Pre GE2025 Mchungaji Msigwa kuongea na Waandishi wa Habari baada ya kushindwa Uchaguzi wa Uenyekiti Kanda ya Nyasa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Aibu yako Kipara kipya.
 
Je ameongea na wanahabari au hakuongea?
 
Sugu kura 54

Msigwa kura 52

Mchuano ulikuwa mkali sana kama sio Sugu kuhonga, najua Mchungaji Msigwa angeendelea kuwa Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa..!!

CHADEMA rushwa iko wazi wazi na chama chenye zero democracy and zero maendeleo, SACCOS ya Mbowe hii shida sana
 
Tamko rasmi ametoa leo!
 
Aongee tu tujue madudu ya hiyo saccos toka moshi.
 
Ni msemo tu ukiwa muongo uwe na kumbu kumbu leo kimbukizi ya nyerere!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…