Kama idadi ya wateja wa halotel.. ha hah haaa
..idadi ya waumini wa kanisa la gwajima ni kubwa kuliko idadi ya kura alizopata TL ktk uchaguzi mkuu wa 2020.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama idadi ya wateja wa halotel.. ha hah haaa
Napenda kutoa Rai kwa Vyombo vya Ulinzi na usalama kumkamata mara moja Mh Gwajima, kumuhoji na kumshitaki kwa counts tatu za msingi.Sitaki kuzungumzi hotuba ya Mch Gwajima kanisani kwake juzi, kwani si jambo geni humu na litaunganisha uzi na nyuzi zingine kama hizo. Mods Nakimbilia moja kwa moja kwenye hoja kuu ya Uzi huu.
Kwa muelekeo wa kamati ya Mh. Samia na ushauri wake, na kwa maamuzi ya serikali kuhusu kuchanjwa. Sote tuna imani wataalamu wetu wa afya wameshirikishwa vya kutosha, pia tunaamini vyombo vyetu vya usalama nikimaanisha idara ya Usalama wa Taifa wameshafanya Upembuzi yakinifu na juu ya tuhuma hizi za chanjo ya Covid kuwa hatari kwa maisha yetu. Kwa hiyo mpaka chanjo inaingia maana yake "there is no doubt about it" . Lakin tunafahamu hata itakapoingia itachunguzwa pia na kuthibitishwa zaidi.
Kimantiki ninashauri Mch Gwajima afunguliwe kesi 3 za msingi ambazo ni Uchochezi, Uhaini na Ugaidi kwa jinsi nilivyojifunza muundo wa siasa zetu.
Shitaka la kwanza la uchochezi liko Clear kuwa ana"mislead " wananchi kwa kupotosha kitu ambacho hajafanyia utafiti kitaalamu maana alitakiwa aje na ripoti yake ya uchunguzi kitaalamu tungemuelewa. Gwajima ni mbunge na ni kiongozi wa kiroho hivyo ana ushawishi mkubwa sana. Inavyoonekana anatumia ushawishi wake kuwagawa watanzania, kuwafanya Raia kupinga maamuzi ya serikali, anaingilia masuala nyeti ya afya za watanzania. Hebu tujiulize ikitokea Bagonza akapinga Chanjo ya Surua, Bakwata wakapenga ya Pepopunda, Makamba akapinga ya Polio itakuwaje huko Mbele. Nauona huu ni uchochezi kabisa.
#COVID19 - Waziri Mkuu: Tusipotoshane kwa sababu hakuna Serikali inayoweza kuandaa mpango wa kuwaangamiza wananchi wake
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema, Serikali haitamlazimisha mwananchi kuchanjwa chanjo ya corona. Amewataka Watanzania wapuuze upotoshaji unaosambazwa “Chanjo ni hiari tusipotoshane kwa sababu hakuna Serikali inayoweza kuandaa mpango wa kuwaangamiza wananchi wake." ========= WAZIRI Mkuu...www.jamiiforums.com
Kwanini afunguliwe kesi ya Uhaini, ni kwa sababu anaingilia Muenendo wa Rais, viongozi wakuu wa serikali na vyombo vya usalama vya nchi. Kwa kauli yake Gwajima anaamuru maaskari, makachero na maofisa wa vyombo vya ulinzi na usalama wasichanjwe huku akiwatishia kuwa watadhurika. Hii litawafanya wao kukwepa au kupinga amri hii na hapa Gwajima atakuwa "accessory after the fact" ya uhaini huu wa Askari wetu. Lingine ni kutuhakikishia kuwa Viongozi wakuu wa serikali akiwamo Rais watadhurika ama hata kufa baada ya kutumia Chanjo hii. Gwajima anapaswa kuhojiwa na kuiambia Serikali ametoa wapi taarifa hizi za Rais kudhurika kama akitumia hii chanjo. Itakapokuja kutokea isije ikaonekana alikuwa na maono ama vip. Iisje maadui zetu wakapata mwanya huohuo wa maneno ya Gwajima kumdhuru Rais wetu mpendwa.
