Pengine anaishi burigiSo Gadafi wetu ni nani?
Ndio imeongea tunasubiri yeye kesho kama ataongea au ataona aibu
Usitumie Nguvu nyingi kujitenga na unafiki.Kusema ukweli siasa na ushabiki vinawachanganya sana watu.
Juzi alisifiwa askofu fulani na kuaminika kwamba yeye ndie mchungaji haswa aliebakia Tanzania kwa sababu yupo upande ule uwafurahishao.
Wakaenda mbali na kusema hao wachungaji wengine wanaokaa kimya wanatumika na shetani.
Leo mchungaji mwingine anaelezea yale yale lakini nje ya upande waupendao, anaambulia matusi!!
Alisimama askofu fulani kugombea akaitwa ni mwenye kulinajisi kanisa kwasababu tuu hagombei upande ule uwafurahishao.
Lakini nafasi hio hio amegombea mchungaji fulani anaitwa kamanda na majina yote mazuri kwa sababu tu yupo upende ule uwafurahishao.
Kweli ni changamoto.
Bosi wangu mbona wewe nawe Ni Kama wale wale!Usitumie Nguvu nyingi kujitenga na unafiki.
Ni lin Lusekelo kazungumzia Tume huru?? Ni kazungumzia habari za uminywaji wa uhuru kwa vyombo vya habar?? Ni linj kazungumzia habari za upinzan kuenguliwa kwa sababu za ujinga na ovyo????
Tunaposema tunahitaji watu kusema kusimamia haki hiyo ndio maana.
Askofu alosifiwa na Lissu, hajadifiwa sababu alienda kumsalimia...
Amesifiwa sababu anastahili ,sababu nimtu anayesimamia haki kwa uwazi.
Muwe mnaunganisha Ulimi na ubongo na vidole ndo muandike...sio kuandika as if hujashirikisha Kichwa.
Ni wale wachungaji huduma zao zinaweza futwa mda wowote na msajili kwa maagizo toka juu,so kulinda matumbo yao ni lzm wafunge ndoa na tawala dhalimu.Wanajisi wa Biblia, kwa hili Waislam wametushinda sana Wakristo. Hawana upuzi wa hizi religious rooting companies (Ministries ).
Mijitu inajipendekeza tu
Hii nimifano yakijinga kweli sisi hatufanyi mapinduzi sisi tunafanya uchaguzi kwahiyo nitofauti na ulipopataja yeye anakula zakanisa sisihuku haliningumuMchungaji Anthony Lusekelo amewataka watanzania kutoiga iga mambo kwani demokrasia ina maana pana.
Mzee wa Upako amesema hata Marekani demokrasia wanayoihubiri hawaiishi kwa mfano Hilarry Clinton ndiye aliyeshinda kwa wingi wa kura lakini aliyeteuliwa kuwa Rais ni Donald Trump.
Kadhalika Uingereza Waziri mkuu anapigiwa kura lakini mfalme ndiye anayempitisha.
Lusekelo amewataka watanzania wajifunze Libya na Iraq waliotupa " mbachao" kwa msala upitao na sasa wanajuta.
Source Channel ten.
Maendeleo hayana vyama!
huyu ni konyagi yule mwenzake anakomaa na viuno vya kondooHuyu boya anachunga nini, kondoo au konyagi?
Magufuli ana kitu alichofanya cha kumlinganisha na uongozi wa gadafiMchungaji Anthony Lusekelo amewataka watanzania kutoiga iga mambo kwani demokrasia ina maana pana.
Mzee wa Upako amesema hata Marekani demokrasia wanayoihubiri hawaiishi kwa mfano Hilarry Clinton ndiye aliyeshinda kwa wingi wa kura lakini aliyeteuliwa kuwa Rais ni Donald Trump.
Kadhalika Uingereza Waziri mkuu anapigiwa kura lakini mfalme ndiye anayempitisha.
Lusekelo amewataka watanzania wajifunze Libya na Iraq waliotupa " mbachao" kwa msala upitao na sasa wanajuta.
Source Channel ten.
Maendeleo hayana vyama!
Alienda lini Libya wakamwambia wanajuta? Sisi tunata UHURU, HAKI NA MAENDELEO YA WATU. Hatutakuja kujuta kamwe.Mchungaji Anthony Lusekelo amewataka watanzania kutoiga iga mambo kwani demokrasia ina maana pana.
Mzee wa Upako amesema hata Marekani demokrasia wanayoihubiri hawaiishi kwa mfano Hilarry Clinton ndiye aliyeshinda kwa wingi wa kura lakini aliyeteuliwa kuwa Rais ni Donald Trump.
Kadhalika Uingereza Waziri mkuu anapigiwa kura lakini mfalme ndiye anayempitisha.
Lusekelo amewataka watanzania wajifunze Libya na Iraq waliotupa " mbachao" kwa msala upitao na sasa wanajuta.
Source Channel ten.
Maendeleo hayana vyama!
Shida ya Mzee Wa upko ni elimu,Mchungaji Anthony Lusekelo amewataka watanzania kutoiga iga mambo kwani demokrasia ina maana pana.
Mzee wa Upako amesema hata Marekani demokrasia wanayoihubiri hawaiishi kwa mfano Hilarry Clinton ndiye aliyeshinda kwa wingi wa kura lakini aliyeteuliwa kuwa Rais ni Donald Trump.
Kadhalika Uingereza Waziri mkuu anapigiwa kura lakini mfalme ndiye anayempitisha.
Lusekelo amewataka watanzania wajifunze Libya na Iraq waliotupa " mbachao" kwa msala upitao na sasa wanajuta.
Source Channel ten.
Maendeleo hayana vyama!