johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Mchungaji Msigwa amesoma Adui Namba Moja wa Demokrasia hapa Nchini ni Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe
Msigwa amesema kuna msemo unaosema "Msakata Rhumba maarufu anajua muda wa kuondoka Jukwaani" kwa bahati mbaya Mbowe amekaa muda mrefu na hana mpango wowote wa kuondoka.
Soma Pia: Peter Msigwa: CHADEMA idhibitiwe kabla haijaleta vurugu nchini
My take; Hii sasa ni Vita binafsi
Msigwa amesema kuna msemo unaosema "Msakata Rhumba maarufu anajua muda wa kuondoka Jukwaani" kwa bahati mbaya Mbowe amekaa muda mrefu na hana mpango wowote wa kuondoka.
Soma Pia: Peter Msigwa: CHADEMA idhibitiwe kabla haijaleta vurugu nchini
My take; Hii sasa ni Vita binafsi