Mchungaji Kimaro: Matajiri ndio Walimzika Yesu, akina Petro na wenzake waliokula bure miaka 3 walimkimbia!

Mchungaji Kimaro: Matajiri ndio Walimzika Yesu, akina Petro na wenzake waliokula bure miaka 3 walimkimbia!

Kama kumuelewa ni kugumu hivyo, basi hafai. Mchungaji mzuri ni yule anayeeleweka vizuri na kila mtu, na hasababishi taharuki kwa mahubiri yake.
Biblia sio kitabu cha hadithi. Hata Yesu alifundisha kwa mifano; ni watu wachache walimuelewa. Usipoelewa leo utaelewa kesho, buta subira. Lakini usimhukumu kabla ya kumuelewa.
 
Mchungaji Kimaro wa KKKT Kijitonyama amesema Tajiri Yusuf wa Almathaya ndio aliyemzika Yesu katika kaburi lake la kifahari

Kimaro amesema Kanisa linawahitaji Matajiri kwa sababu ndio wanaoliondolea Kanisa aibu Wakati wa uhitaji

Hivyo tusiwape majina mabaya Matajiri kwa kuwaita Mafisadi, Wahujumu Uchumi au Freemason Kwani utajiri ni baraka hata katika level ya familia Kwani ndio wanaofuta aibu za familia, amesisitiza mchungaji Kimaro

Kimaro amesema Watu wengi ni walinzi tu wa makaburi kama wale Walinzi wa Pilato waliotumwa kulinda kaburi la Yesu, hivyo wewe kama mkristo usikubali kuwa Mlinda makaburi

Nawatakia Pasaka Njema!
Yesu sindie mungu mungu wenu au?
 
Ili tajiri awepo ni lazima' masikini awepo .......Sasa sijui mbezi beach au masaki bila
kwa mtohole tutajuana'a vipi tuheshimiane kwa kila level ..huku duniani tunapita tu. Xxxxx
Kasema kweli tatizo wabongo kwao ukweli mwiko kila mtu utaka aitwe tajiri hata ambae hana hata kuku
 
Mchungaji Kimaro wa KKKT Kijitonyama amesema Tajiri Yusuf wa Almathaya ndio aliyemzika Yesu katika kaburi lake la kifahari

Kimaro amesema Kanisa linawahitaji Matajiri kwa sababu ndio wanaoliondolea Kanisa aibu Wakati wa uhitaji

Hivyo tusiwape majina mabaya Matajiri kwa kuwaita Mafisadi, Wahujumu Uchumi au Freemason Kwani utajiri ni baraka hata katika level ya familia Kwani ndio wanaofuta aibu za familia, amesisitiza mchungaji Kimaro

Kimaro amesema Watu wengi ni walinzi tu wa makaburi kama wale Walinzi wa Pilato waliotumwa kulinda kaburi la Yesu, hivyo wewe kama mkristo usikubali kuwa Mlinda makaburi

Nawatakia Pasaka Njema!
Huku kitaa watu maskini ndo wako mstari wa mbele kuchimba kaburi na kuzika.
 
Ufalme wa mbingu ni stori za kusadika,,,na ndio hizo zinawapumbaza watu waendelee kuishi kizembe huku hao wanao yahubiri hayo wakiendelea kula mema ya dunia hii,,Ishi sasa kadri uwezavyo,,, Habari za kusadikika utakutana nazo huko huko,,,(mbere kwa mbere)in Magu's Voisi!!
Ukweli wa Kimaro umekuingia sasa unakata tamaa ulitaka aseme uongo hen
 
Mchungaji Kimaro wa KKKT Kijitonyama amesema Tajiri Yusuf wa Almathaya ndio aliyemzika Yesu katika kaburi lake la kifahari

Kimaro amesema Kanisa linawahitaji Matajiri kwa sababu ndio wanaoliondolea Kanisa aibu Wakati wa uhitaji

Hivyo tusiwape majina mabaya Matajiri kwa kuwaita Mafisadi, Wahujumu Uchumi au Freemason Kwani utajiri ni baraka hata katika level ya familia Kwani ndio wanaofuta aibu za familia, amesisitiza mchungaji Kimaro

Kimaro amesema Watu wengi ni walinzi tu wa makaburi kama wale Walinzi wa Pilato waliotumwa kulinda kaburi la Yesu, hivyo wewe kama mkristo usikubali kuwa Mlinda makaburi

Nawatakia Pasaka Njema!
Ningetamani makanisa yasitegemee fedha kuhubiri habari njema ni hatari na ni mtego shetani anautumia Sasa. Tutosheke na sadaka Mungu atakayotusaidia kupata.
 
Back
Top Bottom