Mchungaji Msigwa na Joseph Mbilinyi wafungua kesi ya Kikatiba dhidi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali kupinga unyanyasaji Magerezani

Mchungaji Msigwa na Joseph Mbilinyi wafungua kesi ya Kikatiba dhidi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali kupinga unyanyasaji Magerezani

Evidence ya Mtu Kuvuliwa Nguo utaithibitisha Vipi Mahakamani? Au Ndio Earsay??
Hearsay Evidence - ni ushahidi wa kusikia au kuhadithiwa, sio kwa kushuhudia kwa macho jambo husika. Nilimsikia fulani akisema hivi na hivi au nlisikia hivi na hivi.

Sasa hapo kama mtu alievuliwa nguo akitoa ushahidi inakua sio hearsay tena, huyo anakua "WITNESS" (Shuhuda/Mhanga)" huo ni ushahidi kamili. Mfano, Sugu akitoa ushahidi wa kuvuliwa nguo anakua shuhuda/mhanga wa huo unyanyasaji.
 

Wamesema kwamba wanafungua kesi hiyo ili kulinda heshima ya Wafungwa wawapo Jela , ambako haki na utu wao unapuuzwa .

Walalamikaji hao ambao pia ni wabunge wa Zamani na WAFUNGWA WASTAAFU wanadai kwamba Wafungwa wa Tanzania wawapo gerezani wanalazimishwa Kupima Ukimwi huku Majibu ya vipimo hivyo yakisomwa hadhani mbele ya Kadamnasi , jambo ambalo wanaliona kama udhalilishaji usio na tija yoyote .

Katika madai yao hayo wamedai pia kwamba kitendo cha kuwavua nguo wafungwa mbele ya hadhara kwa madai ya kuwakagua kinatweza Utu wa Wafungwa na ni Kinyume cha haki za binadamu .

Chanzo: Watetezi TV
SAWA SASA HIYO HUKUMU IKOITOKA UNATEGEMMEA JIBU GANI KWA MFANO WAMESHINDA ? WAFUNGWA WOTE WATAACHIWA HURU AU? HAWANA KAZI ZA KUFANYA BADO WANAOTA UBUNGE LABDA MWAKA 2050
 
Mtuhumiwa ndio anatoa ushahidi tena ?
atakapojibu hoja za walalamikaji aweza kukiri hilo kufanyika magereza ila akatetea kwamba huo ni utaratibu wa gerezani , hapo bado kutakuwa na maswali tena ? nishakuambia kesi za kikatiba hazilengi kufunga mtu bali zinabadili sheria mbovu
 
atakapojibu hoja za walalamikaji aweza kukiri hilo kufanyika magereza ila akatetea kwamba huo ni utaratibu wa gerezani , hapo bado kutakuwa na maswali tena ? nishakuambia kesi za kikatiba hazilengi kufunga mtu bali zinabadili sheria mbovu
MNAPOTEZA MUDA TU
 
Wafungwa Wastaafu (Unaweza ukastaafu Ufungwa) au ni Potential Wafungwa (Wafungwa Watarajiwa) ?
 
Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe amekiri kuwa kushindwa kwa Chadema kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 kulitokana na kuweka wagombea dhaifu kwenye nafasi mbalimbali ikiwemo uraisi na hivyo wamejifunza na uchaguzi ujao wataweka wagombea wenye nguvu na ushawishi watakaozunguka nchi nzima kunadi sera na ajenda za wanachi.

Mbowe amesema Chadema haijawahi kuishiwa ajenda za kupambana na ccm.


My take.

Watakiri yote waliyomsingizia mwendazake laana ya kumtukana imeanza kuwatafuna.

Kumbe waliweka wagombea dhaifu alafu wakasingizia wameibiwa kura na mwendazake. Hovyo kabisa.

 
Hivi zike Hansard za Bunge haziwezi kutumika Kama ushahidi. Maana Kuna wabunge waliofungwa, wale waliofukuzwa Chadema mmoja wao alishawahi kulalamika kuwa wanaaachiwa wakiwa uchiiiii yanii. Nadhani alikuwa Ester Matiko.
Huo ni ushahidi mwanana
 
..je hilo ni hitaji la watz?

