Akizungumza na wanahabari Disemba 09, 2024; Kada wa CCM, Mchungaji Peter Msigwa adai kuwa CHADEMA ni Chama ambacho kimepoteza mvuto hivyo hakistahili tena kujiita Chama kikuu cha upinzani.
"Wamepoteza dira, wamepoteza misingi ya chama chao, wamepoteza mvuto na kujiita chama cha upinzani kikuu ningewasihi watanzania mnaonisikiliza ni vizuri mkawauliza uhalali wa kujiita ni chama kikuu cha upinzani haupo.
Kwa sababu unapokuwa chama kikuu cha upinzani maana yake una wabunge wengi ndani ya bunge CHADEMA wana mbunge mmoja uhalali wa kuitwa chama kikuu cha upinzani wanautoa wapi.
Wana Mbunge mmoja Aida Kenani, ACT ndiyo wana wabunge wengi ndani ya bunge kwa hiyo chadema kujiita ni chama kikuu cha upinzani hilo jina ni linapaswa watanzania tujitafakari hawana sifa ya kujiita chama kikuu cha upinzani.
Lakini niwaase ndugu zangu wa Chadema watanzania ni watu wenye akili sana watanzania wanaweza kufikiri ukisema chadema ni chama kikubwa nayo hiyo ni dhana tu ambayo wamejikusha upepo ndani ya vichwa vyao."
Akizungumza na wanahabari Disemba 09, 2024; Kada wa CCM, Mchungaji Peter Msigwa adai kuwa CHADEMA ni Chama ambacho kimepoteza mvuto hivyo hakistahili tena kujiita Chama kikuu cha upinzani.
"Wamepoteza dira, wamepoteza misingi ya chama chao, wamepoteza mvuto na kujiita chama cha upinzani kikuu ningewasihi watanzania mnaonisikiliza ni vizuri mkawauliza uhalali wa kujiita ni chama kikuu cha upinzani haupo.
Kwa sababu unapokuwa chama kikuu cha upinzani maana yake una wabunge wengi ndani ya bunge CHADEMA wana mbunge mmoja uhalali wa kuitwa chama kikuu cha upinzani wanautoa wapi.
Wana Mbunge mmoja Aida Kenani, ACT ndiyo wana wabunge wengi ndani ya bunge kwa hiyo chadema kujiita ni chama kikuu cha upinzani hilo jina ni linapaswa watanzania tujitafakari hawana sifa ya kujiita chama kikuu cha upinzani.
Lakini niwaase ndugu zangu wa Chadema watanzania ni watu wenye akili sana watanzania wanaweza kufikiri ukisema chadema ni chama kikubwa nayo hiyo ni dhana tu ambayo wamejikusha upepo ndani ya vichwa vyao." View attachment 3173405
Mimi ni mwanaCCM ila huyu jamaa ni mpuuzi mno. Ni mjinga mno. Hizi propaganda zake zimekosa mvuto na zinaweza kuwasaidia CHADEMA kupata kura za huruma.
Mimi ni mwanaCCM ila huyu jamaa ni mpuuzi mno. Ni mjinga mno. Hizi propaganda zake zimekosa mvuto na zinaweza kuwasaidia CHADEMA kupata kura za huruma.
Akizungumza na wanahabari Disemba 09, 2024; Kada wa CCM, Mchungaji Peter Msigwa adai kuwa CHADEMA ni Chama ambacho kimepoteza mvuto hivyo hakistahili tena kujiita Chama kikuu cha upinzani.
"Wamepoteza dira, wamepoteza misingi ya chama chao, wamepoteza mvuto na kujiita chama cha upinzani kikuu ningewasihi watanzania mnaonisikiliza ni vizuri mkawauliza uhalali wa kujiita ni chama kikuu cha upinzani haupo.
Kwa sababu unapokuwa chama kikuu cha upinzani maana yake una wabunge wengi ndani ya bunge CHADEMA wana mbunge mmoja uhalali wa kuitwa chama kikuu cha upinzani wanautoa wapi.
Wana Mbunge mmoja Aida Kenani, ACT ndiyo wana wabunge wengi ndani ya bunge kwa hiyo chadema kujiita ni chama kikuu cha upinzani hilo jina ni linapaswa watanzania tujitafakari hawana sifa ya kujiita chama kikuu cha upinzani.
Lakini niwaase ndugu zangu wa Chadema watanzania ni watu wenye akili sana watanzania wanaweza kufikiri ukisema chadema ni chama kikubwa nayo hiyo ni dhana tu ambayo wamejikusha upepo ndani ya vichwa vyao." View attachment 3173405
Huyu mtalikiwa bado ana maumivu makubwa na hiki chama na huko alikoenda ndio wamempoteza kabisa!
Ukimuona kashika mic basi tambua kifuatacho ni kuiponda CHADEMAπ ..
