TANZIA Mchungaji Lyamuya wa KKKT ametutoka

 
Sisi wanaume tupo targeted na huyu COVID-19 kuliko wanawake sijui kuna mpango upi nyuma ya pazia.
Beberu anataka kusaidia wajane...😀

Everyday is Saturday........................😎
 
Sisi wanaume tupo targeted na huyu COVID-19 kuliko wanawake sijui kuna mpango upi nyuma ya pazia.
Tulia wewe, hutaki kuhongwa? Wakiwa wengi sana sisi ndio tutakuwa dili kinoma. Omba ubaki hai, utakuja kuniambia.
 
Pole wafiwa.Alikuwa ni mchungaji wa dayosis gani?
 
Pole wafiwa.Alikuwa ni mchungaji wa dayosis gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…