La mwisho Gwajima napaswa kupewa kesi ya Ugaidi ama kuhusishwa na huu ugaidi ama kuwa shahidi wa muhimu wa njama za ugaidi anaousemea yeye against taifa letu. Gwajima anajua ama ana taarifa za watanzania Mamilioni kudhurika ama hatimaye kufa kwa matumizi ya dawa hizi. Anaaswa kukamatwa na kuhojiwa kwa habari hizi. Nevertheless kama si kweli kesi ya ugaidi inamuhusu. Huu ni ugaidi wa kifikra na mawazo ya watanzania ikiwemo kuwatia hofu "Terror -> Terrorism" .
Nitoe Rai jwa vyombo vya ulinzi na usalama kumchukulia hatua Askofu Gwajima, tuache yale ya watu kusema Mkuu fulani anaumwa, mkuu fulani atafariki na wakachekewa hatimaye inakuwa kweli then wanaitwa manabii.
Na pindi ikitokea hii chanjo kuna mtu amedhurika , Mtuhumiwa wa kwanza awe Gwajima. Ikitokea Covid ikatupiga zaid sababu ya kutochanjwa Gwajima anatakiwa ashitakiwe pia kwa kutufanya tupingane na WHO .
Kazi na iendelee!..
Huko FB hazifutwi post za akina Gwajima tu wanafuta hata madaktari na wataalamu mbalimbali na Youtube ni hivyo hivyo, sasa haieleweki kipi cha kupotosha na kipi hakitakiwi watu kusikia tu?Nakubaliana na wewe gwajima anapotosha watu na kukwamisha juhudi za kupambana na huu ugonjwa wakati wanakufa na akikamatwa atoe ushahidi wa hyo hoja yake na kupitia hzo kauli zake watu wanapuuza kuchukua tahadhari, na ndio maana mwaka jana hotuba yake ya kanisani kuwa coronavirus ni mpango wa 5G na blah blah nyingi alizoangalia kwa ma conspiracies wa mtandaoni ilifutwa na FB kwa uchochezi na kupotosha
Nadhani ndio litazidi kumpaisha Gwajima na kuonekana amenyamazishwa ili asiseme ukweli.Itakuwa maajabu huyu Gwajima Kama hajakamatwa nakufunguliwa kesi
Na wewe ni lini na wapi, kwa kutumia maabara gani ulithibitisha kua chanjo zina madhara. Hadi takwimu za hivi karibuni watu 3.8 billion ambayo ni nusu ya dunia wameshapata chanjo, huku bara la Africa likiwa na pungufu ya asilimia 3 ya watu wote wa bara la Afrika waliochanjwa. Na hii inasabbishwa na watu wapotoshaji nachelea kusema jamii yako na huyo unaemtetea. Madhara yake gonjwa hili litatia kambi barani Afrika kwa miaka kadhaa. Mfano mdogo ni Malaria na Kipindupindu. Magonjwa haya yalikuwepo nchi zote miaka ya huko nyuma. Lakini kwa sasa yamebaki sana Afrika na Asia, kwanza kwa sababu ya umaskini, uduni wa fikra, maarifa na ujuaji usio na uthibitisho wa kisayansi na kuendekeza kufuata mkumbo na maneno ya kwenye vijiwe. Na kwa trend hii, Afrika isipochukua hatua, huu ugonjwa utatia kambi barani kwa miongo.Aliyeanza kutugawa ni Samia ambaye amejifanya kama hakuwa kwenye serikali ya Magu. Lakini pia hao unaowaita wataalamu wetu hebu tupe uthibitisho ni lini na wapi walifanya utafiti na kuona hizo chanjo zipo salama?
Ziko wapi scientific research zao zinazonesha chanjo inayogusa DNA/RNA ipo salama? Kama walishindwa hata kutengeza case scenarios za kupima ubora wa vifaa vya kupimia corona hadi Mh. Magu akatumia janja yake na kukuta mapapai yana corona, je leo huo uwezo wa kupima ubora wa chanjo wameuotoa wapi?
Hizo chanjo wamezijaribisha kwenye nini na wakapata uhakika kuwa taifa lipo salama na kile wanachokipokea kutoka ulaya na marekani ni chanjo salama na siyo bio-wepon?
