CHIEF PRIEST
JF-Expert Member
- Dec 13, 2021
- 11,635
- 21,347
Wewe PakiJinja umepigaje hapo mbona kama umepiga kwenye mshono kabisa?Kwani kukiri kuwa na urafiki na Msigwa ni dhambi ya kumhusisha mtu na kuvuja kwa nyaraka?
Mbona kuna watu wake zaowameasi na ni miongoni mwa wale COVID19 na wao ni wajumbe wa Kaati Kuu? Kwanini wasiwe hao?