Mkunazi Njiwa JF-Expert Member Joined Apr 22, 2023 Posts 8,538 Reaction score 7,559 Aug 13, 2024 #21 Townchild said: Hakumbuki alikuwa amemzunguka pia? Click to expand... Bora yeye amejitambua..... Ni muda mwafaka wa wengine kujitambua pia.... Muda ndio huu...
Townchild said: Hakumbuki alikuwa amemzunguka pia? Click to expand... Bora yeye amejitambua..... Ni muda mwafaka wa wengine kujitambua pia.... Muda ndio huu...
Mkunazi Njiwa JF-Expert Member Joined Apr 22, 2023 Posts 8,538 Reaction score 7,559 Aug 13, 2024 #22 econonist said: Hata hachekeshi, anatia huruma. Click to expand... Huruma ipi?!! Msigwa amejitambua baada ya kutojitambua kwa muda mrefu....
econonist said: Hata hachekeshi, anatia huruma. Click to expand... Huruma ipi?!! Msigwa amejitambua baada ya kutojitambua kwa muda mrefu....
mjingamimi JF-Expert Member Joined Aug 3, 2015 Posts 42,209 Reaction score 51,004 Aug 13, 2024 #23 Mbowe kama ana hali ngumu hivii.huku polisi,huku msigwa
Wildchild JF-Expert Member Joined Aug 29, 2018 Posts 19,411 Reaction score 21,938 Aug 13, 2024 #24 Mkunazi Njiwa said: Hakika.... Mnyika ?!!!![emoji1787][emoji1787] John Mrema ?!! [emoji1787][emoji1787] TL?!! [emoji1787][emoji1787] Amezungukwa na wagonjwa wa ile hospitali kule "DODOMA"...... Click to expand... Sasa ni bora uzungukwe na walio mirembe kuliko kijani wamezunguka walio bado majalalani.
Mkunazi Njiwa said: Hakika.... Mnyika ?!!!![emoji1787][emoji1787] John Mrema ?!! [emoji1787][emoji1787] TL?!! [emoji1787][emoji1787] Amezungukwa na wagonjwa wa ile hospitali kule "DODOMA"...... Click to expand... Sasa ni bora uzungukwe na walio mirembe kuliko kijani wamezunguka walio bado majalalani.
Wildchild JF-Expert Member Joined Aug 29, 2018 Posts 19,411 Reaction score 21,938 Aug 13, 2024 #25 4 7mbatizaji said: Bora mtu baki kuwa muhuni ,kuliko Mchungaji kuwa Muhuni, kujitoa ufaham wapi ametoka . Msigwa enzi zake zile zama za mawe ccm hata sh. 100 wasingempa ,leo kasahau yote , kasahau duniani tunapita . Huyu asubiri pigo la Mungu , Mungu sio mwanadam Click to expand... Ogopa mchungi muhuni huyo nyoka ananafuuu.
4 7mbatizaji said: Bora mtu baki kuwa muhuni ,kuliko Mchungaji kuwa Muhuni, kujitoa ufaham wapi ametoka . Msigwa enzi zake zile zama za mawe ccm hata sh. 100 wasingempa ,leo kasahau yote , kasahau duniani tunapita . Huyu asubiri pigo la Mungu , Mungu sio mwanadam Click to expand... Ogopa mchungi muhuni huyo nyoka ananafuuu.
Wildchild JF-Expert Member Joined Aug 29, 2018 Posts 19,411 Reaction score 21,938 Aug 13, 2024 #26 mjingamimi said: Mbowe kama ana hali ngumu hivii.huku polisi,huku msigwa Click to expand... HUku kijani,ila mwamba anatoboa maaapeeema asubuhi.
mjingamimi said: Mbowe kama ana hali ngumu hivii.huku polisi,huku msigwa Click to expand... HUku kijani,ila mwamba anatoboa maaapeeema asubuhi.
Wildchild JF-Expert Member Joined Aug 29, 2018 Posts 19,411 Reaction score 21,938 Aug 13, 2024 #27 Mr mutuu said: Wazungu elimu imewapa msimamo, huyu angekua hata kenya tu hapo raia anawaowahutubia wasingekawia kumchapa vibao Click to expand... Chawa wanaelewa nini zaidi ya kukwiba /nyonya damu kwa binadamu
Mr mutuu said: Wazungu elimu imewapa msimamo, huyu angekua hata kenya tu hapo raia anawaowahutubia wasingekawia kumchapa vibao Click to expand... Chawa wanaelewa nini zaidi ya kukwiba /nyonya damu kwa binadamu