Zote za kupotoshwa zifutweHuko FB hazifutwi post za akina Gwajima tu wanafuta hata madaktari na wataalamu mbalimbali na Youtube ni hivyo hivyo, sasa haieleweki kipi cha kupotosha na kipi hakitakiwi watu kusikia tu?
Mbowe alikuwa na dalili zote za umumiani; anza na yaliyomtokea Chacha Wangwe baada ya kutangaza nia ya kugombea uenyekiti.Tumeona mfano kwa Mbowe,kuzungumzia Katiba Mpya kawekewa mzigo wa kesi ya ugaidi.
Napenda kutoa Rai kwa Vyombo vya Ulinzi na usalama kumkamata mara moja Mh Gwajima, kumuhoji na kumshitaki kwa counts tatu za msingi.Sitaki kuzungumzi hotuba ya Mch Gwajima kanisani kwake juzi, kwani si jambo geni humu na litaunganisha uzi na nyuzi zingine kama hizo. Mods Nakimbilia moja kwa moja kwenye hoja kuu ya Uzi huu.
Kwa muelekeo wa kamati ya Mh. Samia na ushauri wake, na kwa maamuzi ya serikali kuhusu kuchanjwa. Sote tuna imani wataalamu wetu wa afya wameshirikishwa vya kutosha, pia tunaamini vyombo vyetu vya usalama nikimaanisha idara ya Usalama wa Taifa wameshafanya Upembuzi yakinifu na juu ya tuhuma hizi za chanjo ya Covid kuwa hatari kwa maisha yetu. Kwa hiyo mpaka chanjo inaingia maana yake "there is no doubt about it" . Lakin tunafahamu hata itakapoingia itachunguzwa pia na kuthibitishwa zaidi.
Kimantiki ninashauri Mch Gwajima afunguliwe kesi 3 za msingi ambazo ni Uchochezi, Uhaini na Ugaidi kwa jinsi nilivyojifunza muundo wa siasa zetu.
Shitaka la kwanza la uchochezi liko Clear kuwa ana"mislead " wananchi kwa kupotosha kitu ambacho hajafanyia utafiti kitaalamu maana alitakiwa aje na ripoti yake ya uchunguzi kitaalamu tungemuelewa. Gwajima ni mbunge na ni kiongozi wa kiroho hivyo ana ushawishi mkubwa sana. Inavyoonekana anatumia ushawishi wake kuwagawa watanzania, kuwafanya Raia kupinga maamuzi ya serikali, anaingilia masuala nyeti ya afya za watanzania. Hebu tujiulize ikitokea Bagonza akapinga Chanjo ya Surua, Bakwata wakapenga ya Pepopunda, Makamba akapinga ya Polio itakuwaje huko Mbele. Nauona huu ni uchochezi kabisa.
#COVID19 - Waziri Mkuu: Tusipotoshane kwa sababu hakuna Serikali inayoweza kuandaa mpango wa kuwaangamiza wananchi wake
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema, Serikali haitamlazimisha mwananchi kuchanjwa chanjo ya corona. Amewataka Watanzania wapuuze upotoshaji unaosambazwa “Chanjo ni hiari tusipotoshane kwa sababu hakuna Serikali inayoweza kuandaa mpango wa kuwaangamiza wananchi wake." ========= WAZIRI Mkuu...www.jamiiforums.com
Kwanini afunguliwe kesi ya Uhaini, ni kwa sababu anaingilia Muenendo wa Rais, viongozi wakuu wa serikali na vyombo vya usalama vya nchi. Kwa kauli yake Gwajima anaamuru maaskari, makachero na maofisa wa vyombo vya ulinzi na usalama wasichanjwe huku akiwatishia kuwa watadhurika. Hii litawafanya wao kukwepa au kupinga amri hii na hapa Gwajima atakuwa "accessory after the fact" ya uhaini huu wa Askari wetu. Lingine ni kutuhakikishia kuwa Viongozi wakuu wa serikali akiwamo Rais watadhurika ama hata kufa baada ya kutumia Chanjo hii. Gwajima anapaswa kuhojiwa na kuiambia Serikali ametoa wapi taarifa hizi za Rais kudhurika kama akitumia hii chanjo. Itakapokuja kutokea isije ikaonekana alikuwa na maono ama vip. Iisje maadui zetu wakapata mwanya huohuo wa maneno ya Gwajima kumdhuru Rais wetu mpendwa.
