Mchungaji Gwajima ni Mtumishi wa Mungu wa kweli au? Asema Uongo. Adai yeye ni zaidi ya Rais

Mchungaji Gwajima ni Mtumishi wa Mungu wa kweli au? Asema Uongo. Adai yeye ni zaidi ya Rais

Nina shaka na uaskofu wa Gwajima! Kuandika hivi sina nia mbaya....narudia tena sina nia mbaya na wala sipo upande wa mtu yeyote yaani sipo kwa Gwajima wala Bashite.......

Kwa mtazamo wangu kiimani naona kwamba "reactions" za huyu baba askofu kwa Makonda hazisadiki dhamana kubwa alinayo kama askofu mbele za mwenyezi Mungu! The fact that we are not perfect, we can't use it as an excuse! If God is only what we have then God is only what we need..

Haina haja ya kujikweza na kujionesha ni jinsi gani tulivyo wasafi na waungwana mbele za binadamu kwa kupitia madhaifu ya adui zetu isipokua maandiko yanasisitiza tuwaombee adui zetu na kuwasamehe wanaotuudhi....!!!

Ninaamini kuwa unyenyekevu ni kati ya nguzo muhimu sana kwa wafuasi wa Mungu! Bila shaka kuna ndugu zangu wengine mtakua mmenielewa......

Thanks for your attention and may God bless you abundantly!!!
All I can say is let's pray for our country!
 
Kwa mimi Mkristo nakumbuka tumeaswa " MSIHUKUMU NANYI MTAHUKUMIWA"! "Standards" za nani anaweza kuwa nani tumuachie Mungu mwenyewe sisi tuangalie maudhui ya habari inayoongelewa! Naamini Askofu bila kujali atakujahukumiwaje ametupa uelewa mkubwa sana wa yaliyokuwa yamefichika! Kuelewa ukweli wa mambo ni sehemu ya elimu!
 
Bt he go against God! Mtumish wa Mungu hapaswi kuwa ivo
Say he goes against God! Ideally you are right, but because the system has decided to remain silent over all the awkward events about Bashite, I think God has chosen Gwajima to speak on behalf of the oppressed and Tanzania in general.live long Gwajima.
 
Jamani msitahamaki sana, kwa anayejua dozi ya nusu kaputi inapoanza kuisha mgonjwa husika huwa na dalili zipi.
Na ndio sisi madaktari huwa hatushangai sana pindi tuonapo dalili hizo toka kwa mgonjwa Wetu.

Dawa ikiisha makali utaona tu mgonjwa ka tulia na kurudia hali ya kawaida.
 
Nina shaka na uaskofu wa Gwajima! Kuandika hivi sina nia mbaya....narudia tena sina nia mbaya na wala sipo upande wa mtu yeyote yaani sipo kwa Gwajima wala Bashite....... ila kwa mtazamo wangu kiimani naona kwamba "reactions" za huyu baba askofu kwa Makonda hazisadiki dhamana kubwa alinayo kama askofu mbele za mwenyezi Mungu! The fact that we are not perfect, we can't use it as an excuse! If God is only what we have then God is only what we need....haina haja ya kujikweza na kujionesha ni jinsi gani tulivyo wasafi na waungwana mbele za binadamu kwa kupitia madhaifu ya adui zetu isipokua maandiko yanasisitiza tuwaombee adui zetu na kuwasamehe wanaotuudhi....!!! Ninaamini kuwa unyenyekevu ni kati ya nguzo muhimu sana kwa wafuasi wa Mungu! Bila shaka kuna ndugu zangu wengine mtakua mmenielewa......Thanks for your attention and may God bless you abundantly!!!
All I can say is let's pray for our country!
Twende hivyo hivyo, wewe unajuaje kuwa huyo unayemuita baba yako ni baba yako kweli, si unamkubali kwa kuambiwa. Kubali na Gwajima kuwa ni Askofu kwa kuambiwa!
 
