Mchungaji Gwajima ni Mtumishi wa Mungu wa kweli au? Asema Uongo. Adai yeye ni zaidi ya Rais

Mchungaji Gwajima ni Mtumishi wa Mungu wa kweli au? Asema Uongo. Adai yeye ni zaidi ya Rais

Nani alikuambia nafasi ya Mkuu wa mkoa ni ya kisomi nani? Ole Sendeka sialiwahi semwa kuwa aliferi lakini si ni Mkuu wa mkoa? Nafasi ya ukuu wa mkoa inaweza shikiliwa na MTU yeyote
mkuu acha kutetea mayai viza ww kwan kama wasomi wapo na hakuna ajira kwann wateue vilaza hapo si kuna namna tuuu
 
Nani alikuambia nafasi ya Mkuu wa mkoa ni ya kisomi nani? Ole Sendeka sialiwahi semwa kuwa aliferi lakini si ni Mkuu wa mkoa? Nafasi ya ukuu wa mkoa inaweza shikiliwa na MTU yeyote
mkuu acha kutetea mayai viza ww kwan kama wasomi wapo na hakuna ajira kwann wateue vilaza hapo si kuna namna tuuu
 
Mh! Hivi wema alipandishwa kwa ajili gani mahakamani? Tid alipewa mdhamana wa nini? Mbona na yeye hakupelekwa mahakamani kama wengine? Na kama angekuwa mtumiaji kuna video ilisambaa akiwa kanisani akisema amepimwa hakukutwa na kitu.amepekuliwa hawakukuta kitu. Siku zote hizo unategemea polibashet wangemuacha adanganye uma? Au hujui ni kosa kudanganya umma?
 
Wakuu
nimekuwa mfuklatiliaji wa sakata hili tangu lilipoanza na lilipofikia sasa
washukiwa ni wengi na jinsi walivyozipokea taarifa za kuhusishwa na dawa za kulevya ni tofauti kabisa na jinsi zilivyopokelewa na Mchungaji Gwajima!

Kwa jinsi Gwajima alivyozipokea na kupigana vita hii ya yeye kujihusisha dawa za kulevya, huenda kweli ni muhusika wa isue hii

Kwa Gwajima anavyolichukulia jambo hili ni dhahiri ajielewi na anaendeshwa na dawa za kulevya!
Ndio, Gwajima ni muathirika wa dawa za kulevya na anahitaji msaada toka kwa watanzania na serkali kumnusuru na janga hili kwani hali aliyonayo sasa bado aijamuathiri zaidi hivyo awaishiwe tiba!

Nakubaliana na kampeni onesha vyeti, ila sio kwa kushikilia mambo anayoyafanya mtu Caliber ya Gwajima!

Kwa mtu makini atakuwa amegundua kuwa Gwajima sio mzima, kwani wangapi wamechafuliwa na tuhuma hizi na wako kimya?

Kwa jinsi Gwajima anavyolihandle suala hili huenda kweli ni mtumiaji na ameathirika na dawa za kulevya!
Mimi nahisi huenda yeye ni supplier mkubwa, au kwa lugha nyingine jamaa anaweza kuwa muuzaji au msafirishaji.
 
Huu in mfugo
Wakuu
nimekuwa mfuklatiliaji wa sakata hili tangu lilipoanza na lilipofikia sasa
washukiwa ni wengi na jinsi walivyozipokea taarifa za kuhusishwa na dawa za kulevya ni tofauti kabisa na jinsi zilivyopokelewa na Mchungaji Gwajima!

Kwa jinsi Gwajima alivyozipokea na kupigana vita hii ya yeye kujihusisha dawa za kulevya, huenda kweli ni muhusika wa isue hii

Kwa Gwajima anavyolichukulia jambo hili ni dhahiri ajielewi na anaendeshwa na dawa za kulevya!
Ndio, Gwajima ni muathirika wa dawa za kulevya na anahitaji msaada toka kwa watanzania na serkali kumnusuru na janga hili kwani hali aliyonayo sasa bado aijamuathiri zaidi hivyo awaishiwe tiba!

Nakubaliana na kampeni onesha vyeti, ila sio kwa kushikilia mambo anayoyafanya mtu Caliber ya Gwajima!

Kwa mtu makini atakuwa amegundua kuwa Gwajima sio mzima, kwani wangapi wamechafuliwa na tuhuma hizi na wako kimya?

Kwa jinsi Gwajima anavyolihandle suala hili huenda kweli ni mtumiaji na ameathirika na dawa za kulevya!
 
sichangiagi mada za kijinga zilizoandikwa na watu waliopata bashite form four
 
Nani alikuambia nafasi ya Mkuu wa mkoa ni ya kisomi nani? Ole Sendeka sialiwahi semwa kuwa aliferi lakini si ni Mkuu wa mkoa? Nafasi ya ukuu wa mkoa inaweza shikiliwa na MTU yeyote
Jiji kubwa zaidi nchini,linalotegemewa kwa Kodi na uchimi siyo tuu Tanzania Bali nchi jirani pia liongozwe na form four failure... Wash your face bra...utakuwa umetoka usingizini
 
Askofu Gwajima ni jiwe zito la kumtweza kila anayejaribu kulibeba.
Dawa ni kuingia mitini na kujifanya jiwe halipo au kulitumia kama jiwe kuu la pembeni.
 
Wakuu
nimekuwa mfuklatiliaji wa sakata hili tangu lilipoanza na lilipofikia sasa
washukiwa ni wengi na jinsi walivyozipokea taarifa za kuhusishwa na dawa za kulevya ni tofauti kabisa na jinsi zilivyopokelewa na Mchungaji Gwajima!

