Mchungaji Msigwa: Hatuwezi kuwa na wachoyo wachache wanaoona ng'ombe wao na biashara zao muhimu kuliko Ngorongoro yenye maslahi ya Taifa

Nyerere aligamisha watu karibu nusu ya Tanganyika na kuwapeleka kwenye vijiji vya ujamaa kando ya barabara
 
Nyerere aligamisha watu karibu nusu ya Tanganyika na kuwapeleka kwenye vijiji vya ujamaa kando ya barabara
Kipindi hicho tunasimuliwa nchi ilikuwa tupu.halaf watu wake walikuwa scattered..yaan kaya X kwenda Y ilikuwa distance hadi ya nusu saa kutembea..ilikuwa ngumu huwahudumia watu waliotawanyika
 
Kipindi hicho tunasimuliwa nchi ilikuwa tupu.halaf watu wake walikuwa scattered..yaan kaya X kwenda Y ilikuwa distance hadi ya nusu saa kutembea..ilikuwa ngumu huwahudumia watu waliotawanyika
Lakini si iliwezekana mkuu? Na maisha yakaendelea
Kinacho shindikana kwa hao wamasai ni nini haswaa

Tuamue moja, Wamasai waondoke au tuachane na hifadhi ipotee wamasai waendelee na maisha na waruhusiwe sasa maisha kamili na sio kuwabana na na sheria za hifadhi inayozidi kupotea kila leo kwa idadi ya watu, mifugo na shughuli za kibinaadamu

Zamani walikua wachache na wanyama walikua wengi
Lakini sasa ni kinyume chake
Muingiliano wao HAUWEZEKANI tena lazima tuchague moja
A
 
mwehu msigwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…