Mchungaji Kimaro yuko sahihi, hata kwa Mhindi ukisema unaitwa Juma au Shabani unapewa kazi godown, ukiitwa John utaosha magari

Mchungaji Kimaro yuko sahihi, hata kwa Mhindi ukisema unaitwa Juma au Shabani unapewa kazi godown, ukiitwa John utaosha magari

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Kama unabisha nenda Keko magodown au Kisutu majamatini uangalie Kazi wanazopewa Vijana wa kigalatia

Mchungaji Kimaro yuko sahihi kwa 60% kwamba Vijana wa kiislamu ni waaminifu

Hata ulinganishe tu UVCCM, Ngome ya Vijana ACT wazalendo na Bavicha majibu unayapata

Mimi ni mgalatia lakini Ukweli aliposema Mchungaji Kimaro utabaki kuwa ukweli
 
Upuuzi mtupu,

Sio kila mgalatia sio muaminifu. Wala sio kila mtu wa Swala Tano ni muaminifu, ni mtazamo tu!!
Mkisema Islam ni waaminifu, basi Zenji hakuna ufisadi huko serikalini, maana asilimia 99 ni Islam?
Wapo watu kibao waaminifu, bila kujali kabila Wala dini zao
 
Upuuzi mtupu,

Sio kila mgalatia sio muaminifu. Wala sio kila mtu wa Swala Tano ni muaminifu, ni mtazamo tu!!
Mkisema Islam ni waaminifu, basi Zenji hakuna ufisadi huko serikalini, maana asilimia 99 ni Islam?
Wapo watu kibao waaminifu, bila kujali kabila Wala dini zao
Wewe ni mwaminifu?
 
Kama unabisha nenda Keko magodown au Kisutu majamatini uangalie Kazi wanazopewa Vijana wa kigalatia

Mchungaji Kimaro yuko sahihi kwa 60% kwamba Vijana wa kiislamu ni waaminifu

Hata ulinganishe tu UVCCM, Ngome ya Vijana ACT wazalendo na Bavicha majibu unayapata

Mimi ni mgalatia lakini Ukweli aliposema Mchungaji Kimaro utabaki kuwa ukweli
Tuukubali ukweli
 
Kama unabisha nenda Keko magodown au Kisutu majamatini uangalie Kazi wanazopewa Vijana wa kigalatia

Mchungaji Kimaro yuko sahihi kwa 60% kwamba Vijana wa kiislamu ni waaminifu

Hata ulinganishe tu UVCCM, Ngome ya Vijana ACT wazalendo na Bavicha majibu unayapata

Mimi ni mgalatia lakini Ukweli aliposema Mchungaji Kimaro utabaki kuwa ukweli
Sasa kwa wahindi na kwa waarabu napo ni sehemu ya kujivunia kufanya kazi? Sanasana unadhalilisha utu wako maana manyanyaso na ubaguzi vitakuandama mpaka utaona dunia chungu
 
Kama unabisha nenda Keko magodown au Kisutu majamatini uangalie Kazi wanazopewa Vijana wa kigalatia

Mchungaji Kimaro yuko sahihi kwa 60% kwamba Vijana wa kiislamu ni waaminifu

Hata ulinganishe tu UVCCM, Ngome ya Vijana ACT wazalendo na Bavicha majibu unayapata

Mimi ni mgalatia lakini Ukweli aliposema Mchungaji Kimaro utabaki kuwa ukweli

Mgalatia ndio Nani?. Nyie mnajifanya wakristo wakati mnauchukia Ukristo. Wewe na huyo kimaro wako.
 
It is rubbish, takwimu za magereza zinaonesha waislamu Ni wengi kuliko wakristu katika criminal inmates. Simple as that to confirm that Kimaro is telling lies or he is not informed!
Jipimeni Uaminifu wenu hapo Bavicha maana mko wagalatia watupu

Polepole aliwanunueni wote
 
Upuuzi mtupu,

Sio kila mgalatia sio muaminifu. Wala sio kila mtu wa Swala Tano ni muaminifu, ni mtazamo tu!!
Mkisema Islam ni waaminifu, basi Zenji hakuna ufisadi huko serikalini, maana asilimia 99 ni Islam?
Wapo watu kibao waaminifu, bila kujali kabila Wala dini zao
Tabia za kigalatia ni za kizungu na wote tunajua namna tabia za kizungu wanapoona chumo.
 
Back
Top Bottom