Wahun washajipangaa😂😂😂
Washindi wa Kanda wa Chadema wanatoa picha Chadema ni Chama cha Masela
Sugu, Wenje, Lema unaweza kufikiri ni Chama Cha Madalali 😂😂
Siasa wanazo wa Zanzibar, Tzbara bado sana, Mkoloni kosa wavaa makobazi na vilemba kuzinduka mpaka leo mjerumani angalikuwa anatawala
Alitakaa kuifiaaa kamaaa mbowee hahahaaaaaa hiki chama cha kihunii sana
Ni kikundi cha wahuni kwa sababu ni NGO ya mbowe. Na inasemekana lazima mbow ak ili mhh unashinda na hela juu😂😂😂
Washindi wa Kanda wa Chadema wanatoa picha Chadema ni Chama cha Masela
Sugu, Wenje, Lema unaweza kufikiri ni Chama Cha Madalali 😂😂
Siasa wanazo wa Zanzibar, Tzbara bado sana, Mkoloni kosa wavaa makobazi na vilemba kuzinduka mpaka leo mjerumani angalikuwa anatawala
Kwanini? Kwanini CHOONI?Msambatavangu atakuwa anachekea chooni.
Ili watu wasiojulikana warudi.Chagua MAKONDA 2030
Kwa ushindani huo Mbowe anaingiaje hapo?Fanya uchunguzi hapo nuka rushwa kweli kweli Mbowe analotaka hakuna wa kulipinga!
kipara kipya. najua ndani ya CCM neno maadili limefutika katika kamusi yao lakini kwa huu umbeya mnashusha hadhi ya JF. Hili hapa chini ndilo tamko rasmi la Msigwa baada ya matokeo ya uchaguzi.Kama heading inavyojieleza mpaka muda huu mgombea aliyeshindwa kanda ya nyasa amegoma kusema lolote, ameahidi kuita press na kuongea yote yaliyojiri kwenye huo uchaguzi kifupi hajaridhirika.
Hizi habari ni za ndani sana kaeni tayari kwa mvurugano!
So? Kuna uhusiano gani na mada hii?Mwenyekiti aliahidi kuachia ofisi 2023
Mambo ni motoooooooKuelekea 2025 mambo yameanza.....
Aliyesema hana imani na mrema ni msigwa,mmiliki wa kiwanda cha umbeya na asiye na maadili ni lissu 2007 Chadema ilitoa list of shame 2015 yule kinara wa rushwa na mmiliki wa richmond Marehemu Eduard Ngoyai Lowassa kama tulivyoaminishwa na chadema tukaambiwa ni msafi na deki akapigiwa kwa muktadha huo hicho chama kinaaminika kweli kuwa na demokrasia na nia ya dhati ya kupambana na rushwa!kipara kipya. najua ndani ya CCM neno maadili limefutika katika kamusi yao lakini kwa huu umbeya mnashusha hadhi ya JF. Hili hapa chini ndilo tamko rasmi la Msigwa baada ya matokeo ya uchaguzi.
View attachment 3003182
Hakika Chadema imetoa somo kubwa kwa chama cha mafisadi, mambuzi na wezi wa kura wa jinsi upigaji wa kura unavyotakiwa kufanyika katika nchi ya demokrasia. Komeni kuleta ujinga wenu humu.
Wanakuja wanaojulikanaIli watu wasiojulikana warudi.
Wacha uwongo,Msigwa ametoa hotuba baada ya matokeo na kumpongeza sugu kwa ushindi. Wewe unasema amegoma kusema neno lolote. Moderators kwa nini mnaendekeza wazushi kama huyu kiparangoto,ushahidi wa hotuba ya Msigwa uko humu. Au na nyie mna interest na huu uzushi?Kama heading inavyojieleza mpaka muda huu mgombea aliyeshindwa kanda ya nyasa amegoma kusema lolote, ameahidi kuita press na kuongea yote yaliyojiri kwenye huo uchaguzi kifupi hajaridhirika.
Hizi habari ni za ndani sana kaeni tayari kwa mvurugano!
PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Joseph Mbilinyi (Sugu) ashinda uchaguzi Kanda ya Nyasa, amgaragaza Mchungaji Msigwa
- Kuelekea 2025 - Kumekucha: Mchungaji Msigwa amkataa John Mrema kuwa Msimamizi wa Uchaguzi Kanda ya Nyasa