Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Mwenyekiti aliyekuwa anamaliza muda wake Mh Msigwa ambaye pia ni Mbunge wa Iringa Mjini , ametetea nafasi yake kwa kumuangusha mpinzani wake Wakili Msomi Boniface Mwambukusi .
Mh Msigwa amepata kura 66 ambazo ni sawa na 62.3 % ya kura zote , wapiga kura walikuwa 108 , ambapo Mwambukusi ameambulia kura 26 sawa na 24.3 % huku Bwana Sadick Malila akijipatia kura 14 ambazo ni sawa na 13.2 %
Mungu ibariki Chadema
Mh Msigwa amepata kura 66 ambazo ni sawa na 62.3 % ya kura zote , wapiga kura walikuwa 108 , ambapo Mwambukusi ameambulia kura 26 sawa na 24.3 % huku Bwana Sadick Malila akijipatia kura 14 ambazo ni sawa na 13.2 %
Mungu ibariki Chadema