Pre GE2025 Mchungaji Msigwa kuongea na Waandishi wa Habari baada ya kushindwa Uchaguzi wa Uenyekiti Kanda ya Nyasa

Pre GE2025 Mchungaji Msigwa kuongea na Waandishi wa Habari baada ya kushindwa Uchaguzi wa Uenyekiti Kanda ya Nyasa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

kipara kipya

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2016
Posts
18,833
Reaction score
23,276
Kama heading inavyojieleza mpaka muda huu mgombea aliyeshindwa kanda ya nyasa amegoma kusema lolote, ameahidi kuita press na kuongea yote yaliyojiri kwenye huo uchaguzi kifupi hajaridhirika.

Hizi habari ni za ndani sana kaeni tayari kwa mvurugano!

PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Joseph Mbilinyi (Sugu) ashinda uchaguzi Kanda ya Nyasa, amgaragaza Mchungaji Msigwa

- Kuelekea 2025 - Kumekucha: Mchungaji Msigwa amkataa John Mrema kuwa Msimamizi wa Uchaguzi Kanda ya Nyasa

=======

Sasisho

Mchungaji Peter Msigwa amezungumza na waandishi wa habari na Kuwapongeza walioshinda uchaguzi akiwemo Joseph Mbilinyi, pia kasema hakwenda CHADEMA kufata vyeo bali kuwatumikia wananchi, amesema ataendelea kukitumikia chama japo hana cheo chochote na yupo tayari kwenda jimbo lolote watakalomuhitaji.

Pia soma: Kuelekea 2025 - Mchungaji Msigwa: Sikuingia CHADEMA kutafuta Vyeo bali Kuwatumikia Wananchi, nitaendelea kukitumikia chama Katika Jimbo lolote mtakalonihitaji!
 
Kama heading inavyojieleza mpaka muda huu mgombea aliyeshindwa kanda ya nyasa amegoma kusema lolote ,ameahidi kuita press na kuongea yote yaliyojiri kwenye huo uchaguzi kifupi hajaridhirika.
Hizi habari ni za ndani sana kaeni tayari kwa mvurugano!
Huo ndio uchaguzi wa kweli, umetoa matokeo yanayoakisi ukweli. Sio ule ushenzi alifanya dhalimu Magu uchaguzi wa 2020.
 
Kipara kizee unahangaika sana na mambo ya CHADEMA huko CCM mnajua kuiba kura tu miaka 60+ ya uhuru mnapewa misaada ya maharage na mchele ulioongezwa virutubisho.

Kwa mdahalo ule wa wazi Jumamosi CCM haiwezi kufanya kitu kama kile tena kikiwa " live "na moderator akiwa non- partisan
 
Kumbe wao kwa wao wanaibiana kura, halafu wakimaliza kuibiana, wanakuja mitaani wakiomba tume huru ya uchaguzi.

Ila nasikia Msigwa amelia sana, tena kwa kwikwi nyingi, Rose Mayemba kambembeleza, lakini wapi, Msambatavangu atakuwa anachekea chooni.

Wapi Asas, hongera kwa kazi nzuri
 
Kipara kizee unahangaika sana na mambo ya CHADEMA huko CCM mnajua kuiba kura tu miaka 60+ ya uhuru mnapewa misaada ya maharage na mchele ulioongezwa virutubisho.

Kwa mdahalo ule wa wazi Jumamosi CCM haiwezi kufanya kitu kama kile tena kikiwa " live "na moderator akiwa non- partisan
Mimi nipo upande wa msigwa kwanini msimamizi apewe kreti 4 za bia na lifti mpaka makambako!
 
Back
Top Bottom