johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Ni wanafamilia pamoja na hayati JPM!Hivi Mch. Msigwa na Gerson Msigwa ni wamoja?
Ndio hao wanajiamulia sasa!Muwaache Chadema wajiamulie mambo yao wenyewe?
Walituaminisha kuwa CDM imekufa Mungu sio Ndugai wamekufa waoMuwaache Chadema wajiamulie mambo yao wenyewe?
Bob Makani ni wa kaskazini?Uenyekiti wa chadema lazima utaenda kaskazini piga ua.
Chadema watakua radhi hata wamuombe Mollel arudi Chadema agombee uenyekiti na wampatie lakini sio uende kanda nyingine.
Mnajua Mbowe atawaoa? Hamlali kisa Mbowe, basi awaoe awaweke nyumbani kwake. Kelel za Mbowe, Mbowe, Mbowe sasa basi.Wanachama wa Chadema mkoani Iringa wamependekeza mchungaji Msigwa agombee uenyekiti wa Chadema 2023.
Joseph Kibiki anasema Chadema Iringa na kanda ya Nyasa kwa ujumla watafanya kila linalowezekana kuhakikisha mchungaji Msigwa anakuwa nahodha wa Chadema baada ya mh Mbowe kustaafu kwa mafanikio makubwa.
Akadodi ndauli!
Wewe mwenyewe unamkubali mbowe sasa inakuaje tena mnataka mbowe aondolewe?Wanachama wa Chadema mkoani Iringa wamependekeza mchungaji Msigwa agombee uenyekiti wa Chadema 2023.
Joseph Kibiki anasema Chadema Iringa na kanda ya Nyasa kwa ujumla watafanya kila linalowezekana kuhakikisha mchungaji Msigwa anakuwa nahodha wa Chadema baada ya mh Mbowe kustaafu kwa mafanikio makubwa.
Akadodi ndauli!
Mbowe katangaza kustaafu 2023 au wewe mwenzetu uko Chadema gani?Wewe mwenyewe unamkubali mbowe sasa inakuaje tena mnataka mbowe aondolewe?
Mataga naona mama amewavuruga kabisa.
Kukomaa kisiasa: Pamoja na fitina na ubaya wote aliotendewa na Ole Sabaya, Mwenyekiti Mbowe ametulia kimya
Binafsi nampinga Freeman katika mambo mengi lakini namkubali sana kuwa ni kiongozi asiyekumbatia siasa za maji taka. Pamoja na uovu wote aliotendewa huko Hai chini ya Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama DC Ole Sabaya, Mhe. Mbowe amekuwa mtulivu. Niseme tu kwa kifupi kwamba pamoja na...www.jamiiforums.com
Atakuoa wewe kunako 2023!Mnajua Mbowe atawaoa? Hamlali kisa Mbowe, basi awaoe awaweke nyumbani kwake. Kelel za Mbowe, Mbowe, Mbowe sasa basi.
Mkuu unaenda mpelekea sabaya uji lini? Msimtenge huyo ni mataga mwenzenu.MACHAGA inaondoka na Mwamba!
Wewe jamaa una Njaaaaa mpaka Umekuwa kama umewehuka🤣Muwaache CHADEMA wajiamulie mambo yao wenyewe?
Mrithi lazima awe Mangi.MACHAGA inaondoka na Mwamba!