Mchungaji Msigwa akiri kumsingizia Kinana ujangili, amwangukia na kumwomba radhi

Mch Msigwa bhana......hujui nyuma ya pazia, ungeacha tu kuomba radhi, wala wafipa wa huku ndani wasiombwe radhi.
 
Je ikiwa vice versa utasemaje Jo?

Jr[emoji769]
Ninachokuambia Msigwa amehakikishiwa jimbo baada ya mpinzani wake kurip.

Mnyika naye ameshaaga Kibamba atakuwa mbunge wa mkoani zamu hii.

Chadema ina uhakika wa kubakia na Heche pamoja na Mdee.

Hapa ninapokuambia anaangaliwa Sugu kama arudishwe Dar.

Mambo ni moto bwashee!
 
Hahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahhahahhahahahahahahahahahahahahhahhahahahahahahahhahahahahahahahahahahahahahahahahahahahhhhahahahahhahahahahahhahahhahah🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂
 
Sesten Zakazaka, kwa hoja yako hii- Mwezi wa Ramadhan 2020 umekamilika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…