Mchungaji Mashimo: Simba hawajanipa sadaka nimewalaani

Mchungaji Mashimo: Simba hawajanipa sadaka nimewalaani

MCHUNGAJI MASHIMO ATOA TAMKO BAADA YA AHMED ALLY KUMKATIA SIMU

"Nimeona watu wa simba wanajisifu wapo juu wamesahau kuna mtu aliewafanya wawepo hapo juu, wamesahau kwamba mimi ndio nlisema simba SC kuwa itafanya vizuri Msimu huu na tayari wamechukua ngao ya jamii

Nimempigia simu msemaji wa simba Ahmed ally awaambie viongozi watoe sadaka yao kabla mchezo wa Super League Dhidi ya Al Ahly lakini hajapokea simu Yangu ameikata !

Mwambieni ikifika hadi jioni saa 10 hawajatoa sadaka Basi watapata laana watafungwa magoli mengi na Al Ahly, sitaki mashabiki watoe sadaka zao hii wanatakiwa kutoa viongozi wa simba sio mashabiki

Yanga niliwaambia watoe fungu la Kumi Wakadharau, laana Ambayo nimeishusha kwao ni Kushika Nafasi ya Tatu kwenye Ligi kuu Hadi watakapoleta Ile sadaka iliyobakia ya msimu uliopita, na wasipotoa hawatafika Popote wataishia Makundi" Amefunguka Mchungaji wa Taifa Pastor Daniel Mashimo

LuoBoy MediaView attachment 2787173
Ujambazi wa wazi huu unaruhusiwa Tanzania na hachukuliwi ,hatua za kisheria?
 
MCHUNGAJI MASHIMO ATOA TAMKO BAADA YA AHMED ALLY KUMKATIA SIMU

"Nimeona watu wa simba wanajisifu wapo juu wamesahau kuna mtu aliewafanya wawepo hapo juu, wamesahau kwamba mimi ndio nlisema simba SC kuwa itafanya vizuri Msimu huu na tayari wamechukua ngao ya jamii

Nimempigia simu msemaji wa simba Ahmed ally awaambie viongozi watoe sadaka yao kabla mchezo wa Super League Dhidi ya Al Ahly lakini hajapokea simu Yangu ameikata !

Mwambieni ikifika hadi jioni saa 10 hawajatoa sadaka Basi watapata laana watafungwa magoli mengi na Al Ahly, sitaki mashabiki watoe sadaka zao hii wanatakiwa kutoa viongozi wa simba sio mashabiki

Yanga niliwaambia watoe fungu la Kumi Wakadharau, laana Ambayo nimeishusha kwao ni Kushika Nafasi ya Tatu kwenye Ligi kuu Hadi watakapoleta Ile sadaka iliyobakia ya msimu uliopita, na wasipotoa hawatafika Popote wataishia Makundi" Amefunguka Mchungaji wa Taifa Pastor Daniel Mashimo

LuoBoy MediaView attachment 2787173

c3288fb2-bb10-4410-9bf7-f6cd34daa697.jpg
 
Huyo mchungaji hata akipewa Mbuzi wawili tu ili awachunge,sidhani kama ataweza.
Huo sio ukristo, huyo ni sawa na babalevo kwenye tasnia ya sanaa huwezi kumwita msanii bali cjawa wa wasanii.
Mchungaji haombagi sadaka.
Huu ni uhuni.
Huu ni utapeli.
Maandiko yako wazi, sadaka hutolewa kanisani tena madhabahuni.

Sadaka zingine hupewa wahitaji au wajane na yatima...je yeye ni mjane?

Sadaka hutolewa kwa hiyari na haiombwi...huyu ni mwizi kwa kutumia imani ya Kikristo.

Haya makanisa binafsi asilimia 95% ni wezi na majambazi kwa kutumia biblia.
 
Back
Top Bottom