johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Mchungaji Matsai wa KKKT Kimara amesema Yanga Wananchi ni Timu inayoishiaga hapa hapa nyumbani lakini Simba ni ya kimataifa kwa sababu ni Timu ya Washindi
Akiwa kwenye mahubiri Kanisani leo Mchungaji amesema Yeye yuko Timu ya Washindi
My take; Utopolo hawatoki Lupaso leo!
Akiwa kwenye mahubiri Kanisani leo Mchungaji amesema Yeye yuko Timu ya Washindi
My take; Utopolo hawatoki Lupaso leo!