Kwa jinsi Gwajima alivyozipokea na kupigana vita hii ya yeye kujihusisha dawa za kulevya, huenda kweli ni muhusika wa isue hii

Kwa Gwajima anavyolichukulia jambo hili ni dhahiri ajielewi na anaendeshwa na dawa za kulevya!
Ndio, Gwajima ni muathirika wa dawa za kulevya na anahitaji msaada toka kwa watanzania na serkali kumnusuru na janga hili kwani hali aliyonayo sasa bado aijamuathiri zaidi hivyo awaishiwe tiba!

Nakubaliana na kampeni onesha vyeti, ila sio kwa kushikilia mambo anayoyafanya mtu Caliber ya Gwajima!

Kwa mtu makini atakuwa amegundua kuwa Gwajima sio mzima, kwani wangapi wamechafuliwa na tuhuma hizi na wako kimya?

Kwa jinsi Gwajima anavyolihandle suala hili huenda kweli ni mtumiaji na ameathirika na dawa za kulevya!
Umepata wapi viroba? Si vimepigwa marufuku?
 
Wakuu
nimekuwa mfuklatiliaji wa sakata hili tangu lilipoanza na lilipofikia sasa
washukiwa ni wengi na jinsi walivyozipokea taarifa za kuhusishwa na dawa za kulevya ni tofauti kabisa na jinsi zilivyopokelewa na Mchungaji Gwajima!

Kwa jinsi Gwajima alivyozipokea na kupigana vita hii ya yeye kujihusisha dawa za kulevya, huenda kweli ni muhusika wa isue hii

Kwa Gwajima anavyolichukulia jambo hili ni dhahiri ajielewi na anaendeshwa na dawa za kulevya!
Ndio, Gwajima ni muathirika wa dawa za kulevya na anahitaji msaada toka kwa watanzania na serkali kumnusuru na janga hili kwani hali aliyonayo sasa bado aijamuathiri zaidi hivyo awaishiwe tiba!

Nakubaliana na kampeni onesha vyeti, ila sio kwa kushikilia mambo anayoyafanya mtu Caliber ya Gwajima!

Kwa mtu makini atakuwa amegundua kuwa Gwajima sio mzima, kwani wangapi wamechafuliwa na tuhuma hizi na wako kimya?

Kwa jinsi Gwajima anavyolihandle suala hili huenda kweli ni mtumiaji na ameathirika na dawa za kulevya!
We ndo kabisa ilibidi uwe soba
 
Wanaofatilia vyeti ni necta na wamesema mtu mwenye ushahidi wa kua mtu anatumia vyeti sio vyake apeleke taarifa necta na wametoa hadi mawasiliano na time ya kufika hapo sasa kinachowashinda ni nn
 
Kwa kusoma vitabu vyote vya Mungu kuanzia injili kuna sehemu Yesu aliingia mahekaluni akavunja vunja mali za wayahudi tena akiwa na jazba, Zaburi ya Daudi inakuambia kua Daudi hakua wa michezo! Aliwatandika kweli wapinzani wake kina Goliat, Musa alipambana na jabali La mtu Firaun mpaka tone la mwisho.Mtume Muhammad S.A.W alipigana vita vya uhud huku akiongoza msafara tena akiwa mkali kweli kupambana na maadui zake. Leo upole na uoga wa watumishi wetu hawa uko kwenye vitabu gani?


Hivyo kua na Watumishi wa Mungu wapo wapo tu wanatukanwa wameufyata,Wanaonewa wameufyata hakuna kitu Kama hicho.Hakuna kitabu kinachosema unapoonewa ukae kimya Mungu atakulipa, Hakuna! You should show reactions!

Ndio maana hata kwa kutazama sinema zilizochezwa kuigiza maisha ya Yesu utaona hakuna sehemu alipokua akicheka Cheka hovyo, hakuna sehemu alipokua akimuonea mtu haya,alimwambia Petro kabla jogoo hajawika utanikana mara tatu! Ni kwa sababu alikua anajua tabia ya Petro.

Nadhani hata Mungu anawapenda sana wapambanaji wake wasiokua wanafki, wasiokua watu wa "ndio mzee" Sidhani kama mtumishi wa Mungu ukasimama kuusema ukweli na ukawa mkali Mungu akakuchukia.

Sheikh Ponda na Gwajima aina ya watumishi wa Mungu waliothubutu. Wako tofauti sana na wengine.
Hawa ni wanamikakati na wanahaharakati tu.Mungu ahusiki hata kidogo japo wanatumia jina jina la Mungu.
 
Usemayo ni kweli mkuu manabii waliwakemea na kuwaonya watawala mf, mfalme Daudi alionywa na nabii nathani
 
Acha kumfananisha Shekhe Ponda na Watuhumiwa wa madawa ya kulevya...
Jenga hoja sio kumtaka mtu kunyamaza pasipo sababu.
Tambueni kwamba falme za kiulimwengu si za kimungu. Watumishi wa Mungu lazima wawe against na falme za kiulimwengu ambazo viongozi wake wanataka watu waishi maisha ya kishetani.
 
Acha kumfananisha Shekhe Ponda na Watuhumiwa wa madawa ya kulevya...
Ponda kwani ana nini cha kushindwa kumfananisha na mwingine? Au kwa sababu wewe, yeye na ndugu zenu hamuonekani kwa macho ya kawaida?
 
Back
Top Bottom