myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 166,767
- 705,461
Ndio..ndio yule mchungaji aliyepewa likizo ya kujitafakari?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio..ndio yule mchungaji aliyepewa likizo ya kujitafakari?
Biblia sio kitabu cha hadithi. Hata Yesu alifundisha kwa mifano; ni watu wachache walimuelewa. Usipoelewa leo utaelewa kesho, buta subira. Lakini usimhukumu kabla ya kumuelewa.Kama kumuelewa ni kugumu hivyo, basi hafai. Mchungaji mzuri ni yule anayeeleweka vizuri na kila mtu, na hasababishi taharuki kwa mahubiri yake.
Yesu sindie mungu mungu wenu au?Mchungaji Kimaro wa KKKT Kijitonyama amesema Tajiri Yusuf wa Almathaya ndio aliyemzika Yesu katika kaburi lake la kifahari
Kimaro amesema Kanisa linawahitaji Matajiri kwa sababu ndio wanaoliondolea Kanisa aibu Wakati wa uhitaji
Hivyo tusiwape majina mabaya Matajiri kwa kuwaita Mafisadi, Wahujumu Uchumi au Freemason Kwani utajiri ni baraka hata katika level ya familia Kwani ndio wanaofuta aibu za familia, amesisitiza mchungaji Kimaro
Kimaro amesema Watu wengi ni walinzi tu wa makaburi kama wale Walinzi wa Pilato waliotumwa kulinda kaburi la Yesu, hivyo wewe kama mkristo usikubali kuwa Mlinda makaburi
Nawatakia Pasaka Njema!
Weeee[emoji847][emoji2957]"...ninasadiki kwa kanisa moja ,Takatifu katoliki la mitume...." Kanisa hili halina ubabaishaji kabisa
Kasema kweli tatizo wabongo kwao ukweli mwiko kila mtu utaka aitwe tajiri hata ambae hana hata kukuIli tajiri awepo ni lazima' masikini awepo .......Sasa sijui mbezi beach au masaki bila
kwa mtohole tutajuana'a vipi tuheshimiane kwa kila level ..huku duniani tunapita tu. Xxxxx
Mlilitaka nyote muitwe matajiri hali yakuwa mmepaukaAshaanza kulewa sifa, mapinduzi makubwa katika kitabu cha matendo na uzihirisho wa roho Mtakatifu walifanya matajiri? Shida ni jina Kimaro.
Huku kitaa watu maskini ndo wako mstari wa mbele kuchimba kaburi na kuzika.Mchungaji Kimaro wa KKKT Kijitonyama amesema Tajiri Yusuf wa Almathaya ndio aliyemzika Yesu katika kaburi lake la kifahari
Kimaro amesema Kanisa linawahitaji Matajiri kwa sababu ndio wanaoliondolea Kanisa aibu Wakati wa uhitaji
Hivyo tusiwape majina mabaya Matajiri kwa kuwaita Mafisadi, Wahujumu Uchumi au Freemason Kwani utajiri ni baraka hata katika level ya familia Kwani ndio wanaofuta aibu za familia, amesisitiza mchungaji Kimaro
Kimaro amesema Watu wengi ni walinzi tu wa makaburi kama wale Walinzi wa Pilato waliotumwa kulinda kaburi la Yesu, hivyo wewe kama mkristo usikubali kuwa Mlinda makaburi
Nawatakia Pasaka Njema!
Ukweli wa Kimaro umekuingia sasa unakata tamaa ulitaka aseme uongo henUfalme wa mbingu ni stori za kusadika,,,na ndio hizo zinawapumbaza watu waendelee kuishi kizembe huku hao wanao yahubiri hayo wakiendelea kula mema ya dunia hii,,Ishi sasa kadri uwezavyo,,, Habari za kusadikika utakutana nazo huko huko,,,(mbere kwa mbere)in Magu's Voisi!!
Tumsifu Yesu Kristu"...ninasadiki kwa kanisa moja ,Takatifu katoliki la mitume...." Kanisa hili halina ubabaishaji kabisa
Mibongo ndivyo ilivyo mkuuKasema kweli tatizo wabongo kwao ukweli mwiko kila mtu utaka aitwe tajiri hata ambae hana hata kuku
Ila lina ufreemasoni wa kutosha 🤣🤣🤣"...ninasadiki kwa kanisa moja ,Takatifu katoliki la mitume...." Kanisa hili halina ubabaishaji kabisa
Ningetamani makanisa yasitegemee fedha kuhubiri habari njema ni hatari na ni mtego shetani anautumia Sasa. Tutosheke na sadaka Mungu atakayotusaidia kupata.Mchungaji Kimaro wa KKKT Kijitonyama amesema Tajiri Yusuf wa Almathaya ndio aliyemzika Yesu katika kaburi lake la kifahari
Kimaro amesema Kanisa linawahitaji Matajiri kwa sababu ndio wanaoliondolea Kanisa aibu Wakati wa uhitaji
Hivyo tusiwape majina mabaya Matajiri kwa kuwaita Mafisadi, Wahujumu Uchumi au Freemason Kwani utajiri ni baraka hata katika level ya familia Kwani ndio wanaofuta aibu za familia, amesisitiza mchungaji Kimaro
Kimaro amesema Watu wengi ni walinzi tu wa makaburi kama wale Walinzi wa Pilato waliotumwa kulinda kaburi la Yesu, hivyo wewe kama mkristo usikubali kuwa Mlinda makaburi
Nawatakia Pasaka Njema!