Pre GE2025 Mchungaji Msigwa: Maranja anaishi kwa kutegemea kuzururazurura kwenye korido za CHADEMA na kulamba viatu vya Mbowe

Pre GE2025 Mchungaji Msigwa: Maranja anaishi kwa kutegemea kuzururazurura kwenye korido za CHADEMA na kulamba viatu vya Mbowe

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ndio maana nyerere alisema ccm sio mama yeke wala baba yake. Yeye yukom kwa maslahi ya chadema wa Watanzania?! Kama yuko kwa maslahi ya Watanzania basi anaweza kuwatumikia akiwa kwenye chama chochote, iwe CUF, CCM (tayari wamemkaribisha) au ACT? Lakini kutoa kauli za hovyo kuhusu Mwenyekiti wako kisa MMM ni ukosefu wa heshima. Ana njaa kama wanasiasa wengine.
Hata mfanyeje Msigwa haondoki chadema kwa kuwa tu amekuwa mkweli dhidi ya Mzee Mbowe.Hiki chama ni cha Watanzania wote.
 
Ni mtifuano mkali Ukurasani X Kati ya Mchungaji Msigwa na Chawa wa Mbowe M Maranja

Mashambuliano hayo, kebehi, kejeli na kudharauliana kunaonyesha jinsi Chadema ilivyosheheni wahuni

Chonde chonde Katibu mkuu Mnyika hebu ingilia Kati nidhamu na kuheshimiwa a kurejee ndani ya chama

Ni wazi kuna ugomvi mkubwa sana Kati ya Mchungaji Msigwa na Mwenyekiti Mbowe

Mchungaji Msigwa asikilizwe kabla hajaanza kutoa Siri za michango ya Nairobi hospital

Mungu wa mbinguni inusuru TLP or sorry Chadema!

Kwako Lucas 😂🔥
Msigwa ashapoteza sifa ndani ya chadema, Teknolojia imemummbua, sifa zilimjaa anajiona yeye ndio chadema na chadema ndio yeye. arudi kanisani akadanganye upande huo tena siasa zishamshinda, unakaa miaka 10 nafasi hutosheki?
 
We mnyalu msigwa umetoka ulipotoka huko na mbowe kakupa platform ya kujulikana Leo unataka kumvimbia?we unadhani Mchaga FALA?Tukiwaambia Hiko ni chama Chao Wachaga mnakuwa vichwa box kuelewa,MNAKUJA kuelewa when it's too late now.
 
We mnyalu mswiga umetoka ulipotoka huko na mbowe kakupa platform ya kujulikana Leo unataka kumvimbia?we unadhani Mchaga FALA?Tukiwaambia Hiko ni chama Chao Wachaga mnakuwa vichwa box kuelewa,MNAKUJA kuelewa when it's too late now.
Sio too late mkuu,kwa muda sasa haikuwahi tokea mfuasi ya sifa za Msigwa kuonyesha tofauti dhidi ya mzee Mbowe .Hakika umewadia wakati wa ukombozi
 
Kikubwa alichosema Msigwa ni kweli?
Kama ni kweli yafanyiwe kazi maana kama kaandika barua na hajibiwi tunategemea afanyaje?

Kama mtu hapati haki yake anapaswa kuidai kwa Nguvu na kwa mbinu zote kama walivyofanya Akina Nchimbi Kipindi Lowasa amekatwa.

Tena yeye Msigwa ni mwanachama wa kawaida wa CHADEMA kwa sasa sio Kiongozi Hana kikao cha kwenda kusema anasema hadharani tu.
 
Kikubwa alichosema Msigwa ni kweli?
Kama ni kweli yafanyiwe kazi maana kama kaandika barua na hajibiwi tunategemea afanyaje?

Kama mtu hapati haki yake anapaswa kuidai kwa Nguvu na kwa mbinu zote kama walivyofanya Akina Nchimbi Kipindi Lowasa amekatwa.

Tena yeye Msigwa ni mwanachama wa kawaida wa CHADEMA kwa sasa sio Kiongozi Hana kikao cha kwenda kusema anasema hadharani tu.
Msigwa akamatie hapo hapo mpk Mbowe abadilike
 
Back
Top Bottom