johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Kama unabisha nenda Keko magodown au Kisutu majamatini uangalie Kazi wanazopewa Vijana wa kigalatia
Mchungaji Kimaro yuko sahihi kwa 60% kwamba Vijana wa kiislamu ni waaminifu
Hata ulinganishe tu UVCCM, Ngome ya Vijana ACT wazalendo na Bavicha majibu unayapata
Mimi ni mgalatia lakini Ukweli aliposema Mchungaji Kimaro utabaki kuwa ukweli
Mchungaji Kimaro yuko sahihi kwa 60% kwamba Vijana wa kiislamu ni waaminifu
Hata ulinganishe tu UVCCM, Ngome ya Vijana ACT wazalendo na Bavicha majibu unayapata
Mimi ni mgalatia lakini Ukweli aliposema Mchungaji Kimaro utabaki kuwa ukweli