..muda na resources wanazotumia kutetea wafungwa kwanini wasiutumie kutetea wakulima, wafugaji, vijana wasio na ajira, wastaafu,..

..nadhani wangetumia muda huu kujipendekeza kwa wapiga kura.
Ila M'kiti Mbowe si yuko mikoani na makamanda kwenye operation haki. Hujamuona?
Naona yote yanabebwa kwa umuhimu unaostahiki.
 
Kuna mahakama sasa au matawi ya CCM?

Unamaanisha CCM na vyombo vyake ni watesaji wa wananchi/wafungwa/mahabusu na CHADEMA na wapinzani wengine ndiyo watetezi wa haki za wananchi?

Maana washabiki/wanachama wengi wa CCM hawataki kusikia utetezi wowote dhidi ya haki za wananchi.
 
Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe amekiri kuwa kushindwa kwa Chadema kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 kulitokana na kuweka wagombea dhaifu kwenye nafasi mbalimbali ikiwemo uraisi na hivyo wamejifunza na uchaguzi ujao wataweka wagombea wenye nguvu na ushawishi watakaozunguka nchi nzima kunadi sera na ajenda za wanachi.

Mbowe amesema Chadema haijawahi kuishiwa ajenda za kupambana na ccm.


My take.

Watakiri yote waliyomsingizia mwendazake laana ya kumtukana imeanza kuwatafuna.

Kumbe waliweka wagombea dhaifu alafu wakasingizia wameibiwa kura na mwendazake. Hovyo kabisa.

SASA WANAWAPATA WAPI HAO WAGOMBEA WENYE NGUVU HAWANA HAZINA YA VIONGOZI WENYE USHAWISHI NA WATU
 
Ila M'kiti Mbowe si yuko mikoani na makamanda kwenye operation haki. Hujamuona?
Naona yote yanabebwa kwa umuhimu unaostahiki.

..wanatakiwa wamsaidie mwenyekiti.

..ccm wanaposema chadema ni wanaharakati wanatumia ushahidi wa mambo kama haya yanayofanywa na viongozi wa chadema.

..na ni vigumu kushika dola kwa kuwa wanaharakati bila kubeba ajenda za walio wengi.

..chadema inatakiwa itambue kundi lenye wapiga kura wengi hapa Tz. Na baada ya hapo ijipambanue kuwa mtetezi mkuu wa kundi hilo.
 
Mambo yana anza. Muda mfupi ni kesi ya Muruto na wenzake kuhusu shambulio la Lissu
 
SAWA SASA HIYO HUKUMU IKOITOKA UNATEGEMMEA JIBU GANI KWA MFANO WAMESHINDA ? WAFUNGWA WOTE WATAACHIWA HURU AU? HAWANA KAZI ZA KUFANYA BADO WANAOTA UBUNGE LABDA MWAKA 2050
Wafungwa wataacha kunyanyaswa na kudhalilishwa.
Hivi wewe huwezi ukajitoa kutetea/kudai haki ya kundi la watu katika jamii yako kwa faida ya wanajamii hiyo?
Mbona una mitazamo hasi namna hii? Au ulikulia mahali pasipo na upendo? Nadhani una stahili kusaidiwa HARAKA.
 
Wafungwa wataacha kunyanyaswa na kudhalilishwa.
Hivi wewe huwezi ukajitoa kutetea/kudai haki ya kundi la watu katika jamii yako kwa faida ya wanajamii hiyo?
Mbona una mitazamo hasi namna hii? Au ulikulia mahali pasipo na upendo? Nadhani una stahili kusaidiwa HARAKA.
tatizo hao wanaofanya hiyo shughuri ya kufungua kesi hakuna mtu atawasikiliza wataonekana wanaleta fujo tu mahakamani
 
..je hilo ni hitaji la watz?

..muda na resources wanazotumia kutetea wafungwa kwanini wasiutumie kutetea wakulima, wafugaji, vijana wasio na ajira, wastaafu,..

..nadhani wangetumia muda huu kujipendekeza kwa wapiga kura.
We huna akiri kabisa. Hujui hata wewe umatetewa. Hujui kama we ni mgungwa wa kesho. Dhulma zikizidi unaweza bamvikwa kesi yoyote kama akina mdude na manji
 
Back
Top Bottom