Mchungaji Gwajima ni Mtumishi wa Mungu wa kweli au? Asema Uongo. Adai yeye ni zaidi ya Rais

Mchungaji Gwajima ni Mtumishi wa Mungu wa kweli au? Asema Uongo. Adai yeye ni zaidi ya Rais

Afya bora kwa kila mwanakawe na mtanzania pia wajasiriamali wenye fruksa .
IMG-20200930-WA0051.jpg
IMG-20200930-WA0050.jpg
 
Halima na uongo wake wooote anadhani tutarudia kosa la kumchagua sahau ilo
Unatuletea hoja zako za uongoo
Safari hii tumejanjaruka tunaenda gwajima
 
Baada ya Mbunge mmoja, kumtaka mbunge mfufua watu afufue wapendwa wetu, mara baada tuu ya kutoa kauli hiyo Bungeni, kesho yake akaugua ghafla, akakimbizwa hospitali ya Muhimbili jana, leo akafariki dunia!.
Nikadhani kifo hicho ni mpango wa mbunge mfufua wafu, ili atende muujiza wa kumfufua!. Kumbe I was wrong kwasababu marehemu amezikwa bila kufufuliwa!.

Hivyo he just died natural death, huwezi kufufuliwa!. Wanao fufuliwa ni wale tuu, wanaokufa kwa kuchukuliwa misukule, ndio huweza hufufuliwa, wanaokufa kweli kwa natural death, hawafufuliki!.

RIP Mbunge marehemu.
P
 
Back
Top Bottom