Akizungumza na wanahabari Disemba 09, 2024; Kada wa CCM, Mchungaji Peter Msigwa adai kuwa CHADEMA ni Chama ambacho kimepoteza mvuto hivyo hakistahili tena kujiita Chama kikuu cha upinzani.
"Wamepoteza dira, wamepoteza misingi ya chama chao, wamepoteza mvuto na kujiita chama cha upinzani kikuu ningewasihi watanzania mnaonisikiliza ni vizuri mkawauliza uhalali wa kujiita ni chama kikuu cha upinzani haupo.
Kwa sababu unapokuwa chama kikuu cha upinzani maana yake una wabunge wengi ndani ya bunge CHADEMA wana mbunge mmoja uhalali wa kuitwa chama kikuu cha upinzani wanautoa wapi.
Wana Mbunge mmoja Aida Kenani, ACT ndiyo wana wabunge wengi ndani ya bunge kwa hiyo chadema kujiita ni chama kikuu cha upinzani hilo jina ni linapaswa watanzania tujitafakari hawana sifa ya kujiita chama kikuu cha upinzani.
Lakini niwaase ndugu zangu wa Chadema watanzania ni watu wenye akili sana watanzania wanaweza kufikiri ukisema chadema ni chama kikubwa nayo hiyo ni dhana tu ambayo wamejikusha upepo ndani ya vichwa vyao." View attachment 3173405
Uyu nae laana ya usaliti unamtafuna, wenda hata ccm wanamshangaa, huko ccm wakisikia chadema usingizi hauji ,tena maboss wake , alafu anakuja Bwabwaja ujinga ,
Huyu Bwana aliwatapeli ccm na ccm wakaingia mkenge kwamba angeondoka chadema basi chama kingesambaratika ,sasa amebaki kuangaika na kuendeleza utapeli wakati wenzake wanamchora tu
Akizungumza na wanahabari Disemba 09, 2024; Kada wa CCM, Mchungaji Peter Msigwa adai kuwa CHADEMA ni Chama ambacho kimepoteza mvuto hivyo hakistahili tena kujiita Chama kikuu cha upinzani.
"Wamepoteza dira, wamepoteza misingi ya chama chao, wamepoteza mvuto na kujiita chama cha upinzani kikuu ningewasihi watanzania mnaonisikiliza ni vizuri mkawauliza uhalali wa kujiita ni chama kikuu cha upinzani haupo.
Kwa sababu unapokuwa chama kikuu cha upinzani maana yake una wabunge wengi ndani ya bunge CHADEMA wana mbunge mmoja uhalali wa kuitwa chama kikuu cha upinzani wanautoa wapi.
Wana Mbunge mmoja Aida Kenani, ACT ndiyo wana wabunge wengi ndani ya bunge kwa hiyo chadema kujiita ni chama kikuu cha upinzani hilo jina ni linapaswa watanzania tujitafakari hawana sifa ya kujiita chama kikuu cha upinzani.
Lakini niwaase ndugu zangu wa Chadema watanzania ni watu wenye akili sana watanzania wanaweza kufikiri ukisema chadema ni chama kikubwa nayo hiyo ni dhana tu ambayo wamejikusha upepo ndani ya vichwa vyao." View attachment 3173405
Hoja ya kuwa chama kikuu Cha upinzani lazima uwe na wabunge wengi sio sahihi hata kidogo, kwa Tanzania kwa sasa kusema ACT ni chama kikuu ni uwongo, Bado chadema wapo
Akizungumza na wanahabari Disemba 09, 2024; Kada wa CCM, Mchungaji Peter Msigwa adai kuwa CHADEMA ni Chama ambacho kimepoteza mvuto hivyo hakistahili tena kujiita Chama kikuu cha upinzani.
"Wamepoteza dira, wamepoteza misingi ya chama chao, wamepoteza mvuto na kujiita chama cha upinzani kikuu ningewasihi watanzania mnaonisikiliza ni vizuri mkawauliza uhalali wa kujiita ni chama kikuu cha upinzani haupo.
Kwa sababu unapokuwa chama kikuu cha upinzani maana yake una wabunge wengi ndani ya bunge CHADEMA wana mbunge mmoja uhalali wa kuitwa chama kikuu cha upinzani wanautoa wapi.
Wana Mbunge mmoja Aida Kenani, ACT ndiyo wana wabunge wengi ndani ya bunge kwa hiyo chadema kujiita ni chama kikuu cha upinzani hilo jina ni linapaswa watanzania tujitafakari hawana sifa ya kujiita chama kikuu cha upinzani.
Lakini niwaase ndugu zangu wa Chadema watanzania ni watu wenye akili sana watanzania wanaweza kufikiri ukisema chadema ni chama kikubwa nayo hiyo ni dhana tu ambayo wamejikusha upepo ndani ya vichwa vyao." View attachment 3173405