Pre GE2025 Mchungaji Msigwa: Mimi sijaikimbia CHADEMA ila CHADEMA ndio imenikimbia, Naipenda!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Mbunge mstaafu wa Iringa mjini mchungaji Msigwa amesema Kimsingi yeye " HAJAIKIMBIA" Chadema ila Chadema ndio imemkimbia yeye

Soma Pia: Mchungaji Peter Msigwa Awatupia CHADEMA Vijembe vya Moto

Mchungaji Msigwa ametoa Siri hii ya moyoni kwake kwenye Mahojiano na Carol Ndosi kwenye podcast ya Zetu Siasa ambayo inatarajiwa kwenda hewani October 30

Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…