Mbowe amelijibu hilo kimzaha sana, kiasi hata yule mwandishi muuliza swali kuonyesha kutokubaliana naye.Mmoja wa waandishi wa habari leo ndugu Marwa amesema amewahi kuona maazimo ya kamati kuu ya CHADEMA kama yalivyo yakiwa mezani kwa kada wa CCM Mchungaji Msigwa ili ku preempt hotuba za viongozi wa CHADEMA kuzungumza baadaye. Mbowe ameuliza waandishi habari Msigwa ni rafiki wa nani!
Mbowe anajiepusha sana kumpakaza Lissu matope.Mbowe amelijibu hilo kimzaha sana, kiasi hata yule mwandishi muuliza swali kuonyesha kutokubaliana naye.
Ilionyesha muuliza swali anafahamu chanzo cha document kuvuja tofauti na jibu la Mbowe, lakini Mbowe akalirushia hilo kwa 'rafiki wa Msigwa' aliyepo CHADEMA.
Rafiki wa Lisu anajulikana hata Lisu kashamtaja.Mbowe anajiepusha sana kumpakaza Lissu matope.
Huyo Marwa ni hater wa Lissu inawezekana hakuna kitu kama hicho bali ameitengeneza tu kumuangushia jumba bovu Lissu. Hata siku Lissu anatangaza nia Marwa alimuuliza Lissu maswali ya kizushi na hata usoni alikuwa amekasirika na kutetemeka kwa jazba kuonyesha chuki kwa LissuMbowe amelijibu hilo kimzaha sana, kiasi hata yule mwandishi muuliza swali kuonyesha kutokubaliana naye.
Ilionyesha muuliza swali anafahamu chanzo cha document kuvuja tofauti na jibu la Mbowe, lakini Mbowe akalirushia hilo kwa 'rafiki wa Msigwa' aliyepo CHADEMA.
Itakuwa kwa Lissu. Maana anasema ndio rafiki yake wa damuMmoja wa waandishi wa habari leo ndugu Marwa amesema amewahi kuona maazimo ya kamati kuu ya CHADEMA kama yalivyo yakiwa mezani kwa kada wa CCM Mchungaji Msigwa ili ku preempt hotuba za viongozi wa CHADEMA kuzungumza baadaye. Mbowe ameuliza waandishi habari Msigwa ni rafiki wa nani!
Yule mwandishi alikuwa anauliza maswali ya mtego na hili ni mojawapo. Mbowe alipouliza huyo kada mkubwa wa CCM ni nani hakutaka kumtaja kwa sababu alijua kuwa Msigwa hana credibility. Mwenzake alipomtaja Msigwa hakuweza kubisha. Sasa hivi karibuni kuna kiongozi mkubwa wa Chadema kasema hadharani kuwa Msigwa ni rafiki yake. Na kabla ya Msigwa kuhama alikuwa karibu nae. Na hata baada ya kuhama hajawahi kusema kuwa alikosea. Kwa akili nepesi nyepesi zisizo na ushahidi ni kuwa nyaraka hizo Msigwa alipewa na rafiki yake.Mbowe amelijibu hilo kimzaha sana, kiasi hata yule mwandishi muuliza swali kuonyesha kutokubaliana naye.
Ilionyesha muuliza swali anafahamu chanzo cha document kuvuja tofauti na jibu la Mbowe, lakini Mbowe akalirushia hilo kwa 'rafiki wa Msigwa' aliyepo CHADEMA.
Kwani kukiri kuwa na urafiki na Msigwa ni dhambi ya kumhusisha mtu na kuvuja kwa nyaraka?Yule mwandishi alikuwa anauliza maswali ya mtego na hili ni mojawapo. Mbowe alipouliza huyo kada mkubwa wa CCM ni nani hakutaka kumtaja kwa sababu alijua kuwa Msigwa hana credibility. Mwenzake alipomtaja Msigwa hakuweza kubisha. Sasa hivi karibuni kuna kiongozi mkubwa wa Chadema kasema hadharani kuwa Msigwa ni rafiki yake. Na kabla ya Msigwa kuhama alikuwa karibu nae. Na hata baada ya kuhama hajawahi kusema kuwa alikosea. Kwa akili nepesi nyepesi zisizo na ushahidi ni kuwa nyaraka hizo Msigwa alipewa na rafiki yake.
Amandla...
Akiulizwa, au atajibu vipiSwali hili atalijibu TAL
Hamna namna kaka acha Mbowe atunyooshe tenaKuna mwandishi wa habari kajibu kama wewe!
Ndio limeshaulizwa tayari!Akiulizwa, au atajibu vipi
Kaulizwa Mbowe sio yeye, akijibu yeye ataonyesha wazi kwamba ndio yeyeNdio limeshaulizwa tayari!
Kama kura zinapigiwa Dar! Walapunda itakuwa shughuli kupata nauli ya kwenda Dar!Kaulizwa Mbowe sio yeye, akijibu yeye ataonyesha wazi kwamba ndio yeye
Lissu kakosea sana, ushawishi wa wanaharakati umemponzaKama kura zinapigiwa Dar! Walapunda itakuwa shughuli kupata nauli ya kwenda Dar!
Ni rafiki wa waenguaji na wasimamizi wasaidiziMmoja wa waandishi wa habari leo ndugu Marwa amesema amewahi kuona maazimo ya kamati kuu ya CHADEMA kama yalivyo yakiwa mezani kwa kada wa CCM Mchungaji Msigwa ili ku preempt hotuba za viongozi wa CHADEMA kuzungumza baadaye. Mbowe ameuliza waandishi habari Msigwa ni rafiki wa nani!