#COVID19 Mchungaji Gwajima ni wa kukamatwa na kufunguliwa kesi ya Uchochezi, Uhaini na Ugaidi

#COVID19 Mchungaji Gwajima ni wa kukamatwa na kufunguliwa kesi ya Uchochezi, Uhaini na Ugaidi

Shujaa Mwendazake

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
4,016
Reaction score
6,759
Napenda kutoa Rai kwa Vyombo vya Ulinzi na usalama kumkamata mara moja Mh Gwajima, kumuhoji na kumshitaki kwa counts tatu za msingi.Sitaki kuzungumzi hotuba ya Mch Gwajima kanisani kwake juzi, kwani si jambo geni humu na litaunganisha uzi na nyuzi zingine kama hizo. Mods Nakimbilia moja kwa moja kwenye hoja kuu ya Uzi huu.

Kwa muelekeo wa kamati ya Mh. Samia na ushauri wake, na kwa maamuzi ya serikali kuhusu kuchanjwa. Sote tuna imani wataalamu wetu wa afya wameshirikishwa vya kutosha, pia tunaamini vyombo vyetu vya usalama nikimaanisha idara ya Usalama wa Taifa wameshafanya Upembuzi yakinifu na juu ya tuhuma hizi za chanjo ya Covid kuwa hatari kwa maisha yetu. Kwa hiyo mpaka chanjo inaingia maana yake "there is no doubt about it" . Lakin tunafahamu hata itakapoingia itachunguzwa pia na kuthibitishwa zaidi.

Kimantiki ninashauri Mch Gwajima afunguliwe kesi 3 za msingi ambazo ni Uchochezi, Uhaini na Ugaidi kwa jinsi nilivyojifunza muundo wa siasa zetu.

Shitaka la kwanza la uchochezi liko Clear kuwa ana"mislead " wananchi kwa kupotosha kitu ambacho hajafanyia utafiti kitaalamu maana alitakiwa aje na ripoti yake ya uchunguzi kitaalamu tungemuelewa. Gwajima ni mbunge na ni kiongozi wa kiroho hivyo ana ushawishi mkubwa sana. Inavyoonekana anatumia ushawishi wake kuwagawa watanzania, kuwafanya Raia kupinga maamuzi ya serikali, anaingilia masuala nyeti ya afya za watanzania. Hebu tujiulize ikitokea Bagonza akapinga Chanjo ya Surua, Bakwata wakapenga ya Pepopunda, Makamba akapinga ya Polio itakuwaje huko Mbele. Nauona huu ni uchochezi kabisa.


Kwanini afunguliwe kesi ya Uhaini, ni kwa sababu anaingilia Muenendo wa Rais, viongozi wakuu wa serikali na vyombo vya usalama vya nchi. Kwa kauli yake Gwajima anaamuru maaskari, makachero na maofisa wa vyombo vya ulinzi na usalama wasichanjwe huku akiwatishia kuwa watadhurika. Hii litawafanya wao kukwepa au kupinga amri hii na hapa Gwajima atakuwa "accessory after the fact" ya uhaini huu wa Askari wetu. Lingine ni kutuhakikishia kuwa Viongozi wakuu wa serikali akiwamo Rais watadhurika ama hata kufa baada ya kutumia Chanjo hii. Gwajima anapaswa kuhojiwa na kuiambia Serikali ametoa wapi taarifa hizi za Rais kudhurika kama akitumia hii chanjo. Itakapokuja kutokea isije ikaonekana alikuwa na maono ama vip. Iisje maadui zetu wakapata mwanya huohuo wa maneno ya Gwajima kumdhuru Rais wetu mpendwa.

La mwisho Gwajima napaswa kupewa kesi ya Ugaidi ama kuhusishwa na huu ugaidi ama kuwa shahidi wa muhimu wa njama za ugaidi anaousemea yeye against taifa letu. Gwajima anajua ama ana taarifa za watanzania Mamilioni kudhurika ama hatimaye kufa kwa matumizi ya dawa hizi. Anaaswa kukamatwa na kuhojiwa kwa habari hizi. Nevertheless kama si kweli kesi ya ugaidi inamuhusu. Huu ni ugaidi wa kifikra na mawazo ya watanzania ikiwemo kuwatia hofu "Terror -> Terrorism" .

Nitoe Rai jwa vyombo vya ulinzi na usalama kumchukulia hatua Askofu Gwajima, tuache yale ya watu kusema Mkuu fulani anaumwa, mkuu fulani atafariki na wakachekewa hatimaye inakuwa kweli then wanaitwa manabii.



