kichomiz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 19,257
- 12,244
Mmeacha ya kwenu mnadandia ya jiraniWanachama wa CHADEMA mkoani Iringa wamependekeza mchungaji Msigwa agombee uenyekiti wa CHADEMA 2023.
Joseph Kibiki anasema CHADEMA Iringa na kanda ya Nyasa kwa ujumla watafanya kila linalowezekana kuhakikisha mchungaji Msigwa anakuwa nahodha wa CHADEMA baada ya mh Mbowe kustaafu kwa mafanikio makubwa.
Akadodi ndauli!