La mwisho Gwajima napaswa kupewa kesi ya Ugaidi ama kuhusishwa na huu ugaidi ama kuwa shahidi wa muhimu wa njama za ugaidi anaousemea yeye against taifa letu. Gwajima anajua ama ana taarifa za watanzania Mamilioni kudhurika ama hatimaye kufa kwa matumizi ya dawa hizi. Anaaswa kukamatwa na kuhojiwa kwa habari hizi. Nevertheless kama si kweli kesi ya ugaidi inamuhusu. Huu ni ugaidi wa kifikra na mawazo ya watanzania ikiwemo kuwatia hofu "Terror -> Terrorism" .
Nitoe Rai jwa vyombo vya ulinzi na usalama kumchukulia hatua Askofu Gwajima, tuache yale ya watu kusema Mkuu fulani anaumwa, mkuu fulani atafariki na wakachekewa hatimaye inakuwa kweli then wanaitwa manabii.
Na pindi ikitokea hii chanjo kuna mtu amedhurika , Mtuhumiwa wa kwanza awe Gwajima. Ikitokea Covid ikatupiga zaid sababu ya kutochanjwa Gwajima anatakiwa ashitakiwe pia kwa kutufanya tupingane na WHO .
Kazi na iendelee!..
Hujui kitu wewe msukule wa Lumumba. Chacha alipambishwa na CCM kupitia kitengo akaanzisha ugomvi,wakazidi kumchochea tifu lilipofika kwenye peak wakamuua wakijua jumba bovu litamuangukia Mbowe. Waliaanda watu wa kulipazia sauti na mmoja wao alikuwa Marehemu Mtikila,wakalipeleka kwa Wakurya wakati wa uchaguzi mdogo kujaza nafasi iliyoachwa na Chacha na aliyebeba bango akawa Mtikila. Uzuri Wakurya siyo mabwege wakamfumua jiwe Mtikila na wakachagua mtu toka Chadema tena kujaza nafasi hiyo. Na hadi leo hii mtoto wa Chacha ni kada mtiifu wa Chadema,hii propaganda muflisi ili fail nashangaa hadi leo wewe unaishikia bango kudhihirisha uzezeta wako.Mbowe alikuwa na dalili zote za umumiani; anza na yaliyomtokea Chacha Wangwe baada ya kutangaza nia ya kugombea uenyekiti.
CCM hawamuwezi , Gwajima ana'watu'.Kwa mara yakwanza namuunga mkono Gwajima. Na hata wanaomshambulia wanajua kabisa kuwa yuko saw but wanalinda heshima ya bibi
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Huyo mtoto hajui kilichomtokea baba yake maskini. Laiti angejua .......!Na hadi leo hii mtoto wa Chacha ni kada mtiifu wa Chadema,hii propaganda muflisi ili fail nashangaa hadi leo wewe unaishikia bango kudhihirisha uzezeta wako.
Wewe ndiye hujui unakariri,tafuteni nyingine hii imeshapitwa na wakati. Kwa Serikali hii ya kidhalimu kama ni kweli Mbowe alimuua Chacha angeshajifia jela. Hata hii ya sasa itapita kwani tuhuma zilizotengenezwa na Sabaya kwa maelekezo ya yule dhalim aliyeko motoni sasaHuyo mtoto hajui kilichomtokea baba yake maskini. Laiti angejua .......!
Napenda kutoa Rai kwa Vyombo vya Ulinzi na usalama kumkamata mara moja Mh Gwajima, kumuhoji na kumshitaki kwa counts tatu za msingi.Sitaki kuzungumzi hotuba ya Mch Gwajima kanisani kwake juzi, kwani si jambo geni humu na litaunganisha uzi na nyuzi zingine kama hizo. Mods Nakimbilia moja kwa moja kwenye hoja kuu ya Uzi huu.
Kwa muelekeo wa kamati ya Mh. Samia na ushauri wake, na kwa maamuzi ya serikali kuhusu kuchanjwa. Sote tuna imani wataalamu wetu wa afya wameshirikishwa vya kutosha, pia tunaamini vyombo vyetu vya usalama nikimaanisha idara ya Usalama wa Taifa wameshafanya Upembuzi yakinifu na juu ya tuhuma hizi za chanjo ya Covid kuwa hatari kwa maisha yetu. Kwa hiyo mpaka chanjo inaingia maana yake "there is no doubt about it" . Lakin tunafahamu hata itakapoingia itachunguzwa pia na kuthibitishwa zaidi.