Na pindi ikitokea hii chanjo kuna mtu amedhurika , Mtuhumiwa wa kwanza awe Gwajima. Ikitokea Covid ikatupiga zaid sababu ya kutochanjwa Gwajima anatakiwa ashitakiwe pia kwa kutufanya tupingane na WHO .

Kazi na iendelee!..
 
Huoni mpaka hapo watakuwa wamembambikia kesi,kumbe siku hizi ukija na wazo tofauti na mwenyekiti tayari unastahili kesi ya Ugaidi,uhaini na uhujumu uchumi any way muhimu we njoo na hoja za uzuri wa chanjo Basi,tofauti na hivyo na wewe unastahili kesi ya Uchochezi ili tuweke mizani sawa.
 
Huoni mpaka hapo watakuwa wamembambikia kesi,kumbe siku hizi ukija na wazo tofauti na mwenyekiti tayari unastahili kesi ya Ugaidi,uhaini na uhujumu uchumi any way muhimu we njoo na hoja za uzuri wa chanjo Basi,tofauti na hivyo na wewe unastahili kesi ya Uchochezi ili tuweke mizani sawa.
Tumeona mfano kwa Mbowe,kuzungumzia Katiba Mpya kawekewa mzigo wa kesi ya ugaidi.
 
Aliyeanza kutugawa ni Samia ambaye amejifanya kama hakuwa kwenye serikali ya Magu. Lakini pia hao unaowaita wataalamu wetu hebu tupe uthibitisho ni lini na wapi walifanya utafiti na kuona hizo chanjo zipo salama?

Ziko wapi scientific research zao zinazonesha chanjo inayogusa DNA/RNA ipo salama? Kama walishindwa hata kutengeza case scenarios za kupima ubora wa vifaa vya kupimia corona hadi Mh. Magu akatumia janja yake na kukuta mapapai yana corona, je leo huo uwezo wa kupima ubora wa chanjo wameuotoa wapi?

Hizo chanjo wamezijaribisha kwenye nini na wakapata uhakika kuwa taifa lipo salama na kile wanachokipokea kutoka ulaya na marekani ni chanjo salama na siyo bio-wepon?
 
Napenda kutoa Rai kwa Vyombo vya Ulinzi na usalama kumkamata mara moja Mh Gwajima, kumuhoji na kumshitaki kwa counts tatu za msingi.Sitaki kuzungumzi hotuba ya Mch Gwajima kanisani kwake juzi, kwani si jambo geni humu na litaunganisha uzi na nyuzi zingine kama hizo. Mods Nakimbilia moja kwa moja kwenye hoja kuu ya Uzi huu...
Kwa hiyo kumbe mtu anafunguliwa kesi ya uhujum uchumi na ugaidi bila hayo makosa kuatenda??? Anafunguliwa tu kesi???? Mna una laana mpumbavu wewe
 
Nakubaliana na wewe gwajima anapotosha watu na kukwamisha juhudi za kupambana na huu ugonjwa wakati wanakufa na akikamatwa atoe ushahidi wa hyo hoja yake na kupitia hzo kauli zake watu wanapuuza kuchukua tahadhari, na ndio maana mwaka jana hotuba yake ya kanisani kuwa coronavirus ni mpango wa 5G na blah blah nyingi alizoangalia kwa ma conspiracies wa mtandaoni ilifutwa na FB kwa uchochezi na kupotosha
 
Nakubaliana na wewe gwajima anapotosha watu na kukwamisha juhudi za kupambana na huu ugonjwa wakati wanakufa na akikamatwa atoe ushahidi wa hyo hoja yake na kupitia hzo kauli zake watu wanapuuza kuchukua tahadhari, na ndio maana mwaka jana hotuba yake ya kanisani kuwa coronavirus ni mpango wa 5G na blah blah nyingi alizoangalia kwa ma conspiracies wa mtandaoni ilifutwa na FB kwa uchochezi na kupotosha
Hili jina la Gwajima linatatizo sn angalia hata yule waziri ni tope kabisa
 
Napenda kutoa Rai kwa Vyombo vya Ulinzi na usalama kumkamata mara moja Mh Gwajima, kumuhoji na kumshitaki kwa counts tatu za msingi.Sitaki kuzungumzi hotuba ya Mch Gwajima kanisani kwake juzi, kwani si jambo geni humu na litaunganisha uzi na nyuzi zingine kama hizo. Mods Nakimbilia moja kwa moja kwenye hoja kuu ya Uzi huu.

