Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
Kwanaa ondoa DR kwenye hilo jina. Mtu hana hata diploma? Heshimu hiyo title haipatikani kirahisKwa level za Mchungaji Dr Msigwa anastahili kuwa Mgombea mwenza katika uchaguzi Mkuu ujao. Shime wanachama tumpendekeze kwenye vikao vya maamuzi na kpa Kura za ndio