LGE2024 Mchungaji Msigwa: CHADEMA inajiandaa kuendeleza upotoshaji

LGE2024 Mchungaji Msigwa: CHADEMA inajiandaa kuendeleza upotoshaji

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
U

Kada wa Chama cha Mapinduzi, Mchungaji Peter Msigwa ametahadharisha watanzania juu ya upotoshaji unaotarajiwa kufanywa na vyama vya upinzani nchini kuhusu Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji uliofanyika Novemba 27, 2024.

Akizungumza na Vyombo vya Habari Disemba 09, Msigwa amesema "kuna vyama vingine vya siasa vinaashiria kutaka kuendeleza upotoshaji...vyama vya upinzani vilikuwa havijajiandaa na uchaguzi naweza nikaisemea CHADEMA kwa sababu nilikuwa huko na nilikuwa Mwenyekiti wa Kanda najua jinsi gani ambavyo vyama havikujiandaa"

Msigwa ameendelea kueleza kuwa wakati vyama vingine hasa CCM inajijenga kujiandaa na uchaguzi CHADEMA ilikuwa iinafanya maandamano hivyo mpaka unafikia uchaguzi haikuwa imejiandaa kufanya uchaguzi.

Aidha ameongeza kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe amepoteza ushawishi, dira na nguvu hivyo anatafuta namna ya kuushawishi umma kuwa chama chao kilionewa katika uchaguzi na wapate huruma kutoka kwa jamii.

Chanzo: Jambo TV
Upotoshaji unafanywa na chawa na bahati iliyo njema wafuga chawa ni (Ccm) chukua chako mapema.
 
Kwani huyu Mchungaji KILA siku Yeye ni CHADEMA TU...
Hana mambo mengine ya kuzungumza?? Kama amewamiss si arudi tu
Hana lolote jipya, content alikuwa anapewaa na cdm. Ccm nao wameamua kumdhalilisha kwa kumpa kazi wanayoiita ya kuibomoa cdm. Ni kama amepewa kazi ya kuwa msemaji hasi wa cdm ndani ya ccm.
 

Kada wa Chama cha Mapinduzi, Mchungaji Peter Msigwa ametahadharisha watanzania juu ya upotoshaji unaotarajiwa kufanywa na vyama vya upinzani nchini kuhusu Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji uliofanyika Novemba 27, 2024.

Akizungumza na Vyombo vya Habari Disemba 09, Msigwa amesema "kuna vyama vingine vya siasa vinaashiria kutaka kuendeleza upotoshaji...vyama vya upinzani vilikuwa havijajiandaa na uchaguzi naweza nikaisemea CHADEMA kwa sababu nilikuwa huko na nilikuwa Mwenyekiti wa Kanda najua jinsi gani ambavyo vyama havikujiandaa"

Msigwa ameendelea kueleza kuwa wakati vyama vingine hasa CCM inajijenga kujiandaa na uchaguzi CHADEMA ilikuwa iinafanya maandamano hivyo mpaka unafikia uchaguzi haikuwa imejiandaa kufanya uchaguzi.

Aidha ameongeza kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe amepoteza ushawishi, dira na nguvu hivyo anatafuta namna ya kuushawishi umma kuwa chama chao kilionewa katika uchaguzi na wapate huruma kutoka kwa jamii.

Chanzo: Jambo TV
Ccm Daima
 

Kada wa Chama cha Mapinduzi, Mchungaji Peter Msigwa ametahadharisha watanzania juu ya upotoshaji unaotarajiwa kufanywa na vyama vya upinzani nchini kuhusu Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji uliofanyika Novemba 27, 2024.

Akizungumza na Vyombo vya Habari Disemba 09, Msigwa amesema "kuna vyama vingine vya siasa vinaashiria kutaka kuendeleza upotoshaji...vyama vya upinzani vilikuwa havijajiandaa na uchaguzi naweza nikaisemea CHADEMA kwa sababu nilikuwa huko na nilikuwa Mwenyekiti wa Kanda najua jinsi gani ambavyo vyama havikujiandaa"

Msigwa ameendelea kueleza kuwa wakati vyama vingine hasa CCM inajijenga kujiandaa na uchaguzi CHADEMA ilikuwa iinafanya maandamano hivyo mpaka unafikia uchaguzi haikuwa imejiandaa kufanya uchaguzi.

