Mchungaji: Hali ya joto inayoendelea nchini kwetu ni kutokana no moto aliowasa Mungu Los Angles US

Mchungaji: Hali ya joto inayoendelea nchini kwetu ni kutokana no moto aliowasa Mungu Los Angles US

Faana

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2011
Posts
38,657
Reaction score
44,759
Hilo ndilo amesema kiongozi wetu leo kwenye Jumuiya akituonya kuacha dhambi kwasababu nyakati hizi zinafanana na zile za Sodoma na Gomora
 
Ndio maana mapdre walizuia waumini kutoa tafakari ya injili au mahubiri kwa sababu kulisha matango pori waumini.
 
Hilo ndilo amesema kiongozi wetu leo kwenye Jumuiya akituonya kuacha dhambi kwasababu nyakati hizi zinafanana na zile za Sodoma na Gomora
Maneno ya ze bull dozier ama?
 
Hilo ndilo amesema kiongozi wetu leo kwenye Jumuiya akituonya kuacha dhambi kwasababu nyakati hizi zinafanana na zile za Sodoma na Gomora
Avatar na post yako mme-Faana Haswaa!
😂
 
Wakristo tuko na hali mbaya. Huyu pichani naye ni nabii. Anajiita Prophetes Naise
FB_IMG_1699715167675.jpg
 
Hilo ndilo amesema kiongozi wetu leo kwenye Jumuiya akituonya kuacha dhambi kwasababu nyakati hizi zinafanana na zile za Sodoma na Gomora

Hama hiyo jumuiya
 
Back
Top Bottom