Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii kesi Ni moja ya dhambi za magufuli.Wakishindwa hoja basi kwa matusi?! Hawajambo! Changeni mumtoe mwenzenu...
Visingizio visingizio visingizio...🥱🥱🥱🥱Hii kesi Ni moja ya dhambi za magufuli.
Usiniangalie mimi angalia hoja iliyopo mezani!Yaani asiyekuelewa Ni Kama umeandika kwa nia njema kumbe umejaa hira na ushetani. Hii kesi Ni sehemu ya dhambi za Magufuli
Mbinu za medani: Aida Khenan, Mbunge wa Nkasi ndiyo awe Mwenyekiti wa CHADEMA
Habari wanajukwaa, Kufuatia uchaguzi kuisha na CHADEMA kuambulia Mbunge mmoja huko Nkasi Kaskazini, Aida Khenan aliyeibuka mshindi kwa kumbwaga mbunge machachari wa CCM Ally kesi aliyeliongoza jimbo hilo kwa miaka kumi! Ikumbukwe Aida Khenan licha ya yeye kuibuka kidedea pia kwenye jimbo lake...www.jamiiforums.com
Hawa Chadema vp,yaani kiinua mgongo chote mlichopata mnashindwa kutoa hata millioni 40!kugharamia hiyo kesi.Mwenyekiti wa CHADEMA kanda ya Nyanda za Juu Kusini mchungaji Msigwa anaomba michango kugharamia nauli na mahitaji muhimu ya wakili anayemwakilisha Kamanda Nyangali Mdude katika kesi inayomkabili mahakama kuu Mbeya.
Michango itumwe kwa mwenyekiti mchungaji Msigwa na unaweza kutuma kiasi chochote ulichonacho.
Siasa siyo uadui na kutoa ni moyo siyo utajiri.
Heri wenye moyo safi.
Bwashee kutoa ni moyo siyo kulalamika!Hawa Chadema vp,yaani kiinua mgongo chote mlichopata mnashindwa kutoa hata millioni 40!kugharamia hiyo kesi.
Kwa yeyote mwenye chochote; Tafadhali changia kusaidia nauli na mahitaji mengine ya wakili ya kuendesha kesi ya Mdude Nyangali inayosikilizwa mahakama kuu Mbeya.Mwenyekiti wa CHADEMA kanda ya Nyanda za Juu Kusini mchungaji Msigwa anaomba michango kugharamia nauli na mahitaji muhimu ya wakili anayemwakilisha Kamanda Nyangali Mdude katika kesi inayomkabili mahakama kuu Mbeya.
Michango itumwe kwa mwenyekiti mchungaji Msigwa na unaweza kutuma kiasi chochote ulichonacho.
Siasa siyo uadui na kutoa ni moyo siyo utajiri.
Heri wenye moyo safi.
Mapema kabisa bwashee!Comrade tuma mchango
Ni jambo jema bwashee!Kwa yeyote mwenye chochote; Tafadhali changia kusaidia nauli na mahitaji mengine ya wakili ya kuendesha kesi ya Mdude Nyangali inayosikilizwa mahakama kuu Mbeya.
Changia kupitia:
M-PESA 0754360996.
Jina: REV PETER MSIGWA
Mpaka sasa, imepatikana 144,000/=
#NguvuYaUmma https://t.co/d8Gyit2a4V
Michango inaingia kwenye akaunti binafsi ya mtu?
Hata mama yako tunamuomba daily anatoaChadema chama la ombaomba,
Si huwa mnatamba mna mwenyekiti tajiri wa kurithi ?? Kwa nini kutwa kuombaomba??
Sasa ulitaka ale Mbowe na mama yako kenge wewe??Hela zote anakula Mbowe alafu wao machadema ndio yanachangishwa
Mama yako tunamla dailyNyumbu wataliwa tena hapa