Mchungaji Gwajima ni Mtumishi wa Mungu wa kweli au? Asema Uongo. Adai yeye ni zaidi ya Rais

Ni kweli kwani gwajima anawajibika kwa nani kama c kwa MUNGU kupitia kristo yesu?iweje awe sawa na rais,waziri au mbunge?yeye yule wa MUNGU na wala c wa kaisari basi ni nani aliye mkuu Kati ya kaisari na MUNGU jibu unalo.
 

Br Pascal,Napenda nikuunge mkono na mguu coz nafanya maombi maalum MUNGU AJIDHIHIRISHE maana wachungaji/manabii wa uongo wamezidi kuwa wengi mno!na waumini cku hizi wanataka kuona MIUJIZA! hamjui hii ni kwa wale wasioamini?(Na hata Shetani ana miujiza pia),TUSOME NENO LA MUNGU NA NENO LIJAE KWETU! ulaghai huu utauvumbua saa 12 Asubuhi yaani mapema tu!Wafuasi wa Yesu walijulikana hata kwa mwendo wao!....Tambua MATUNDA YAO !....Mwembe hauwezi kuzaa Chungwa,......Alichounganisha Mungu ,Mwanadamu hawezi tenganisha,kama Ndoa,Mke wa Mbasha hakuzaa na mumewe wakaachana,mtoto wakagoma kupima DNA,..The Bold nae madhara hayo hayo![Pamoja na matendo mengine ya uchafu, kufanya kitendo cha mapenzi kabla kuoana kumekatazwa katika maandiko (matendo 15:20; warumi 1:29; wakorintho wa kwanza 5:1; 6:13, 7:2; 10;8; wakorintho wa pili 12:21; wagalatia 5:19; waefeso 5:3; wakolosai 3:5; wathesalonike 4:3; yuda7). Biblia inasisitiza kuepuka kitendo hicho kabla ya ndoa.hii ina maana ya kuwa ni dhambi kama ya uzinifu kwa kuwa hujaunganishwa na unayefanya naye kitendo hicho. Mapenzi baina ya mume na mke waliooana ndiyo mapenzi yanayokubalika mbele za Mungu (waebrania 13:4).]na Mke wa mtu ni katazo katika Amri 10 za MUNGU,....
Endeleeni na kudharau utashi(Uwezo wa kutambua jema na baya) mliopewa na Mungu,Mungu ajatukataza kuchunguza Wachungaji na Watumishi wa Mungu ukiogopa hilo utapotea....,Kwani mchungaji kipofu atakupeleka shimoni.
 
Who are we to judge whether Gwajima is truly a servant of God or not. Hayo tumwachie Mungu mwenyewe. Lakini jambo moja lipo wazi kuwa Gwajima amechokozwa na watawala waliokosa hekima. Nilitarajia, Kiongozi wa dini anapotuhumiwa kwa kosa kubwa kama la madawa ya kulevya, basi ushahidi wa 'kufa mtu' uwe umeshakusanywa. Kamanda Sirro anawezaje kukubali maelekezo potofu kama haya? Frankly speaking, this is simply ridiculous.
 
Kaka Paskali, hapo ndipo utajua kuwa vijana wengi wa sasa wameharibikiwa vichwa kwa sababu ya bangi na "unga". Division 0 hapewi cheti, lakini watu wameshindwa kabisa kufikiria jambo dogo kama hilo!.
Umezaliwa lini ? Nina mashaka na elimu yako !

Necta wametoa sana vyeti vya daraja sifuri kwa taarifa yako.
 
Huwezi kucheza na serikali,serikali huwa haitaniwi na mambo ya ajabu ajabu
 
Mayalla kwa kilugha chetu ni njaa. We bro nimeanza kuamini Rais alikuwa sawa kukuzingua ile siku.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…