Mchungaji Gwajima ni Mtumishi wa Mungu wa kweli au? Asema Uongo. Adai yeye ni zaidi ya Rais

Mchungaji Gwajima ni Mtumishi wa Mungu wa kweli au? Asema Uongo. Adai yeye ni zaidi ya Rais

We mashaka yameanza leo? Mbona yafahamika siku mingi tu kwamba anakamua maziwa ya kondoo wote waliopote njia
 
yule ni kama kondoo wa bwana aliepotea, hapaswi kushindana nae kwa kumkomoa. anapaswa kumuombea na kumsamehe adui yake.


wenye akili tumekuelewa.
 
Say he goes against God! Ideally you are right, but because the system has decided to remain silent over all the awkward events about Bashite, I think God has chosen Gwajima to speak on behalf of the oppressed and Tanzania in general.live long Gwajima.
Andika kiswahili tuelewe
 
Nina shaka na uaskofu wa Gwajima! Kuandika hivi sina nia mbaya....narudia tena sina nia mbaya na wala sipo upande wa mtu yeyote yaani sipo kwa Gwajima wala Bashite.......

Kwa mtazamo wangu kiimani naona kwamba "reactions" za huyu baba askofu kwa Makonda hazisadiki dhamana kubwa alinayo kama askofu mbele za mwenyezi Mungu! The fact that we are not perfect, we can't use it as an excuse! If God is only what we have then God is only what we need..

Haina haja ya kujikweza na kujionesha ni jinsi gani tulivyo wasafi na waungwana mbele za binadamu kwa kupitia madhaifu ya adui zetu isipokua maandiko yanasisitiza tuwaombee adui zetu na kuwasamehe wanaotuudhi....!!!

Ninaamini kuwa unyenyekevu ni kati ya nguzo muhimu sana kwa wafuasi wa Mungu! Bila shaka kuna ndugu zangu wengine mtakua mmenielewa......

Thanks for your attention and may God bless you abundantly!!!
All I can say is let's pray for our country!
Tatizo umelelewa katika imani ya kinuha kwamba unafiki ni sehemu ya muumini katika kuonyesha ukaribu na Mungu.

Tell as it is ndiyo imani ya Kikristo
Unapoambiwa utaijua kweli nayo kweli itakuweka huru unafikiri ni kweli ya kukufurahisha tu.

Gwajima anasema kile anachokijua Achana na tone wakati WA kusema angalia kile anachotaka wewe usikie
 
Alinyamaza sana, lakini inambidi kufanya hivyo, kwa sababu wao hawafanyi ipasavyo kufanya.
sometimes kunyamaza kunaumiza moyo
 
Nina shaka na uaskofu wa Gwajima! Kuandika hivi sina nia mbaya....narudia tena sina nia mbaya na wala sipo upande wa mtu yeyote yaani sipo kwa Gwajima wala Bashite.......

Kwa mtazamo wangu kiimani naona kwamba "reactions" za huyu baba askofu kwa Makonda hazisadiki dhamana kubwa alinayo kama askofu mbele za mwenyezi Mungu! The fact that we are not perfect, we can't use it as an excuse! If God is only what we have then God is only what we need..

Haina haja ya kujikweza na kujionesha ni jinsi gani tulivyo wasafi na waungwana mbele za binadamu kwa kupitia madhaifu ya adui zetu isipokua maandiko yanasisitiza tuwaombee adui zetu na kuwasamehe wanaotuudhi....!!!

Ninaamini kuwa unyenyekevu ni kati ya nguzo muhimu sana kwa wafuasi wa Mungu! Bila shaka kuna ndugu zangu wengine mtakua mmenielewa......

Thanks for your attention and may God bless you abundantly!!!
All I can say is let's pray for our country!
Ata mle naona kama huyu gwajima kapotea kwenye nyumba ya mungu unamfanya mungu awe subtopic in kosa kubwa
 
Say he goes against God! Ideally you are right, but because the system has decided to remain silent over all the awkward events about Bashite, I think God has chosen Gwajima to speak on behalf of the oppressed and Tanzania in general.live long Gwajima.
Typing error......sorry
 
Huwezi kueleweka mkuu. Watu wanataka ubuyu wa kupost insta kutoka kwa baba askofu. Lakini nakwambia neno moja, ulichosema ni kweli.
Inasikitisha kuona muumini anaenda kanisani kwa kutaka tu kupata ubuyu na kusahau lengo kuu la kusali na kumtukuza Mungu
 
Nina shaka na uaskofu wa Gwajima! Kuandika hivi sina nia mbaya....narudia tena sina nia mbaya na wala sipo upande wa mtu yeyote yaani sipo kwa Gwajima wala Bashite.......

Kwa mtazamo wangu kiimani naona kwamba "reactions" za huyu baba askofu kwa Makonda hazisadiki dhamana kubwa alinayo kama askofu mbele za mwenyezi Mungu! The fact that we are not perfect, we can't use it as an excuse! If God is only what we have then God is only what we need..

Haina haja ya kujikweza na kujionesha ni jinsi gani tulivyo wasafi na waungwana mbele za binadamu kwa kupitia madhaifu ya adui zetu isipokua maandiko yanasisitiza tuwaombee adui zetu na kuwasamehe wanaotuudhi....!!!

Ninaamini kuwa unyenyekevu ni kati ya nguzo muhimu sana kwa wafuasi wa Mungu! Bila shaka kuna ndugu zangu wengine mtakua mmenielewa......

Thanks for your attention and may God bless you abundantly!!!
All I can say is let's pray for our country!
tofautisha battle na mahubiri. jamaa yupo kwenye battle na watu wanaotaka kumpoteza kabisa, unategemea atakuwa anatoa mistari ya rehema za Mungu? he's being attacked na kuna mambo ya chini kwa chini yanaendelea kummaliza kabisa, mikutano yake ya nje ya nchi alikotakiwa kuhubiri haendi tena kwasababu yupo kwenye probation/binding over ya police kuripoti mara kwa mara na watu wa nje ambao hawataki kusikia hata harufu ya madawa ya kulevya wameshaambiwa na bashite kuwa jamaa anauza ngada. hawatasikia tena mahubiri yake, hiyo damage unaona ni ndogo? na bado anaundiwa mwanamke aambiwe amezaa naye, bado adui anaendelea kumtafutia kashfa, unategemea afanye nini?
 
Back
Top Bottom