Msigwa amesema kuwa kama ambavyo alikuwa anaikosoa CCM ndivyo hivyo anaikosoa CHADEMA kwani CHADEMA ni chama cha waongo na kuongeza kuwa kuna muda walikuwa wanaandamisha watu na wengine kufariki.
=====================================
Huyu jamaa ni kama ameamua kabisa kuitosa CHADEMA inasikitisha sana!
Hana lolote la kusema zaidi ya kuisema chadema.
Ana tofauti gani na peneza huyu?
Kuna mtu mmoja anaitwa MFINANGA. Aliwahi kugombea uwenyekiti wa serikali ya mtaa KUNDUCHI akiwa CHADEMA. Watu walimpigia kura na akashinda hadi watu kupigwa mabomu pale.
Mfinanga akaitwa kwenye gari na mzee LUSISI Wa CCM akakubali kupewa hongo ya ml 9 tisa ili LUSISI atangazwe mshindi ilikuwa 2014.
Hatimaye LUSISI akatangazwa mshindi mfinanga akajidai kulia na kuwapa watu pole kwa walivyoumizwa na police.
Kikafika kipindi cha kuunga mkono juhudi Mfinanga akahamia CCM na sasa naambiwa ni mkiti wa CCM Tawi la MTONGANI.
Juzi MFINANGA kagombea uwenyekiti serikali ya mtaa KUNDUCHI. Wahafidhina ndani ya chama wakakata jina lake wakimwambia " hajulikani asili yake na hana msimamo leo chadema kesho ccm"
Msigwa uende taratibu CCM hawana huruma.wanakutumia kisha uchaguzi ukiisha wanakutupa wengi wameshatupwa¹ hata kama chadema ni wabaya vipi lakini umaarufu wako unatokana na wao. Umekuwa mkiti wa kanda miaka 10 mbona haya hukuyqsema??
Mimi siyo mwanachama chochote cha kisiasa mpaka kesho lkn mtu aina ya TUNDU LISSU kwa mtu kama mwenye AKILI NYINGI NAKUBALI 99% ya hoja zake.
Pia nina uhakika wa 99% ya kwamba 99.9% ya wana chama wa CCM na wanaokishaabikia hiki chama wana UTINDIO WA UBONGO,WANASUKUMWASUKUMWA TU mpaka wamelisaliti taifa la Tanganyika na kukumbatia CCM.
Msigwa amesema kuwa kama ambavyo alikuwa anaikosoa CCM ndivyo hivyo anaikosoa CHADEMA kwani CHADEMA ni chama cha waongo na kuongeza kuwa kuna muda walikuwa wanaandamisha watu na wengine kufariki.
=====================================
Huyu jamaa ni kama ameamua kabisa kuitosa CHADEMA inasikitisha sana!
Huyu tunajua kuwa watu wa kazi walimlawiti na kumrekodi ndiyo akalazimishwa kuingia CCM kwa vitisho kuwa asipoisema vibaya picha zinaachiwa hewani. Walimtatua vibaya sana hadi leo anavaa pampas ndiyo hasira zote hizi.
Msigwa amesema kuwa kama ambavyo alikuwa anaikosoa CCM ndivyo hivyo anaikosoa CHADEMA kwani CHADEMA ni chama cha waongo na kuongeza kuwa kuna muda walikuwa wanaandamisha watu na wengine kufariki.
=====================================
Huyu jamaa ni kama ameamua kabisa kuitosa CHADEMA inasikitisha sana!
Msigwa amesema kuwa kama ambavyo alikuwa anaikosoa CCM ndivyo hivyo anaikosoa CHADEMA kwani CHADEMA ni chama cha waongo na kuongeza kuwa kuna muda walikuwa wanaandamisha watu na wengine kufariki.
=====================================
Huyu jamaa ni kama ameamua kabisa kuitosa CHADEMA inasikitisha sana!
Msigwa amesema kuwa kama ambavyo alikuwa anaikosoa CCM ndivyo hivyo anaikosoa CHADEMA kwani CHADEMA ni chama cha waongo na kuongeza kuwa kuna muda walikuwa wanaandamisha watu na wengine kufariki.
=====================================
Huyu jamaa ni kama ameamua kabisa kuitosa CHADEMA inasikitisha sana!
Msigwa amesema kuwa kama ambavyo alikuwa anaikosoa CCM ndivyo hivyo anaikosoa CHADEMA kwani CHADEMA ni chama cha waongo na kuongeza kuwa kuna muda walikuwa wanaandamisha watu na wengine kufariki.
=====================================
Huyu jamaa ni kama ameamua kabisa kuitosa CHADEMA inasikitisha sana!
Msigwa amesema kuwa kama ambavyo alikuwa anaikosoa CCM ndivyo hivyo anaikosoa CHADEMA kwani CHADEMA ni chama cha waongo na kuongeza kuwa kuna muda walikuwa wanaandamisha watu na wengine kufariki.
=====================================
Huyu jamaa ni kama ameamua kabisa kuitosa CHADEMA inasikitisha sana!