kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
Kama heading inavyojieleza mpaka muda huu mgombea aliyeshindwa kanda ya nyasa amegoma kusema lolote, ameahidi kuita press na kuongea yote yaliyojiri kwenye huo uchaguzi kifupi hajaridhirika.
Hizi habari ni za ndani sana kaeni tayari kwa mvurugano!
PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Joseph Mbilinyi (Sugu) ashinda uchaguzi Kanda ya Nyasa, amgaragaza Mchungaji Msigwa
- Kuelekea 2025 - Kumekucha: Mchungaji Msigwa amkataa John Mrema kuwa Msimamizi wa Uchaguzi Kanda ya Nyasa
=======
Sasisho
Mchungaji Peter Msigwa amezungumza na waandishi wa habari na Kuwapongeza walioshinda uchaguzi akiwemo Joseph Mbilinyi, pia kasema hakwenda CHADEMA kufata vyeo bali kuwatumikia wananchi, amesema ataendelea kukitumikia chama japo hana cheo chochote na yupo tayari kwenda jimbo lolote watakalomuhitaji.
Pia soma: Kuelekea 2025 - Mchungaji Msigwa: Sikuingia CHADEMA kutafuta Vyeo bali Kuwatumikia Wananchi, nitaendelea kukitumikia chama Katika Jimbo lolote mtakalonihitaji!
Hizi habari ni za ndani sana kaeni tayari kwa mvurugano!
PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Joseph Mbilinyi (Sugu) ashinda uchaguzi Kanda ya Nyasa, amgaragaza Mchungaji Msigwa
- Kuelekea 2025 - Kumekucha: Mchungaji Msigwa amkataa John Mrema kuwa Msimamizi wa Uchaguzi Kanda ya Nyasa
=======
Sasisho
Mchungaji Peter Msigwa amezungumza na waandishi wa habari na Kuwapongeza walioshinda uchaguzi akiwemo Joseph Mbilinyi, pia kasema hakwenda CHADEMA kufata vyeo bali kuwatumikia wananchi, amesema ataendelea kukitumikia chama japo hana cheo chochote na yupo tayari kwenda jimbo lolote watakalomuhitaji.
Pia soma: Kuelekea 2025 - Mchungaji Msigwa: Sikuingia CHADEMA kutafuta Vyeo bali Kuwatumikia Wananchi, nitaendelea kukitumikia chama Katika Jimbo lolote mtakalonihitaji!