Mchungaji Msigwa: Tumekubaliana CCM iendelee kuongoza Tena na tena, hatutabadilisha General Katikati ya Mapambano makali ya Maadui!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Mchungaji Msigwa ametangaza kwamba makubaliano yameshafikiwa kwamba CCM iendelee kuongoza na Jemedari hatabadilishwa katikati ya Vita hivyo Mpendwa wetu Mh Rais Samia ataendelea hadi 2030 bila figisu za yoyote

Mchungaji Msigwa amebandika Taarifa Ukurasani kwake X

Ahsanteni sana

================

*Tumekubaliana**CCM iendelee tena natena kuongoza**katu hatutabadilisha general wa vita katikati ya mapambano makali ya maadui**Mission ya CCM bado Haijakamilika,wahuni wasubiri kwanza*Bado tuna IHITAJI CCM

 
Ayatollah Mbowe hana nyimbo! Historically, kuna generals wengi tu ambao wamewahi kupigwa chini katikati ya mapambano. Kwa mfano, President Abraham Lincoln alipiga chini generals kibao wakati wa U.S. civil war, mpaka hapo alipompata General Grant ambaye ndiye aliyebadili upepo wa vita na kuleta ushindi. Ni strategy mbovu kung’ang’ana na general ambaye hana tija!
 
Msigwa akumbuke yupo na wajukuu, sio mtoto tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…