Kwa muelekeo wa kamati ya Mh. Samia na ushauri wake, na kwa maamuzi ya serikali kuhusu kuchanjwa. Sote tuna imani wataalamu wetu wa afya wameshirikishwa vya kutosha, pia tunaamini vyombo vyetu vya usalama nikimaanisha idara ya Usalama wa Taifa wameshafanya Upembuzi yakinifu na juu ya tuhuma hizi za chanjo ya Covid kuwa hatari kwa maisha yetu. Kwa hiyo mpaka chanjo inaingia maana yake "there is no doubt about it" . Lakin tunafahamu hata itakapoingia itachunguzwa pia na kuthibitishwa zaidi.

Kimantiki ninashauri Mch Gwajima afunguliwe kesi 3 za msingi ambazo ni Uchochezi, Uhaini na Ugaidi kwa jinsi nilivyojifunza muundo wa siasa zetu.

Shitaka la kwanza la uchochezi liko Clear kuwa ana"mislead " wananchi kwa kupotosha kitu ambacho hajafanyia utafiti kitaalamu maana alitakiwa aje na ripoti yake ya uchunguzi kitaalamu tungemuelewa. Gwajima ni mbunge na ni kiongozi wa kiroho hivyo ana ushawishi mkubwa sana. Inavyoonekana anatumia ushawishi wake kuwagawa watanzania, kuwafanya Raia kupinga maamuzi ya serikali, anaingilia masuala nyeti ya afya za watanzania. Hebu tujiulize ikitokea Bagonza akapinga Chanjo ya Surua, Bakwata wakapenga ya Pepopunda, Makamba akapinga ya Polio itakuwaje huko Mbele. Nauona huu ni uchochezi kabisa.

Kwanini afunguliwe kesi ya Uhaini, ni kwa sababu anaingilia Muenendo wa Rais, viongozi wakuu wa serikali na vyombo vya usalama vya nchi. Kwa kauli yake Gwajima anaamuru maaskari, makachero na maofisa wa vyombo vya ulinzi na usalama wasichanjwe huku akiwatishia kuwa watadhurika. Hii litawafanya wao kukwepa au kupinga amri hii na hapa Gwajima atakuwa "accessory after the fact" ya uhaini huu wa Askari wetu. Lingine ni kutuhakikishia kuwa Viongozi wakuu wa serikali akiwamo Rais watadhurika ama hata kufa baada ya kutumia Chanjo hii. Gwajima anapaswa kuhojiwa na kuiambia Serikali ametoa wapi taarifa hizi za Rais kudhurika kama akitumia hii chanjo. Itakapokuja kutokea isije ikaonekana alikuwa na maono ama vip. Iisje maadui zetu wakapata mwanya huohuo wa maneno ya Gwajima kumdhuru Rais wetu mpendwa.

La mwisho Gwajima napaswa kupewa kesi ya Ugaidi ama kuhusishwa na huu ugaidi ama kuwa shahidi wa muhimu wa njama za ugaidi anaousemea yeye against taifa letu. Gwajima anajua ama ana taarifa za watanzania Mamilioni kudhurika ama hatimaye kufa kwa matumizi ya dawa hizi. Anaaswa kukamatwa na kuhojiwa kwa habari hizi. Nevertheless kama si kweli kesi ya ugaidi inamuhusu. Huu ni ugaidi wa kifikra na mawazo ya watanzania ikiwemo kuwatia hofu "Terror -> Terrorism" .

Nitoe Rai jwa vyombo vya ulinzi na usalama kumchukulia hatua Askofu Gwajima, tuache yale ya watu kusema Mkuu fulani anaumwa, mkuu fulani atafariki na wakachekewa hatimaye inakuwa kweli then wanaitwa manabii.

Na pindi ikitokea hii chanjo kuna mtu amedhurika , Mtuhumiwa wa kwanza awe Gwajima. Ikitokea Covid ikatupiga zaid sababu ya kutochanjwa Gwajima anatakiwa ashitakiwe pia kwa kutufanya tupingane na WHO .

Kazi na iendelee!..
Itakuwa maajabu huyu Gwajima Kama hajakamatwa nakufunguliwa kesi
 
Nakubaliana na wewe gwajima anapotosha watu na kukwamisha juhudi za kupambana na huu ugonjwa wakati wanakufa na akikamatwa atoe ushahidi wa hyo hoja yake na kupitia hzo kauli zake watu wanapuuza kuchukua tahadhari, na ndio maana mwaka jana hotuba yake ya kanisani kuwa coronavirus ni mpango wa 5G na blah blah nyingi alizoangalia kwa ma conspiracies wa mtandaoni ilifutwa na FB kwa uchochezi na kupotosha
Wewe hujasoma watu kuganda damu au kufa,au hedhi kubadilika hedhi baada ya kuchanjwa?

Haya hebu tujuze long term side effects za chanjo?
Tujuze kwanini consent form inaeleza serikali haitahusika kwa lolote likimpata mgonjwa?
 
