Pre GE2025 Mchungaji Msigwa: Maranja anaishi kwa kutegemea kuzururazurura kwenye korido za CHADEMA na kulamba viatu vya Mbowe

Pre GE2025 Mchungaji Msigwa: Maranja anaishi kwa kutegemea kuzururazurura kwenye korido za CHADEMA na kulamba viatu vya Mbowe

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716

Ni mtifuano mkali Ukurasani X Kati ya Mchungaji Msigwa na Chawa wa Mbowe Martin Maranja.

Mashambuliano hayo, kebehi, kejeli na kudharauliana kunaonyesha jinsi CHADEMA ilivyosheheni wahuni.

Chonde chonde Katibu mkuu Mnyika hebu ingilia kati nidhamu na kuheshimiwa a kurejee ndani ya chama

Ni wazi kuna ugomvi mkubwa sana Kati ya Mchungaji Msigwa na Mwenyekiti Mbowe.

Mchungaji Msigwa asikilizwe kabla hajaanza kutoa siri za michango ya Nairobi hospital.

Mungu wa mbinguni inusuru CHADEMA.

Kwako Lucas 😂🔥
 
Mmh! Moja ya madhaifu makubwa ya chadema ni vijana wa chadema kutoheshimu maoni, maamuzi na mitazamo binafsi ya watu.

Kila anayehoji ama kulalamika hushambuliwa kwa matusi. Huu ni uzwazwa unaokiagusha na kukiviza chama
 
Mmh! Moja ya madhaifu makubwa ya chadema ni vijana wa chadema kutoheshimu maoni, maamuzi na mitazamo binafsi ya watu.

Kila anayehoji ama kulalamika hushambuliwa kwa matusi. Huu niuzwazwa unaokiagusha na kukiviza chama
Ndio maana wanaitwa nyumbu ,kila ndugu yake mbowe kwenye hiki chama ni msemaji ,kuanzia Mrema,James Mbowe,na yule chizi Lema
 
Msigwa amekuwa haelewani na Mzee Mbowe kwa kuwa tu anataka mabadiliko na haswa taasisi kuendeshwa kwa minajili ya ukabila. Tunashauri Msigwa asiondoke chadema hadi kieleweka aisee.
Mchungaji Msigwa amesema amekaa Chadema kwa miaka 20 sasa na atahakikisha Tabia ya Mbowe kufukuza wenzake Chamani inakomeshwa

Msigwa kasema Chadema kuna Jasho lake wasimchezee 🐼
 
Mpango wa CCM yetu kugawa kura za chadema na kuunda upinzani wenye wabunge wengi wa vyama tofauti vya upinzani naona umekamilika mapema!

Ni rasmi sasa Msigwa na Lisu na sio kuhamia upande mwingine kisiasa!!

Kama namuona zito kabwe akisubiria Kwa hamu ili apate uungwaji mkono huko ACT!!!

Tusubiri!
 
Msigwa amekuwa haelewani na Mzee Mbowe kwa kuwa tu anataka mabadiliko na haswa taasisi kuendeshwa kwa minajili ya ukabila. Tunashauri Msigwa asiondoke chadema hadi kieleweka aisee.
Ktk hili la Mbowe kung'ang'ania madaraka, dunia inajua na Mungu anajua kuwa Mbowe anazingua.

Na kama ktk uchaguzi wa mwaka huu atagombea tena, basi ndiyo utakuwa msumari wa mwisho wa jeneza la kuizika chadema
 
Mpango was ccm yetu kugawa kura za chadema na kuunda upinzani wenye wabunge wengi wa vyama tofauti vya upinzani naona umekamilika mapema!

Ni rasmi sasa msigwa na lisu na co kuhamia upande mwingine kisiasa!!

Kama namuona zito kabwe akisubiria Kwa hamu ili apate uungwaji mkono huko ACT!!!

Tusubiri!
Chadema si wanamini kuwa Arusha na Moshi inawatosha?acheni kutoa mapovu aisee
 
Ni mtifuano mkali Ukurasani X Kati ya Mchungaji Msigwa na Chawa wa Mbowe M Maranja

Mashambuliano hayo, kebehi, kejeli na kudharauliana kunaonyesha jinsi Chadema ilivyosheheni wahuni

Chonde chonde Katibu mkuu Mnyika hebu ingilia Kati nidhamu na kuheshimiwa a kurejee ndani ya chama

Ni wazi kuna ugomvi mkubwa sana Kati ya Mchungaji Msigwa na Mwenyekiti Mbowe

Mchungaji Msigwa asikilizwe kabla hajaanza kutoa Siri za michango ya Nairobi hospital

Mungu wa mbinguni inusuru TLP or sorry Chadema!

Kwako Lucas 😂🔥
Msigwa asubiri bomba la maji machafu liteme. Sifa ya MMM ni matusi ya nguoni.

MMM kwenye page yake ya Twitter ukimjibu kama anavyokujibu au ukimzidi point anaku-block
 
Ktk hili la Mbowe kung'ang'ania madaraka, dunia inajua na Mungu anajua kuwa Mbowe anazingua.

Na kama ktk uchaguzi wa mwaka huu atagombea tena, basi ndiyo utakuwa msumari wa mwisho wa jeneza la kuizika chadema
Mkuu kuna kila dalili atagombea ndio maana ametumia pesa chafu kuhakisha wale ambao bado hawako kwenye miliki yake kama Msigwa na Pambulu alihakikisha hawapati uongozi kwenye chama
 
Mchungaji Msigwa amesema amekaa Chadema kwa miaka 20 sasa na atahakikisha Tabia ya Mbowe kufukuza wenzake Chamani inakomeshwa

Msigwa kasema Chadema kuna Jasho lake wasimchezee 🐼
Ndio maana nyerere alisema ccm sio mama yeke wala baba yake. Yeye yukom kwa maslahi ya chadema wa Watanzania?! Kama yuko kwa maslahi ya Watanzania basi anaweza kuwatumikia akiwa kwenye chama chochote, iwe CUF, CCM (tayari wamemkaribisha) au ACT? Lakini kutoa kauli za hovyo kuhusu Mwenyekiti wako kisa MMM ni ukosefu wa heshima. Ana njaa kama wanasiasa wengine.
 
Mmh! Moja ya madhaifu makubwa ya chadema ni vijana wa chadema kutoheshimu maoni, maamuzi na mitazamo binafsi ya watu.

Kila anayehoji ama kulalamika hushambuliwa kwa matusi. Huu ni uzwazwa unaokiagusha na kukiviza chama
Huyu anaejiita MM ana mdomo mchafu kuliko choo
 
Back
Top Bottom