Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
- Thread starter
-
- #1,321
He is the one and the same licha ya tofauti za maelezo, hata Adam na Hawa ni wale wale, na uumbaji ni uleule ila maelezo tofauti. Ibrahim ni yule yule, Musa ni yule yule na Torati ni ile ile ya Musa, na Mungu ni yule yule!.Nabii Issa wa kwenye quran na yesu kristo wa kwenye biblia ni watu wawili tofauti kabisa soma historia zao vizuri kwenye hivyo vitabu(kuanzia kuzaliwa kwao hadi kuondoka kwao hapa duniani).Ingawa kwa vitu vichache wanafanana kama uponyaji wa vipofu na viziwi
Sent using Jamii Forums mobile app
Umejuaje ni the same while unasema kuna utofauti wa maelezo?He is the one and the same licha ya tofauti za maelezo, hata Adam na Hawa ni wale wale, na uumbaji ni uleule ila maelezo tofauti. Ibrahim ni yule yule, Musa ni yule yule na Torati ni ile ile ya Musa, na Mungu ni yule yule!.
P.
Hii ni thread ya swali, inayoambatana na hoja, kama unamajibu, jibu hoja.Umekurupuka kijana, hii inatokana na chuki uliyonayo dhidi ya mtu fulani! Unapotumia maandiko matakatifu /Bible unatakiwa kuambatanisha vifungu ambayo itaonyesho maandiko hayo umeyapata wapi!! Sasa kwa wewe maandiko yako yote yahusuyo bible si ya kweli!
Yes Quran na Bible ni vitabu viwili tofauti but the subject matter is the same!.Umejuaje ni the same while unasema kuna utofauti wa maelezo?
Mimi nazungumzia maelezo yao yalivyoandikwa ni tofauti kabisa.
Quran na bible ni vitabu viwili tofauti sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa watanzania wanavyopenda umbea watajaa pomoni na watakuwa wakishangilia.Hawa wanapaswa kuwa watumishi wa Mungu na kufanya kazi ya Mungu kuhubiri Injili, sasa hiki anachokwenda kufanya mtumishi huyu ndio kazi ya Mungu?!.
Usiniambie kuwa, kuna watu na akili zao timamu, siku hiyo, watatoka majumbani mwao, kwenda kulishwa neno la Bwana kumhusu Bashite!.
Wakijitokeza kwa wingi, nitashangaa!.
P.
Kauli, kauli, kauli huumba!.Mungu huinua watumishi kwa kila kipindi kwa makusudi yake. Kwa hiyo haishangazi sana kwa kuinuliwa nabii korofi kwa ajili ya kizazi korofi.
Tutakuwa wengi Sana. Nitawahi seat ya mbele kabisa. Nisipitwe na neno loloteKwa watanzania wanavyopenda umbea watajaa pomoni na watakuwa wakishangilia.
Hii nchi shida sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbuka najaribu kukutaarifu utofauti wa nabii issa na yesu kristo.Yes Quran na Bible ni vitabu viwili tofauti but the subject matter is the same!.
Hata ndani ya Bible vile vitabu vinne vya Injili vina tofauti tofauti lakini the subject matter is the same, Yesu Kristo.
P.
Kizazi hupita mkuu, kizazi korofi kitapita. Au kitanyooshwa na watumishi korofi dizaini ya GwajimaKauli, kauli, kauli huumba!.
Hala hala tusije kujiumbia kizazi korofi kwa kauli zetu hizi, nchi ikaja kushindwa kutawalika!.
P.
Anakemea maovu yenu wanasiasaHawa wanapaswa kuwa watumishi wa Mungu na kufanya kazi ya Mungu kuhubiri Injili, sasa hiki anachokwenda kufanya mtumishi huyu ndio kazi ya Mungu?!.
Usiniambie kuwa, kuna watu na akili zao timamu, siku hiyo, watatoka majumbani mwao, kwenda kulishwa neno la Bwana kumhusu Bashite!.
Wakijitokeza kwa wingi, nitashangaa!.
P.
Wewe ndio huelewi. Hakuna ushabiki ila facts. Issa bin Maryam na Yesu Kristu ni tofauti.Mkuu watu wengi kwenye dini wanaingiza ushabiki. Maelezo yako wengi hawatakuelewa kwasababu moja tu ya Ushabiki! Walichosahau ni kuwa dini si kitu cha ushabiki kama mpira. Hakuna mshindi wala mshindwa hapa duniani kwenye suala la dini. Mshindi na mshindwa ni baada ya kifo siku ya kiama kwa wanaoamini kwamba kipo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Issa ni Issa na Yesu ni Yesu. Kimantiki hata mazingira na jumbe zao ni tofauti. Hata hiyo sheria ya Mungu haijawahi kuoana. Ama ni sheria mbili tofauti, ama kitabu kimojawapo kimefanyiwa mabadiliko.Nabii Issa ni Nabii wa Mungu, jina lake halisi ni Issa Bin Mariyam kwa Kiislsmu kwa Kikisto ni Yesu Kristo.
Mungu ni mmoja, na sheria ya Mungu ni moja tuu, ile ile sheria ya Musa. Kitabu cha sheria ndani ya Quran ni Tourat, ndani.ya Biblia ni Kumbukumbu la Torati.
Adam na Eva ndio Adam na Hawa.
Nabii Ibrahim ndio Abrahamu.
Watoto wake, Ishamel na Isaka ndio Ismaili na Isihaka. Yakobo ndio Yakub, Mtoto wa Yakobo Joseph ndio Yusufu alioeapeleke wana wa Israel, utumwani Misri, na Moses ndie Musa!.
Wakristu na Waislamu ni watoto wa baba mmoja na Mungu mmoja ila majina tofauti!
P.
Huo ndio ushabiki wenyewe. Ww umewahi kumuona Yesu? Umewahi kumuona Issa bin Maryam? Ujinga ni mzigo! Ktk uzao wetu hakuna aliyepata kuwaona hao zaidi ya kusoma kwenye vitabu!Wewe ndio huelewi. Hakuna ushabiki ila facts. Issa bin Maryam na Yesu Kristu ni tofauti.
Sent from my TECNO-J8 using Tapatalk