Nina shaka na uaskofu wa Gwajima! Kuandika hivi sina nia mbaya....narudia tena sina nia mbaya na wala sipo upande wa mtu yeyote yaani sipo kwa Gwajima wala Bashite....... ila kwa mtazamo wangu kiimani naona kwamba "reactions" za huyu baba askofu kwa Makonda hazisadiki dhamana kubwa alinayo kama askofu mbele za mwenyezi Mungu! The fact that we are not perfect, we can't use it as an excuse! If God is only what we have then God is only what we need....haina haja ya kujikweza na kujionesha ni jinsi gani tulivyo wasafi na waungwana mbele za binadamu kwa kupitia madhaifu ya adui zetu isipokua maandiko yanasisitiza tuwaombee adui zetu na kuwasamehe wanaotuudhi....!!! Ninaamini kuwa unyenyekevu ni kati ya nguzo muhimu sana kwa wafuasi wa Mungu! Bila shaka kuna ndugu zangu wengine mtakua mmenielewa......Thanks for your attention and may God bless you abundantly!!!
All I can say is let's pray for our country!
Muda wa kuanza kupoint madhaifu ya mwenzio unaupata wapi au umeshatajiwa siku ya kufa na upo cleared kuingia mbinguni? Andaa njia zako yeye ni mwanadamu tu kama wewe, madhaifu yake muachie yeye na mungu wake.
 
Nina shaka na uaskofu wa Gwajima! Kuandika hivi sina nia mbaya....narudia tena sina nia mbaya na wala sipo upande wa mtu yeyote yaani sipo kwa Gwajima wala Bashite....... ila kwa mtazamo wangu kiimani naona kwamba "reactions" za huyu baba askofu kwa Makonda hazisadiki dhamana kubwa alinayo kama askofu mbele za mwenyezi Mungu! The fact that we are not perfect, we can't use it as an excuse! If God is only what we have then God is only what we need....haina haja ya kujikweza na kujionesha ni jinsi gani tulivyo wasafi na waungwana mbele za binadamu kwa kupitia madhaifu ya adui zetu isipokua maandiko yanasisitiza tuwaombee adui zetu na kuwasamehe wanaotuudhi....!!! Ninaamini kuwa unyenyekevu ni kati ya nguzo muhimu sana kwa wafuasi wa Mungu! Bila shaka kuna ndugu zangu wengine mtakua mmenielewa......Thanks for your attention and may God bless you abundantly!!!
All I can say is let's pray for our country!
Tatizo lenu mliwazoea wale watumishi mnaoweza kuwa chamba wakanyamaza sasa huyu Gwajima si waaina hiyo
 
Nina shaka na uaskofu wa Gwajima! Kuandika hivi sina nia mbaya....narudia tena sina nia mbaya na wala sipo upande wa mtu yeyote yaani sipo kwa Gwajima wala Bashite....... ila kwa mtazamo wangu kiimani naona kwamba "reactions" za huyu baba askofu kwa Makonda hazisadiki dhamana kubwa alinayo kama askofu mbele za mwenyezi Mungu! The fact that we are not perfect, we can't use it as an excuse! If God is only what we have then God is only what we need....haina haja ya kujikweza na kujionesha ni jinsi gani tulivyo wasafi na waungwana mbele za binadamu kwa kupitia madhaifu ya adui zetu isipokua maandiko yanasisitiza tuwaombee adui zetu na kuwasamehe wanaotuudhi....!!! Ninaamini kuwa unyenyekevu ni kati ya nguzo muhimu sana kwa wafuasi wa Mungu! Bila shaka kuna ndugu zangu wengine mtakua mmenielewa......Thanks for your attention and may God bless you abundantly!!!
All I can say is let's pray for our country!
Acha ujinga kama vile umekunywa mvinyo ulio chacha.we sio muumini wake.we ulikuwepo Mungu alipomwita.shut up your big mouth.
 
Kwa mimi Mkristo nakumbuka tumeaswa " MSIHUKUMU NANYI MTAHUKUMIWA"! "Standards" za nani anaweza kuwa nani tumuachie Mungu mwenyewe sisi tuangalie maudhui ya habari inayoongelewa! Naamini Askofu bila kujali atakujahukumiwaje ametupa uelewa mkubwa sana wa yaliyokuwa yamefichika! Kuelewa ukweli wa mambo ni sehemu ya elimu!
Tutawapima kwa matendo yao.MUNGU mwenyewe alisema.
 
Mmezoea viongozi wanafiki kama kina mkatoliki, wao hata kama ina madoa wanasema ni Clean,clean ...absolute clean
Tumewachoka viongozi wanafi sasa ni zama za kusema ukweli na ndicho afanyacho Gwajima
 
Back
Top Bottom