Mchungaji Mashimo: Akili za Ali Kamwe zipo kwenye Pua, Manara anafungua domo lake kama Punda

🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Nishajua.....🤔🤔🤔🤔🤔

Kumbe huyu ni kolo!!!!

Mamaeee
 
Mimi ndiyo maana sijutii kuwa Mkatoliki. Maana huku hatuna matope kama hayo.

Hata kama baadhi ya Mapadre wetu wana madhaifu ya hapa na pale! Ila siyo kwa kiwango cha hao wahuni waliotapakaa kote duniani kwa sasa.
Madre wamesoma mkuu

Siyo kama huyu kenge
 
Kujiita mchungaji halafu unahubiri mambo ya mpira badala ya kuhubiri injili ili hata wale kondoo waliopotea na kuwa mashoga na wasagaji warejee kundini ni usaliti mkubwa kwenye imani.
 
Tate Mkuu Tuombe kwa zaburi

ZABURI 28:1
"Ee BWANA, nitakuita Wewe, mwamba wangu, Usiwe kwangu kama kiziwi. Nisije nikafanana nao washukao shimoni, Ikiwa umeninyamalia."
 

Mchungaji feki wa hovyo sana huyu, mhuni, mpuuzi, jinga, anything cha hovyo yuko, eti anajiita brand? Brand ya ujinga labda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…