Pre GE2025 Mchungaji Msigwa: Maranja anaishi kwa kutegemea kuzururazurura kwenye korido za CHADEMA na kulamba viatu vya Mbowe

Pre GE2025 Mchungaji Msigwa: Maranja anaishi kwa kutegemea kuzururazurura kwenye korido za CHADEMA na kulamba viatu vya Mbowe

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Chama cha familia lakini wewe unaumia, au na wewe ni mwanafamilia?
Naumia Mbowe anapokula ruzuku peke yake .
Yeye anakuwa tajiri chama kunarudi nyuma inasikitisha kwa kweli.
Ndio maana ukitaka uondoke Chadema hoji kuhusu nafasi ya mwenyekiti wa chama unatafutiwa sababu utaondoka . Yaani mnadai demokrasia ambayo nyie imewashinda.
Siku mbowe akiwa Rais wa Tz hatotoka hadi kifo jamaa yenu anatamaa sana
 
Naumia Mbowe anapokula ruzuku peke yake .
Yeye anakuwa tajiri chama kunarudi nyuma inasikitisha kwa kweli.
Ndio maana ukitaka uondoke Chadema hoji kuhusu nafasi ya mwenyekiti wa chama unatafutiwa sababu utaondoka . Yaani mnadai demokrasia ambayo nyie imewashinda.
Siku mbowe akiwa Rais wa Tz hatotoka hadi kifo jamaa yenu anatamaa sana
Ukirudia kusoma comment yako utagundua kuwa unashida sehemu. Unadai unaumia Mbowe kula ruzuku peke yake hapo hapo unasema mwenyekiti wenu ukimaanisha wewe hakuhusu lakini bado unapiga kelele. Hujielewi kabisa, anyewalipa ndiyo chanzo cha changamoto. Laiti ningekuwa mimi basi leo ungelala njaa
 
Ukirudia kusoma comment yako utagundua kuwa unashida sehemu. Unadai unaumia Mbowe kula ruzuku peke yake hapo hapo unasema mwenyekiti wenu ukimaanisha wewe hakuhusu lakini bado unapiga kelele. Hujielewi kabisa, anyewalipa ndiyo chanzo cha changamoto. Laiti ningekuwa mimi basi leo ungelala njaa
Yaani ulivyojibu unaonekana ni mjinga
Kuendelea kubishana na mjinga ni kupoteza muda
 
Mmh! Moja ya madhaifu makubwa ya chadema ni vijana wa chadema kutoheshimu maoni, maamuzi na mitazamo binafsi ya watu.

Kila anayehoji ama kulalamika hushambuliwa kwa matusi. Huu ni uzwazwa unaokiagusha na kukiviza chama

Mbona hiyo ni sifa ya vijana wote katika vyama vyote.

Kwa ujumla ni kuwa Watanzania wote wana tabia zinazofanana regardless vyama vyao.
 
Mbona hiyo ni sifa ya vijana wote katika vyama vyote.

Kwa ujumla ni kuwa Watanzania wote wana tabia zinazofanana regardless vyama vyao.
Chadema ilipaswa kujitofautisha na ccm kwa mazuri
 
Mchungaji Msigwa amesema amekaa Chadema kwa miaka 20 sasa na atahakikisha Tabia ya Mbowe kufukuza wenzake Chamani inakomeshwa

Msigwa kasema Chadema kuna Jasho lake wasimchezee 🐼
Msigwa akomae mambo ya kuvuja jasho wanafaidi wengine aivumiliki,tuko nyuma ya msigwa
 
Msigwa asubiri bomba la maji machafu liteme. Sifa ya MMM ni matusi ya nguoni.

MMM kwenye page yake ya Twitter ukimjibu kama anavyokujibu au ukimzidi point anaku-block
Mkuu juzi sikukuelewa ulivyomlinganisha Sugu na Msigwa. Sikutaka mambo yawe mengi ila sikukuelewa tena. Sasa naanza kujakuja hivi
 
Alitoka Zito Kabwe mwenye ushawishi ndani na nje ya Tanzania Chadema ilisimama imara.Akatoka Lijuakali,Silinde na Joshua Nassari bado CHADEMA ilizidi kunawiri.MAGUFURI,MAHERA,BISWALO NA NDUGAI wakawahonga Halima Mdee,Esther na Esther Bulaya pamoja na wale wanawake wengine ubunge na pesa bado CHADEMA iliendelea kunawiri.
Kipimo cha CDM kuendelea kunawiri ni kipi?
 
Kujenga chama unadhani ni kazi rahisi? Muulize Zitto Kabwe atakwambia.

Walafi wanataka ready made, Mbowe ameshasurubika amewekwa jela amepewa kesi za ugaidi leo kirahisi tu awaachie uongozi mchwa waje kula pesa hata mimi siwezi kufanya ujinga huo.

Mbowe kamatia hapohapo wewe ndio Putin wetu endelea kuwanyoosha.
Inatakiwa kujengwa taasisi siyo mtu!

Kwa hiyo Mbowe akifa inakuwaje? Putin wenu anakuwa nani?
 
Mkuu juzi sikukuelewa ulivyomlinganisha Sugu na Msigwa. Sikutaka mambo yawe mengi ila sikukuelewa tena. Sasa naanza kujakuja hivi
Umepata uelewa gani sasa? Hebu uweke hapa ili tuwe sawa
 
Back
Top Bottom