Pre GE2025 Mchungaji Msigwa: Mbowe amezungukwa na Wahuni halafu anasema atachukua Nchi!

Pre GE2025 Mchungaji Msigwa: Mbowe amezungukwa na Wahuni halafu anasema atachukua Nchi!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826


Ukiangalia Mbowe anaruka na helikopta halafu anasema mwaka huu kunja ngumi, kunja ngumi tunachukua nchi, nikimwangalia Mbowe anasema atachukua nchi hebu angalia 'line up 'yake unamwona Waziri Mkuu kwenye timu yake? Unamwona Naibu Waziri Mkuu kwenye timu yake? Unamwona Waziri wa Fedha Mwigulu kwenye timu yake pale?

Amezungukwa na wahuni halafu anasema atachukua nchi, sumu haionjwi na nimekuja hapa kuwaambia wakazi wa kanda ya ziwa kwamba achaneni na porojo na upuuzi wa CHADEMA tuendelee kumuunga mkono Mama Samia Suluhu Hassan"- Msigwa.

Soma Pia:
Aliyekuwa mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa Mchungaji Peter Msigwa Agosti 12, 2024 kwenye mkutano wa hadhara wa Katibu Mkuu wa CCM Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi uliofanyika Uwanja wa CCM Katoro, mkoani Geita.
 

Ukiangalia Mbowe anaruka na helikopta halafu anasema mwaka huu kunja ngumi, kunja ngumi tunachukua nchi, nikimwangalia Mbowe anasema atachukua nchi hebu angalia 'line up 'yake unamwona Waziri Mkuu kwenye timu yake? Unamwona Naibu Waziri Mkuu kwenye timu yake? Unamwona Waziri wa Fedha Mwigulu kwenye timu yake pale?

Amezungukwa na wahuni halafu anasema atachukua nchi, sumu haionjwi na nimekuja hapa kuwaambia wakazi wa kanda ya ziwa kwamba achaneni na porojo na upuuzi wa CHADEMA tuendelee kumuunga mkono Mama Samia Suluhu Hassan"- Msigwa.

Soma Pia:
Aliyekuwa mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa Mchungaji Peter Msigwa Agosti 12, 2024 kwenye mkutano wa hadhara wa Katibu Mkuu wa CCM Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi uliofanyika Uwanja wa CCM Katoro, mkoani Geita.
Huyo tumbili Peter Msigwa yaelekea katoka huku Chadema na mimba changa mwambieni aje achukue hela ya matunzo. Mtu yuko CCM lakini kutwa kucha anamtaja Mbowe tu .
 
Mbona hatumuelewi? Kumbe Chadema sio Sacccos ya Mbogwe kama alivyosema awali ila sasa kumbe tatizo la Mbowe nikuzungukwa na wahuni, sasa yeye asiyemuhuni mbona kaondoka, au yeye alikuwa miongoni kwa hao wahuni
 

Ukiangalia Mbowe anaruka na helikopta halafu anasema mwaka huu kunja ngumi, kunja ngumi tunachukua nchi, nikimwangalia Mbowe anasema atachukua nchi hebu angalia 'line up 'yake unamwona Waziri Mkuu kwenye timu yake? Unamwona Naibu Waziri Mkuu kwenye timu yake? Unamwona Waziri wa Fedha Mwigulu kwenye timu yake pale?

Amezungukwa na wahuni halafu anasema atachukua nchi, sumu haionjwi na nimekuja hapa kuwaambia wakazi wa kanda ya ziwa kwamba achaneni na porojo na upuuzi wa CHADEMA tuendelee kumuunga mkono Mama Samia Suluhu Hassan"- Msigwa.

Soma Pia:
Aliyekuwa mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa Mchungaji Peter Msigwa Agosti 12, 2024 kwenye mkutano wa hadhara wa Katibu Mkuu wa CCM Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi uliofanyika Uwanja wa CCM Katoro, mkoani Geita.
Masikini huyu tumbili ameishiwa kila siku anarudia yale yale $500,000 ya Abdul imeliwa bure hapa
 

Ukiangalia Mbowe anaruka na helikopta halafu anasema mwaka huu kunja ngumi, kunja ngumi tunachukua nchi, nikimwangalia Mbowe anasema atachukua nchi hebu angalia 'line up 'yake unamwona Waziri Mkuu kwenye timu yake? Unamwona Naibu Waziri Mkuu kwenye timu yake? Unamwona Waziri wa Fedha Mwigulu kwenye timu yake pale?

Amezungukwa na wahuni halafu anasema atachukua nchi, sumu haionjwi na nimekuja hapa kuwaambia wakazi wa kanda ya ziwa kwamba achaneni na porojo na upuuzi wa CHADEMA tuendelee kumuunga mkono Mama Samia Suluhu Hassan"- Msigwa.

Soma Pia:
Aliyekuwa mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa Mchungaji Peter Msigwa Agosti 12, 2024 kwenye mkutano wa hadhara wa Katibu Mkuu wa CCM Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi uliofanyika Uwanja wa CCM Katoro, mkoani Geita.
Mliompa Msigwa ada ya uhamisho mnadhani mmepata striker mzuri?
 
Hivi watu kama hawa huwa wanaongezea malupulupu kadri wanavyokashifu na kufokafoka?
Umehamia Chama tawala si utumie yale uliyokuwa unataka yafanyike kuliko kuendelea kuongelea watu?
Jamani sina chama mimi ila naona hawa jamaa kama watoto tu
 
Hakika....

Mnyika ?!!!![emoji1787][emoji1787]

John Mrema ?!! [emoji1787][emoji1787]

TL?!! [emoji1787][emoji1787]

Amezungukwa na wagonjwa wa ile hospitali kule "DODOMA"......
 
Bora mtu baki kuwa muhuni ,kuliko Mchungaji kuwa Muhuni, kujitoa ufaham wapi ametoka .
Msigwa enzi zake zile zama za mawe ccm hata sh. 100 wasingempa ,leo kasahau yote , kasahau duniani tunapita .
Huyu asubiri pigo la Mungu , Mungu sio mwanadam

Ukiangalia Mbowe anaruka na helikopta halafu anasema mwaka huu kunja ngumi, kunja ngumi tunachukua nchi, nikimwangalia Mbowe anasema atachukua nchi hebu angalia 'line up 'yake unamwona Waziri Mkuu kwenye timu yake? Unamwona Naibu Waziri Mkuu kwenye timu yake? Unamwona Waziri wa Fedha Mwigulu kwenye timu yake pale?

Amezungukwa na wahuni halafu anasema atachukua nchi, sumu haionjwi na nimekuja hapa kuwaambia wakazi wa kanda ya ziwa kwamba achaneni na porojo na upuuzi wa CHADEMA tuendelee kumuunga mkono Mama Samia Suluhu Hassan"- Msigwa.

Soma Pia:
Aliyekuwa mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa Mchungaji Peter Msigwa Agosti 12, 2024 kwenye mkutano wa hadhara wa Katibu Mkuu wa CCM Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi uliofanyika Uwanja wa CCM Katoro, mkoani Geita.
 
Back
Top Bottom