Aidha ameongeza kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe amepoteza ushawishi, dira na nguvu hivyo anatafuta namna ya kuushawishi umma kuwa chama chao kilionewa katika uchaguzi na wapate huruma kutoka kwa jamii.

Chanzo: Jambo TV
Nani wa kutilia maanani Zuzu wahedi. Sisi tuko mitaani tumejiomea wagombea wa upinzani wanatangazwa washindi vituoni halafu walioshindwa wanaapishwa.
 
Duuu!...Siyo Kwa Majungu hayo Brother, Mimi ni CCM lakini simpendi mtu mnafiki kama wewe:
1:Waliweka wagombea wachache sawa, kiliwaogopesha nini Kwa watu hao wachache mpka Mkawaengua?
2:Waliweka wagombea wachache sawa,Mawakala mliwanyima fomu kwanini?
3: Waliweka wagombea wachache sawa,Masanduku ya kura feki yalikuwa ya nini?
4: Waliweka wagombea wachache sawa,Risasi Kwa wagombea wa upinzani za Nini?
5:Yaani Nchimbi mwenyewe aliona CCM wabinya haki na akasema siyo vizuri kuengua wapinzani wewe sijui ulilala ukawa husikii?
6: Warioba kaongea wewe upo TU,hata kama unachuki binafsi na Mbowe,wewe si umeshatoka huko kelele zote hizi za Nini? Si umwache na mambo yake?
Wewe ni mwanaccm wa tofauti.kwenye milioni labda mtapatikana 2 tu.kuna wenzako kwasababu ya ujinga wa uvyama na upuuzi wakuonea washindani hawaoni huu ukweli uliouona wewe alafu wanajiona washindi kumbe ujinga tu..Huyo msigwa niwakuhurumia maana bado anafikiri anaule ushawishi aliokua nao uko nyuma.
 
Hana lolote jipya, content alikuwa anapewaa na cdm. Ccm nao wameamua kumdhalilisha kwa kumpa kazi wanayoiita ya kuibomoa cdm. Ni kama amepewa kazi ya kuwa msemaji hasi wa cdm ndani ya ccm.
Atajuahajui hata akikodi covid wote watanzania wanaelewa msimamo uelekeo na matamanio ya cdm na watanzania
 
Huyu lofa anaongea nini ....watu wa maana kama Jaji Warioba,Mzee Msekwa wamezungumza na wameeleweka vizuri tu..
Alafu ni adabu gani anayo huyu kihiyo a.k.a fake pastor?..
Hajui kwamba wazee wakishaongea unatakiwa kufunga bakuli?....
All in all dishi limeyumba
 
Huyu popi anahangaika sana,halafu kajidharaulisha sn
 

Kada wa Chama cha Mapinduzi, Mchungaji Peter Msigwa ametahadharisha watanzania juu ya upotoshaji unaotarajiwa kufanywa na vyama vya upinzani nchini kuhusu Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji uliofanyika Novemba 27, 2024.

Akizungumza na Vyombo vya Habari Disemba 09, Msigwa amesema "kuna vyama vingine vya siasa vinaashiria kutaka kuendeleza upotoshaji...vyama vya upinzani vilikuwa havijajiandaa na uchaguzi naweza nikaisemea CHADEMA kwa sababu nilikuwa huko na nilikuwa Mwenyekiti wa Kanda najua jinsi gani ambavyo vyama havikujiandaa"

Msigwa ameendelea kueleza kuwa wakati vyama vingine hasa CCM inajijenga kujiandaa na uchaguzi CHADEMA ilikuwa iinafanya maandamano hivyo mpaka unafikia uchaguzi haikuwa imejiandaa kufanya uchaguzi.

Aidha ameongeza kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe amepoteza ushawishi, dira na nguvu hivyo anatafuta namna ya kuushawishi umma kuwa chama chao kilionewa katika uchaguzi na wapate huruma kutoka kwa jamii.

Chanzo: Jambo TV
Uyu ni kupuuza tu ,
 
Back
Top Bottom