaswa a behave kama yuko mbinguni sijaweza kujua ni kwa kipimo gani?

Paschal, kipimo ukweli unachompimia Gwajima ndicho kipimo hicho hicho ambacho Makonda anapaswa kupimwa nacho. Ukweli hauna tafsiri mbili na hautegemei mazingira .................................... Unapaswa kujua!
 

For your perusal😵😕
 
Ndugu Mayalla.
anayesamehewa ni yule anayeomba msamaha. ( soma Luka 18:4.) Kama ni kweli Bw . Makonda amemkosea Mch . Gwajima, ni vizuri amwombe msamaha ndivyo Maandiko yanavyosema. MTU akimkosea mwenzie, amwonye, akitubu asamehewe. Kabla ya Mch. Kuombwa msamaha, amwachilie Bw. Makonda.(Mch. atengeneze mazingira ya kuwa tayari kusamehe. Wapendwa, hata MUNGU hawezi kutusamehe mpaka pale tutakapotubu makosa yetu. Ndio maana Mungu anasema tubuni makosa yenu. Ndiyo sababu kubwa leo wanaadamu tunakufa kwa sababu Adamu na Hawa, hawakutubu Bali walijitetea kwa kutoa lawama. Kama wangaliomba msamaha MUNGU angewasamehe.
 
Pascal Mayala haeleweki, ila nae atuambie alikopitia elimu yake mpaka anapata digrii. Make mimi Mayala nimeanza kumsikia anaandika habari wakati hana digrii.......sasa atuambie alikuwa mwandishi vipi wakati hana digrii......na ameipataje digrii yake hapo baadae. Hizi elimu za kuunga zina shida sana.
 
Gwajima kikwetu ni kilichozimika. Katika kilipu yake kuhusu "Kiumbe yule", HAKUTAJA JINA. Hapo kisheria ana kosa? Kisha kusema kuwa "Mtumishi wa Ni zaidi ya Raisi" pia hakutaja ni Raisi (gani au wa Nini). Hakutaja wa TFF, Wa DARUSO, wa chochote. Sijui pia hapo kama atakuwa layabo..
 
Salaam humu, nina hasira sana na Gwajima...

Laiti, mm ningekuwa RC Makonda, saa hizi Gwajima angekuwa maabusu and behind unknown bars..

Serikali, kamateni huyu mchungaji feki, mmemlea sana, kaota mapembe, akijua yuko juu ya state.. Iweje Gwajima, anamchafua Mkuu wa Mkoa, Makonda kwa kiwango hiki, na asikamatwe? With immediate action, kamateni mhuni mchungaji feki, iwe funzo la milele..

HATUWEZI kuwa na mchungaji mhuni mhuni kuchafua viongozi wa serikali kutumia kanisa lake . I wish ningekuwa RC Makonda, sitanii, Gwajima ungejuta, kamata huyu mhuni haraka.. Aaaaarrghh

Haiwezekaniki mchungaji feki huyo kumchafua RC kiasi hiki, no way, no how, not acceptable, lazima lazima heshima iwepo kwa viongozi wa serikali ikibidi kwa lazima, Who is Gwajima? Mandate ya kuchafua kiongozi wa serikali anapata wapi? I was offline for 2 weeks, namuona Gwajima anaachiwa kucheza hovyo, piga ndani huyu mhuni mkubwa, ww Gwajima ww, jua wazi hauko juu ya serikali, na serikali inakujua ww kuliko unavyojijua, acha ujinga mara moja.. Aaaarrghh

Huyu Gwajima anasema yeye ni zaidi ya Rais? Eeeehh.. Ooohh, noo..!!
 
Mi mwenyewe nilikuwa namtazamo kama wako but nilivyoona kimya nikaanza kuamini kuwa alichozungumza gwajima dhidi ya elimu ya makonda ni kweli

Engekuwa kazushiwa ata magu anavyompenda mwanae angeingilia na mchungaji angejuta
 
Kwa nini hakamatwi? ti ti ti ti ...... INAONEKANA hana kosa???? mi hata sijui.
 
Sasa nani kamchafua mwenzie kati ya makonda na ngwajima hivi wewe unadhani tuhuma za kuuza madawa ya kulevya ni ndogo?

Unajua popularity ya ngwajima duniani ?unafananisha na ya makonda ? ngwajima asibitishe tuhuma za makonda kufoji vyeti na makonda asibitishe tuhuma za ngwajima kuuza au kutumia madawa ya kulevya.

msimtetee makonda kwa kigezo cha ukuu wa mkoa mwacheni yeye mwenyewe atoke aweke vyeti hadharani kwanza yeye sio wa kwanza kutuhumia iweje iwe ngumu kwake wenzie wote waweze
 
Mlifeli pale mlipomuita ngwajima central halafu mkawa hamna kidhibiti za kumuweka ndani?


Hapo zimekutoka fa fa fa fa fa wala hujaweka sababu kwanini akamatwe...!

Makonda awekwe ndani naye kwa kutumia jina la mtu kwenye vyeti...

Ngwajima ana vyeti yeye mwenzenu
 
Tatzo Gwajima nae anajisahau sana....Up to this moment ameishajiona kakaa juu ya IKULU....ni suala la MUDA.....maana this guy si MTUMISHI wa MUNGU KABSA......ana mengi machafu TU sema wakati mwingne busara ni jambo la MSINGI sana..na ndicho tunachikiona kwa sasa kupitia hii SERIKALI juu ya GWAJIMA
 
Freedom of press. Hajamchafua Bali kaongea ukweli. Kamata halafu uoneshwe nyaraka uone aibu na umlipe fidia.
Think twice
 
Ukweli Gwajima sidhani kama ni mtumishi wa Mungu wa kweli, labda kuna mungu mwigine anayemtumikia. Haingii akilini unatumia kanisa kueneza uongo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…