Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
Bora yeye amejitambua.....Hakumbuki alikuwa amemzunguka pia?
Ni muda mwafaka wa wengine kujitambua pia....
Muda ndio huu...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora yeye amejitambua.....Hakumbuki alikuwa amemzunguka pia?
Huruma ipi?!!Hata hachekeshi, anatia huruma.
Sasa ni bora uzungukwe na walio mirembe kuliko kijani wamezunguka walio bado majalalani.Hakika....
Mnyika ?!!!![emoji1787][emoji1787]
John Mrema ?!! [emoji1787][emoji1787]
TL?!! [emoji1787][emoji1787]
Amezungukwa na wagonjwa wa ile hospitali kule "DODOMA"......
Ogopa mchungi muhuni huyo nyoka ananafuuu.Bora mtu baki kuwa muhuni ,kuliko Mchungaji kuwa Muhuni, kujitoa ufaham wapi ametoka .
Msigwa enzi zake zile zama za mawe ccm hata sh. 100 wasingempa ,leo kasahau yote , kasahau duniani tunapita .
Huyu asubiri pigo la Mungu , Mungu sio mwanadam
HUku kijani,ila mwamba anatoboa maaapeeema asubuhi.Mbowe kama ana hali ngumu hivii.huku polisi,huku msigwa
Chawa wanaelewa nini zaidi ya kukwiba /nyonya damu kwa binadamuWazungu elimu imewapa msimamo, huyu angekua hata kenya tu hapo raia anawaowahutubia wasingekawia kumchapa vibao