johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Baada ya mkeka wa teuzi Kutoka mchungaji Msigwa amesema ana Imani kubwa sana na Rais Samia na kwamba hajutii kuhamia CCM kwani haina mbadala.
“Nimechunguza, Nimetafiti, Nimetafakari, Nimelingalisha, Nimetofautisha, Nimejiridhisha na kutoka na hitimisho kuwa Tanzania iko salama mikononi mwa CCM china ya Uongozi wa Dr SSH. Kwa sasa hakuna chama kingine cha siasa kinaweza kuwa mbadala wa CCM.”
Mchungaji Msigwa ameandika Ukurasani X
“Nimechunguza, Nimetafiti, Nimetafakari, Nimelingalisha, Nimetofautisha, Nimejiridhisha na kutoka na hitimisho kuwa Tanzania iko salama mikononi mwa CCM china ya Uongozi wa Dr SSH. Kwa sasa hakuna chama kingine cha siasa kinaweza kuwa mbadala wa CCM.”
Mchungaji Msigwa ameandika Ukurasani X