Mchungaji Msigwa: Nimejifafakari, nimetafiti na nimechunguza na kujiridhisha kuwa Tanzania iko salama chini ya Rais Samia na CCM haina mbadala!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Baada ya mkeka wa teuzi Kutoka mchungaji Msigwa amesema ana Imani kubwa sana na Rais Samia na kwamba hajutii kuhamia CCM kwani haina mbadala.

“Nimechunguza, Nimetafiti, Nimetafakari, Nimelingalisha, Nimetofautisha, Nimejiridhisha na kutoka na hitimisho kuwa Tanzania iko salama mikononi mwa CCM china ya Uongozi wa Dr SSH. Kwa sasa hakuna chama kingine cha siasa kinaweza kuwa mbadala wa CCM.”

Mchungaji Msigwa ameandika Ukurasani X

 
Daaah! wamemuacha tena,aisee.
 
Tuliwaambia chadema mapema kama UCHAGA ukiwaacha Salama basi Udini na kuendekeza MAASKOFU kwenye CHAMA chao utawamaliza,wanavuna sasa walichokipanda.
 
Mikeka inazidi kutoka na mchungaji haoni jina lake, lazima kichwa kiwake tu. Alikuwa kimya naona imebidi afunguke ili mama amkumbuke kimtindo.

CCM ni laana kubwa
 
Baada ya mkeka wa teuzi Kutoka mchungaji Msigwa amesema ana Imani kubwa sana na Rais Samia na kwamba hajutii kuhamia CCM kwani haina mbadala

Mchungaji Msigwa ameandika Ukurasani X
Akili ndogo.
 
Baada ya mkeka wa teuzi Kutoka mchungaji Msigwa amesema ana Imani kubwa sana na Rais Samia na kwamba hajutii kuhamia CCM kwani haina mbadala

Mchungaji Msigwa ameandika Ukurasani X
Atafanikiwa aongeze juhudi
 
Your browser is not able to display this video.

Kweli Tanzania ni salama.

Mama anaupiga mwingi!
 
Ni lazima aseme hivyo kama sharti mojawapo la kuendelea kupitishiwa ile miamala alioisema Joseph Msukuma (MB)
 
Mwambie aache ujinga, utoto.
 
Hebu tujiulize kidogo tu. Hawa chadema hawana wanachama hai hata milioni tano lakini wameshindwa kuaminiana na kupokezana nafasi ya uenyekiti. Hivi wakishika dola watakubali kweli na wao kushindwa kwenye uchaguzi? Yanni kwenye familia hamuaminiani mnataka tuwape kijiji kweli?. Nasubiri matusi kutoka kwa wenye mahaba yao 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…