Hawezi kuchukua hatua maana ni wanatekeleza maagizo kutoka juu.Kama ni kweli anachosema mchungaji, basi hali ni tete. Serikali inabidi Ichukue hatua za kisheria.
Wote wahusika wametenda kosa la jinai kwa kuingia utarstibu wa uhandikishaji wa wapiga kura
Binafsi nlijua umekata moto, Pole sana naongeza kusema dini zimeshindwa kutuletea rais na viongozi wa taifa letu
Haya anayoeleza Huyu Mchungaji Mchungaji Israel Ernest Ngatunga kama ni kweli basi CCM hawataaci madaraka kamwe kwa njia ya amani kupitia boksi la kura
Pia soma: LGE2024 - Vijana wa CCM wamshambulia Mjumbe wa Kamati Tendaji ya CHADEMA katika Kituo cha Uandikishaji
sasa huoni kwamba mchungaji mwenyewe ndio hasa mwenye tatizo?
Haya anayoeleza Huyu Mchungaji Mchungaji Israel Ernest Ngatunga kama ni kweli basi CCM hawataaci madaraka kamwe kwa njia ya amani kupitia boksi la kura
Pia soma: LGE2024 - Vijana wa CCM wamshambulia Mjumbe wa Kamati Tendaji ya CHADEMA katika Kituo cha Uandikishaji
Sharti la kwanza la kua kwwnye chama cha kijwni ki kutokua na akili timamusasa huoni kwamba mchungaji mwenyewe ndio hasa mwenye tatizo?
kabisaa umeona na kukiri daftari sio rasmi na bado unang"ang"ana nalo mpaka ukapigwa.
Je kama walikua wanakusanya rambirambi kwa ajili ya kufanikisha safari ya mwisho ya mwenzao, wewe ilikua inakuhusu nini na hawakuhitaji msaada wako?
Na je,
ikiwa walikua ni timu ya mpira wa miguu, walikua wanakusanya chochote kitu kutoka kwa wadau kisha wanaorodhesha kwenye daftari lao ili hatimae waende kwenye mechi, wewe ilikua inakuhusu nini?
haya sasa upepigwa upper cut chembe la kidevu, umsaidia nini au umefaidika na nini eti baba mchungaji?π
sifahamu,Sharti la kwanza la kua kwwnye chama cha kijwni ki kutokua na akili timamu
Hv unamwandalia mazingira gn mwanao , km ww mzazi wake unatetea mfumo mbovu ? Rambi rambi inakusanywa kweny njia ya kwenda kituo Cha kujiandikishia ?sasa huoni kwamba mchungaji mwenyewe ndio hasa mwenye tatizo?
kabisaa umeona na kukiri daftari sio rasmi na bado unang"ang"ana nalo mpaka ukapigwa.
Je kama walikua wanakusanya rambirambi kwa ajili ya kufanikisha safari ya mwisho ya mwenzao, wewe ilikua inakuhusu nini na hawakuhitaji msaada wako?
Na je,
ikiwa walikua ni timu ya mpira wa miguu, walikua wanakusanya chochote kitu kutoka kwa wadau kisha wanaorodhesha kwenye daftari lao ili hatimae waende kwenye mechi, wewe ilikua inakuhusu nini?
haya sasa upepigwa upper cut chembe la kidevu, umsaidia nini au umefaidika na nini eti baba mchungaji?π
sio kwenye njia ya kwenda kituo cha kujiandikishia tu,Hv unamwandalia mazingira gn mwanao , km ww mzazi wake unatetea mfumo mbovu ? Rambi rambi inakusanywa kweny njia ya kwenda kituo Cha kujiandikishia ?
CCMU WANAHISI WAASI HAWAWEZ TOKEA TZ , ILA SOON WANAELEWA TU
Acha kutetea upuzsasa huoni kwamba mchungaji mwenyewe ndio hasa mwenye tatizo?
kabisaa umeona na kukiri daftari sio rasmi na bado unang"ang"ana nalo mpaka ukapigwa.
Je kama walikua wanakusanya rambirambi kwa ajili ya kufanikisha safari ya mwisho ya mwenzao, wewe ilikua inakuhusu nini na hawakuhitaji msaada wako?
Na je,
ikiwa walikua ni timu ya mpira wa miguu, walikua wanakusanya chochote kitu kutoka kwa wadau kisha wanaorodhesha kwenye daftari lao ili hatimae waende kwenye mechi, wewe ilikua inakuhusu nini?
haya sasa upepigwa upper cut chembe la kidevu, umsaidia nini au umefaidika na nini eti baba mchungaji?π
na mtaendelea kupigwa tu mkileta upuuzi kwenye mambo binafsi ya watu, mkidhani kwamba nyinyi ndiyo hodari zaidi, mna haki zaidi ya wengine na mnaweza kuwaelekeza watu cha kufanya mtakavyo ninyi,Acha kutetea upuz
Ova
Mtawapiga hao hao mliyowazoeana mtaendelea kupigwa tu mkileta upuuzi kwenye mambo binafsi ya watu, mkidhani kwamba nyinyi ndiyo hodari zaidi, mna haki zaidi ya wengine na mnaweza kuwaelekeza watu cha kufanya mtakavyo ninyi,
nami nasema mpigwe tu π
Serikali ipi?????Kama ni kweli anachosema mchungaji, basi hali ni tete. Serikali inabidi Ichukue hatua za kisheria.
Wote wahusika wametenda kosa la jinai kwa kuingia utarstibu wa uhandikishaji wa wapiga kura
Yaan wewe kama shoga kwakwelina mtaendelea kupigwa tu mkileta upuuzi kwenye mambo binafsi ya watu, mkidhani kwamba nyinyi ndiyo hodari zaidi, mna haki zaidi ya wengine na mnaweza kuwaelekeza watu cha kufanya mtakavyo ninyi,
nami nasema mpigwe tu π
sasa huoni kwamba mchungaji mwenyewe ndio hasa mwenye tatizo?
kabisaa umeona na kukiri daftari sio rasmi na bado unang"ang"ana nalo mpaka ukapigwa.
Je kama walikua wanakusanya rambirambi kwa ajili ya kufanikisha safari ya mwisho ya mwenzao, wewe ilikua inakuhusu nini na hawakuhitaji msaada wako?
Na je,
ikiwa walikua ni timu ya mpira wa miguu, walikua wanakusanya chochote kitu kutoka kwa wadau kisha wanaorodhesha kwenye daftari lao ili hatimae waende kwenye mechi, wewe ilikua inakuhusu nini?
haya sasa upepigwa upper cut chembe la kidevu, umsaidia nini au umefaidika na nini eti baba mchungaji?π