Baada ya Mbunge mmoja, kumtaka mbunge mfufua watu afufue wapendwa wetu, mara baada tuu ya kutoa kauli hiyo Bungeni, kesho yake akaugua ghafla, akakimbizwa hospitali ya Muhimbili jana, leo akafariki dunia!.
Nikadhani kifo hicho ni mpango wa mbunge mfufua wafu, ili atende muujiza wa kumfufua!. Kumbe I was wrong kwasababu marehemu amezikwa bila kufufuliwa!.
Hivyo he just died natural death, huwezi kufufuliwa!. Wanao fufuliwa ni wale tuu, wanaokufa kwa kuchukuliwa misukule, ndio huweza hufufuliwa, wanaokufa kweli kwa natural death, hawafufuliki!.
RIP Mbunge marehemu.
P