Kimantiki ninashauri Mch Gwajima afunguliwe kesi 3 za msingi ambazo ni Uchochezi, Uhaini na Ugaidi kwa jinsi nilivyojifunza muundo wa siasa zetu.
Shitaka la kwanza la uchochezi liko Clear kuwa ana"mislead " wananchi kwa kupotosha kitu ambacho hajafanyia utafiti kitaalamu maana alitakiwa aje na ripoti yake ya uchunguzi kitaalamu tungemuelewa. Gwajima ni mbunge na ni kiongozi wa kiroho hivyo ana ushawishi mkubwa sana. Inavyoonekana anatumia ushawishi wake kuwagawa watanzania, kuwafanya Raia kupinga maamuzi ya serikali, anaingilia masuala nyeti ya afya za watanzania. Hebu tujiulize ikitokea Bagonza akapinga Chanjo ya Surua, Bakwata wakapenga ya Pepopunda, Makamba akapinga ya Polio itakuwaje huko Mbele. Nauona huu ni uchochezi kabisa.
#COVID19 - Waziri Mkuu: Tusipotoshane kwa sababu hakuna Serikali inayoweza kuandaa mpango wa kuwaangamiza wananchi wake
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema, Serikali haitamlazimisha mwananchi kuchanjwa chanjo ya corona. Amewataka Watanzania wapuuze upotoshaji unaosambazwa “Chanjo ni hiari tusipotoshane kwa sababu hakuna Serikali inayoweza kuandaa mpango wa kuwaangamiza wananchi wake." ========= WAZIRI Mkuu...www.jamiiforums.com
Kwanini afunguliwe kesi ya Uhaini, ni kwa sababu anaingilia Muenendo wa Rais, viongozi wakuu wa serikali na vyombo vya usalama vya nchi. Kwa kauli yake Gwajima anaamuru maaskari, makachero na maofisa wa vyombo vya ulinzi na usalama wasichanjwe huku akiwatishia kuwa watadhurika. Hii litawafanya wao kukwepa au kupinga amri hii na hapa Gwajima atakuwa "accessory after the fact" ya uhaini huu wa Askari wetu. Lingine ni kutuhakikishia kuwa Viongozi wakuu wa serikali akiwamo Rais watadhurika ama hata kufa baada ya kutumia Chanjo hii. Gwajima anapaswa kuhojiwa na kuiambia Serikali ametoa wapi taarifa hizi za Rais kudhurika kama akitumia hii chanjo. Itakapokuja kutokea isije ikaonekana alikuwa na maono ama vip. Iisje maadui zetu wakapata mwanya huohuo wa maneno ya Gwajima kumdhuru Rais wetu mpendwa.
La mwisho Gwajima napaswa kupewa kesi ya Ugaidi ama kuhusishwa na huu ugaidi ama kuwa shahidi wa muhimu wa njama za ugaidi anaousemea yeye against taifa letu. Gwajima anajua ama ana taarifa za watanzania Mamilioni kudhurika ama hatimaye kufa kwa matumizi ya dawa hizi. Anaaswa kukamatwa na kuhojiwa kwa habari hizi. Nevertheless kama si kweli kesi ya ugaidi inamuhusu. Huu ni ugaidi wa kifikra na mawazo ya watanzania ikiwemo kuwatia hofu "Terror -> Terrorism" .
Nitoe Rai jwa vyombo vya ulinzi na usalama kumchukulia hatua Askofu Gwajima, tuache yale ya watu kusema Mkuu fulani anaumwa, mkuu fulani atafariki na wakachekewa hatimaye inakuwa kweli then wanaitwa manabii.
Na pindi ikitokea hii chanjo kuna mtu amedhurika , Mtuhumiwa wa kwanza awe Gwajima. Ikitokea Covid ikatupiga zaid sababu ya kutochanjwa Gwajima anatakiwa ashitakiwe pia kwa kutufanya tupingane na WHO .
Kazi na iendelee!..