johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
ITAMSAIDIA NINI?Aliyekuwa mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema na Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa Mchungaji Msigwa amesema atatumia nguvu na Juhudi zile zile za Chadema kuzunguka nchi nzima kuelezea Mazuri na Utakatifu wa CCM
Mchungaji Msigwa amewataka Wananchi wasikubali kudanganyika na Wapinzani kwani Shetani ni baba wa Uwongo
Credit: Mwanahalisi Digital
Usiogope ππ₯ITAMSAIDIA NINI?
"Si tunatumiana meseji? Aongee tu aone nitakavyoziweka meseji zake hadharani,wabeja sana" - Dr MsukumaAliyekuwa mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema na Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa Mchungaji Msigwa amesema atatumia nguvu na Juhudi zile zile za Chadema kuzunguka nchi nzima kuelezea Mazuri na Utakatifu wa CCM
Mchungaji Msigwa amewataka Wananchi wasikubali kudanganyika na Wapinzani kwani Shetani ni baba wa Uwongo
Credit: Mwanahalisi Digital
Hana mvuto tena hapo ana kata roho pekeeAliyekuwa mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema na Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa Mchungaji Msigwa amesema atatumia nguvu na Juhudi zile zile za Chadema kuzunguka nchi nzima kuelezea Mazuri na Utakatifu wa CCM
Mchungaji Msigwa amewataka Wananchi wasikubali kudanganyika na Wapinzani kwani Shetani ni baba wa Uwongo
Credit: Mwanahalisi Digital
Sorry did he say utakatifu wa CCM? After kutangaza mabaya yao almost career yake yote leo anataka awasafishe? He is not serious πππππAliyekuwa mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA na Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa Mchungaji Peter Msigwa amesema atatumia nguvu na Juhudi zile zile za CHADEMA kuzunguka nchi nzima kuelezea Mazuri na Utakatifu wa CCM
Mchungaji Msigwa amewataka Wananchi wasikubali kudanganyika na Wapinzani kwani Shetani ni baba wa Uwongo
Soma Pia: Msigwa hana haja ya kuzunguka nchi nzima. Hana huo ushawishi na watanzania wengi hawamjui labda huko kwao Iringa
Credit: Mwanahalisi Digital
Endelea unazo baraka za Lissu kuiteketeza ufipa!Aliyekuwa mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA na Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa Mchungaji Peter Msigwa amesema atatumia nguvu na Juhudi zile zile za CHADEMA kuzunguka nchi nzima kuelezea Mazuri na Utakatifu wa CCM
Mchungaji Msigwa amewataka Wananchi wasikubali kudanganyika na Wapinzani kwani Shetani ni baba wa Uwongo
Soma Pia: Msigwa hana haja ya kuzunguka nchi nzima. Hana huo ushawishi na watanzania wengi hawamjui labda huko kwao Iringa
Credit: Mwanahalisi Digital
Halafu alivyo mjinga hajioni km anachekesha.!Kawa muimba taarabu
Huyu anautafuta udc na ukatibu tawala
Ova
Mtu wa ajabu sanaHalafu alivyo mjinga hajioni km anachekesha.!
Mi nilijua atazunguka nchi nzima kunadi sera za CCM kumbe kumponda ex wake? π€£π€£π€£
Kashindwa kumove on
Ni mkinga ππMtu wa ajqbu sana
Ova
Mchungaji anachekesha.!Sorry did he say utakatifu wa CCM? After kutangaza mabaya yao almost career yake yote leo anataka awasafishe? He is not serious πππππ
Anatudhalilisha wakinga wenzie hana msimamo.! π€£Ni mkinga ππ