Pre GE2025 Mchungaji Msigwa hawezi kushindana na Mbowe kwa sababu kimfumo Mbowe ni daraja tofauti na yeye

Pre GE2025 Mchungaji Msigwa hawezi kushindana na Mbowe kwa sababu kimfumo Mbowe ni daraja tofauti na yeye

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Nimemsikiliza mchungaji Msigwa Leo pale Mwembetogwa nikashangaa ilikuwaje akawa Mwanasaikolojia na Teolojia

Peter amekaa miaka 20 Chadema lakini hajui kuwa kwa CCM Mbowe ni muhimu kuliko yeye na wale wote waliounga Juhudi

Kwa sababu Msigwa namfahamu tangu 1980s napenda kumshauri Kitu kimoja tu, Yeye ajikite kuelezea Mazuri ya CCM Chama chake kipya na mabaya ya Chadema awaachie wenyewe

Chadema imewahi kuwa kimbilio la Mawaziri Wakuu wastaafu Wawili kwa wakati mmoja hivyo kwa Mtu mwenye " akili" zinazofanya Kazi sawasawa hawezi kukichukulia poa

Mlale Unono 😀😀

PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Viwanja vya Mwembetogwa Iringa mjini Mchungaji Msigwa afunguka sababu 4 za kuondoka CHADEMA
 
Usimpangie...! Chadema mbona wao wanayasema ya CCM. Kwanza una uhakika Mch. P. Msigwa amerudisha kadi ya Chadema? Kama ameirudisha amemkabidhi nani?
 
Nimesikiliza hotuba ya msigwa ni wazi ana chuki binafsi na Mbowe! Hii nyimbo yake haitofika asubuhi maana Watu watachoka mapema! Mtoto wa kiume kuwa na hasira na chuki binafsi kwa mwanaume mwenzio kiasi hiki haifai.

Nimeamini Hangaya ni akili kisoda! Kwahiyo haya mashambulizi yeye na mawakala wake wanaamini ndo yataimaliza Chadema?
 
Nimemsikiliza mchungaji Msigwa Leo pale Mwembetogwa nikashangaa ilikuwaje akawa Mwanasaikolojia na Teoloji...
Elimu ya bure kwa Makala, Kasesela na Nchimbi. Ahsante sana Bwashe. Mshauri homeboy asiebdelee kuaibisha Mkoa wa Iringa na watu wake wote.

Wanairinga watakuja kuonekana watu wa hovyo nchini kuanzia majukwaa ya kisiasa hadi maofisi ya Serikali. Akina Adam Sapi, Prof Msolwa na Lukuvi wamewajengea heshima kubwa, asije akatojea tapeli flani akawavunjia heshima.
 
Nimemsikiliza mchungaji Msigwa Leo pale Mwembetogwa nikashangaa ilikuwaje akawa Mwanasaikolojia na Teoloji...
Msigwa sio mthiologia, huyu ni mwinjilisti. Alipo muwa na njaa akafunga kanisa la maturubali aka jipachika uchungaji. Msigwa form four alikaribia kupuliza moto. Yaani karibu azungushe duara.

Kazi ya Msigwa pale Iringa ilikuwa kuuza mitumba. Nahuo mtaji ni nguo alipewa kwa Madiba aje kuwapa yatima yeye kajakuuza. Haja tulia huyu.
 
Nimemsikiliza mchungaji Msigwa Leo pale Mwembetogwa nikashangaa ilikuwaje akawa Mwanasaikolojia na Teolojia

Peter amekaa miaka 20 Chadema lakini hajui kuwa kwa CCM Mbowe ni muhimu kuliko yeye na wale wote waliounga Juhudi

Kwa sababu Msigwa namfahamu tangu 1980s napenda kumshauri Kitu kimoja tu, Yeye ajikite kuelezea Mazuri ya CCM Chama chake kipya na mabaya ya Chadema awaachie wenyewe

Chadema imewahi kuwa kimbilio la Mawaziri Wakuu wastaafu Wawili kwa wakati mmoja hivyo kwa Mtu mwenye " akili" zinazofanya Kazi sawasawa hawezi kukichukulia poa

Mlale Unono 😀😀

View: https://twitter.com/Jambotv_/status/1814714425560981540?t=OJSpLKDzGsQoUTfPNdZKAg&s=19
 
Nimemsikiliza mchungaji Msigwa Leo pale Mwembetogwa nikashangaa ilikuwaje akawa Mwanasaikolojia na Teolojia

Peter amekaa miaka 20 Chadema lakini hajui kuwa kwa CCM Mbowe ni muhimu kuliko yeye na wale wote waliounga Juhudi

Kwa sababu Msigwa namfahamu tangu 1980s napenda kumshauri Kitu kimoja tu, Yeye ajikite kuelezea Mazuri ya CCM Chama chake kipya na mabaya ya Chadema awaachie wenyewe

Chadema imewahi kuwa kimbilio la Mawaziri Wakuu wastaafu Wawili kwa wakati mmoja hivyo kwa Mtu mwenye " akili" zinazofanya Kazi sawasawa hawezi kukichukulia poa

Mlale Unono 😀😀
Wee jamaa hujulikani ni Timu msigwa (Timu mama abdul) au uko Chadema, unaleta hili mara lile, huna tofauti na Sigara kali
 
Msigwa amefanywa cartoon. Napenda style ya Dr Slaa. Wanachadema huyu mzee arudi agombee urais anafaa.
 
Nimemsikiliza mchungaji Msigwa Leo pale Mwembetogwa nikashangaa ilikuwaje akawa Mwanasaikolojia na Teolojia

Peter amekaa miaka 20 Chadema lakini hajui kuwa kwa CCM Mbowe ni muhimu kuliko yeye na wale wote waliounga Juhudi

Kwa sababu Msigwa namfahamu tangu 1980s napenda kumshauri Kitu kimoja tu, Yeye ajikite kuelezea Mazuri ya CCM Chama chake kipya na mabaya ya Chadema awaachie wenyewe

Chadema imewahi kuwa kimbilio la Mawaziri Wakuu wastaafu Wawili kwa wakati mmoja hivyo kwa Mtu mwenye " akili" zinazofanya Kazi sawasawa hawezi kukichukulia poa

Mlale Unono 😀😀

PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Viwanja vya Mwembetogwa Iringa mjini Mchungaji Msigwa afunguka sababu 4 za kuondoka CHADEMA
Kuna wakati akili inakurudia
 
Wakuu achaneni na Msigwa , uzee utakuja kwa speed ya ajabu ,huyu laana itamtesa mpaka kabulini , simwombei kifo ila kufa lazima ,huyu sio mda ataikimbia IRINGA asema Bwana na Mungu wangu
Anajishusha sana!!!!!!!!!! Yaani kajidharau sana---------------- thamani yake kweli imekwisha,
Akienda nyumbani na kupumzika halafu ajiangalie hiyo "rumbling" atachukua kamba ajitie kitanzi kama Yuda Iskariote
 
Mpaka namuonea huruma anavyojidhalilisha. Mbowe hatakiwi kumjibu huyuu ajibiwe na kina malisa.
 
Back
Top Bottom