Napenda kutoa Rai kwa Vyombo vya Ulinzi na usalama kumkamata mara moja Mh Gwajima, kumuhoji na kumshitaki kwa counts tatu za msingi.Sitaki kuzungumzi hotuba ya Mch Gwajima kanisani kwake juzi, kwani si jambo geni humu na litaunganisha uzi na nyuzi zingine kama hizo. Mods Nakimbilia moja kwa moja kwenye hoja kuu ya Uzi huu.

Kwa muelekeo wa kamati ya Mh. Samia na ushauri wake, na kwa maamuzi ya serikali kuhusu kuchanjwa. Sote tuna imani wataalamu wetu wa afya wameshirikishwa vya kutosha, pia tunaamini vyombo vyetu vya usalama nikimaanisha idara ya Usalama wa Taifa wameshafanya Upembuzi yakinifu na juu ya tuhuma hizi za chanjo ya Covid kuwa hatari kwa maisha yetu. Kwa hiyo mpaka chanjo inaingia maana yake "there is no doubt about it" . Lakin tunafahamu hata itakapoingia itachunguzwa pia na kuthibitishwa zaidi.

Kimantiki ninashauri Mch Gwajima afunguliwe kesi 3 za msingi ambazo ni Uchochezi, Uhaini na Ugaidi kwa jinsi nilivyojifunza muundo wa siasa zetu.

Shitaka la kwanza la uchochezi liko Clear kuwa ana"mislead " wananchi kwa kupotosha kitu ambacho hajafanyia utafiti kitaalamu maana alitakiwa aje na ripoti yake ya uchunguzi kitaalamu tungemuelewa. Gwajima ni mbunge na ni kiongozi wa kiroho hivyo ana ushawishi mkubwa sana. Inavyoonekana anatumia ushawishi wake kuwagawa watanzania, kuwafanya Raia kupinga maamuzi ya serikali, anaingilia masuala nyeti ya afya za watanzania. Hebu tujiulize ikitokea Bagonza akapinga Chanjo ya Surua, Bakwata wakapenga ya Pepopunda, Makamba akapinga ya Polio itakuwaje huko Mbele. Nauona huu ni uchochezi kabisa.


Kwanini afunguliwe kesi ya Uhaini, ni kwa sababu anaingilia Muenendo wa Rais, viongozi wakuu wa serikali na vyombo vya usalama vya nchi. Kwa kauli yake Gwajima anaamuru maaskari, makachero na maofisa wa vyombo vya ulinzi na usalama wasichanjwe huku akiwatishia kuwa watadhurika. Hii litawafanya wao kukwepa au kupinga amri hii na hapa Gwajima atakuwa "accessory after the fact" ya uhaini huu wa Askari wetu. Lingine ni kutuhakikishia kuwa Viongozi wakuu wa serikali akiwamo Rais watadhurika ama hata kufa baada ya kutumia Chanjo hii. Gwajima anapaswa kuhojiwa na kuiambia Serikali ametoa wapi taarifa hizi za Rais kudhurika kama akitumia hii chanjo. Itakapokuja kutokea isije ikaonekana alikuwa na maono ama vip. Iisje maadui zetu wakapata mwanya huohuo wa maneno ya Gwajima kumdhuru Rais wetu mpendwa.

La mwisho Gwajima napaswa kupewa kesi ya Ugaidi ama kuhusishwa na huu ugaidi ama kuwa shahidi wa muhimu wa njama za ugaidi anaousemea yeye against taifa letu. Gwajima anajua ama ana taarifa za watanzania Mamilioni kudhurika ama hatimaye kufa kwa matumizi ya dawa hizi. Anaaswa kukamatwa na kuhojiwa kwa habari hizi. Nevertheless kama si kweli kesi ya ugaidi inamuhusu. Huu ni ugaidi wa kifikra na mawazo ya watanzania ikiwemo kuwatia hofu "Terror -> Terrorism" .

Nitoe Rai jwa vyombo vya ulinzi na usalama kumchukulia hatua Askofu Gwajima, tuache yale ya watu kusema Mkuu fulani anaumwa, mkuu fulani atafariki na wakachekewa hatimaye inakuwa kweli then wanaitwa manabii.

Na pindi ikitokea hii chanjo kuna mtu amedhurika , Mtuhumiwa wa kwanza awe Gwajima. Ikitokea Covid ikatupiga zaid sababu ya kutochanjwa Gwajima anatakiwa ashitakiwe pia kwa kutufanya tupingane na WHO .

Kazi na iendelee!..
Terrorism is the unlawful use of force or violence against persons or property to intimidate or coerce a government or its citizens to further certain political or social objectives
 
Back
Top Bottom